Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu huduma borarHalafu baadaye kidogo watauziwa Waarab!
Hee huu ndo ujinga, kama hawana hali ya kutoa huduma nzuri si wawatoe?Mchechu ni husiness minded bravo, hawa wanatakiwa wapewe mabasi ya mkopo ili wawe na ari ya kutoa huduma nzuri na efficient kwani kuna machungu ya marejesho,hii mambo serikali inafanya uwekezaji mkubwa wa miundombinu bado iwape mtaji,bado vitendea kazi , ndio inaleta inefficiency na taasisi kufanya kazi buziness as usual, na ndio maana mashirika mengi yana kila kitu ila yanatengeneza hasara kwakuwa hakuna anayeumiza kichwa, ruzuku itakuja 😡😡
Huyu jamaa anapenda kukopa balaaMsajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024 katika Mkutano wa Msajili wa Hazina na Wahariri wa Vyombo vya habari, Mchechu amenukuliwa akisema “UDART sasa hivi ni kampuni inayomilikiwa 85% na Serikali, ilipoanza ilikuwa inaendeshwa na Sekta binafsi Serikali ilikuwa na mchango mdogo, tukajikuta ina madeni mengi, mabasi yake ndio hivyo, kwa miezi miwili nimekuwa nafanya vikao na DART kampuni inayosimamia miundombinu, na UDART inasimamia uendeshaji na mabasi”
“Tunaenda kuongeza idadi ya mabasi na kesho nina kikao na benki ya NMB ambayo ndio wanatukopesha, tutakuwa na kikao pale NMB na UDART, DART, LATRA kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa fedha wa kupata mabasi yasiyopungua mabasi 100 ambayo yataweza kutusaidia”
“La pili kwa hatua tuliyofikia tunahitaji kampuni zaidi ya tano au sita, sio kampuni moja tu ambayo siku wakigoma au kupata matatizo Mji wote umesimama, unapokuwa na Waendeshaji wengi pia ni rahisi kujua nani anatoa huduma nzuri”
“Tutahitaji miezi sita kuanzia tunapotoa oda mpaka mabasi yaje, tutafanya maongezi na NMB kesho tutajua lini mabasi yatakuwa yanafika, najua nitamuachia Mkurugenzi Mkuu wa UDART na Bodi yake kuisema kwa Umma lakini kazi yetu ni kuhakikisha wanapata pesa”
Millard Ayo
Hawa jamaa they don't careHela inaenda kupotea tena...Serikali iache kufanya biashara iwaachie sector binafsi kurun mabasi.
Tuseme tu ukweli mali za serikali hamtunzi kabisa mnaingiza walipa kodi hasara kama nimadaladala yenu yanafanya kazi hata miaka 10 barabarani na hela manaingiza lakinj inakua vipi likija mali ya umma linahujumiwa na hakuna anaechukuliwa hatua wala kuwajibishwa hata mkikopa kwa utaratibu huu wakutotunza ni hasara kwa walipa kodi maskiniMsajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024 katika Mkutano wa Msajili wa Hazina na Wahariri wa Vyombo vya habari, Mchechu amenukuliwa akisema “UDART sasa hivi ni kampuni inayomilikiwa 85% na Serikali, ilipoanza ilikuwa inaendeshwa na Sekta binafsi Serikali ilikuwa na mchango mdogo, tukajikuta ina madeni mengi, mabasi yake ndio hivyo, kwa miezi miwili nimekuwa nafanya vikao na DART kampuni inayosimamia miundombinu, na UDART inasimamia uendeshaji na mabasi”
“Tunaenda kuongeza idadi ya mabasi na kesho nina kikao na benki ya NMB ambayo ndio wanatukopesha, tutakuwa na kikao pale NMB na UDART, DART, LATRA kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa fedha wa kupata mabasi yasiyopungua mabasi 100 ambayo yataweza kutusaidia”
“La pili kwa hatua tuliyofikia tunahitaji kampuni zaidi ya tano au sita, sio kampuni moja tu ambayo siku wakigoma au kupata matatizo Mji wote umesimama, unapokuwa na Waendeshaji wengi pia ni rahisi kujua nani anatoa huduma nzuri”
“Tutahitaji miezi sita kuanzia tunapotoa oda mpaka mabasi yaje, tutafanya maongezi na NMB kesho tutajua lini mabasi yatakuwa yanafika, najua nitamuachia Mkurugenzi Mkuu wa UDART na Bodi yake kuisema kwa Umma lakini kazi yetu ni kuhakikisha wanapata pesa”
Millard Ayo
Hawa jamaa they don't care
Ova
Tuliambiwa Kuna mwarabu mdubai amepatikana kuwa mbia.Halafu baadaye kidogo watauziwa Waarab!
Tukishanunua ndio tutamkodishaTuliambiwa Kuna mwarabu mdubai amepatikana kuwa mbia.
Tukaambiwa Kuna mabasi yanashuka bandarini Mara gear imebadilishwa angani, tunakopa NMB.
Uganda wanatengeneza mabasi yasiyo tumia dizeli. Kwanini tusiagize kwa jirani? Au m7 amegoma kutoa Cha juu ?
Mimi naona atafutwe MTU mwenye daladala zaidi ya kumi apewe aendeshe huu mradi. Mtakuja kunishukuru.
Lakini kwa hizi PhD za kina Mhede & co. Hatufiki mbali.
Huyu ameiba sana pesa za umma na kuanzisha kampuni yake inajenga nyumba binafsi kama NHC inaitwa Venny company, huyu ni FISADIhizo kampuni zaidi ya tano/sita anazosema huyu fisadi mchechu kuwa zinahitajika kuendesha mradi zenyewe zinakuja na kitu gani? kwanini zisinunue hayo mabasi 100? Yani miundombinu na mabasi inanunua serikali tena kwa pesa ya kukopa itakayolipwa na walipa kodi masikini halafu hao wanaoitwa wawekezaji ambao ni hawahawa mafisadi watajipa hilo shavu kwa mgongo wa kampuni hewa au majina feki waje tu kukusanya pesa?