Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wao huwa ni kuongea chochote ili kutaka kumuonesha Magufuli alifunga nchi! Mtu asiyejitambua kazi yake ni kubwajaja na huwa kama makapi yapeperushwayo na upepo na huamini kila neno! Magufuli yeye alijua alikokuwa anaenda licha ya mapungufu katika njia alochagua! Kila hawa hata hawajui ni makelele ni mengi mno yasiyo na tija!Si mlifungua nchi?
Huyu mwizi atatufilisiWaziri wa mambo ya nje mh January Makamba amesema Serikali itakutana na Mabalozi Kujadili Changamoto za Uwekezaji
Ni mabalozi Kutoka Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ireland, Denmark, Korea, Uholanzi, Canada, Sweden na Ujerumani
Source Mwananchi
Mlale Unono 😂😂😂
Kwa hivyo nisipongeze hatua za kusahihisha tatizo?Safi sana? Utakuwa hujielewi wewe.
Yaani watengeneze wenyewe tatizo halafu wapongezwe wanapohangaika kulitatua? Seriusly kabisa unapongeza.
Ilishadokezwa kwamba wawekezaji nao wanataka kugoma kama walivyogoma wafanyabiashara kutokana na kusumbuliwa na TRA.
Tatizo Nchi inakopa sana inaangaika kutafuta fedha wakati nyingi wanazifisadi na kuzitumia kununulia magari ya anasa
Tetesi: - Balozi za nchi zenye uwekezaji mkubwa nchini zatishia kusimamisha miradi, inadaiwa TRA inawabambikia kodi kubwa zisizolipika
Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao. Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na...www.google.com
sawa nakubaliana na wewe kwamba hakuna binadamu asiyekoseaKwa hivyo nisipongeze hatua za kusahihisha tatizo?
Kuna binadamu hasiye kosea?
Hujawahi kukosea maishani mwako?
BWT, naheshimu maoni yako.
Hata siku moja hawa vihiyo hawakumbuki kuwa uwekezaji mkubwa na wa hakika kabisa upo hapa hapa kwa waTanzania wenyewe!Waziri wa mambo ya nje mh January Makamba amesema Serikali itakutana na Mabalozi Kujadili Changamoto za Uwekezaji
Ni mabalozi Kutoka Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ireland, Denmark, Korea, Uholanzi, Canada, Sweden na Ujerumani
Source Mwananchi
Mlale Unono 😂😂😂
EEEEEEeenHEEEEeeeee!Si mlifungua nchi?
Hii nchi ina kodi za hovyo sana,wafanye marekebisho ya kodi lasivyo wawekezaji na wafanyabiashara watafirisika au kuhamisha biasharaWaziri wa mambo ya nje mh January Makamba amesema Serikali itakutana na Mabalozi Kujadili Changamoto za Uwekezaji
Ni mabalozi Kutoka Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ireland, Denmark, Korea, Uholanzi, Canada, Sweden na Ujerumani
Source Mwananchi
Mlale Unono 😂😂😂
na hii kitu kukopa chura aliahidi kuruka nayo sana tu! Shida ndio inapoanzia kwa level ya uongpzi uliopoSafi sana? Utakuwa hujielewi wewe.
Yaani watengeneze wenyewe tatizo halafu wapongezwe wanapohangaika kulitatua? Seriusly kabisa unapongeza.
Ilishadokezwa kwamba wawekezaji nao wanataka kugoma kama walivyogoma wafanyabiashara kutokana na kusumbuliwa na TRA.
Tatizo Nchi inakopa sana inaangaika kutafuta fedha wakati nyingi wanazifisadi na kuzitumia kununulia magari ya anasa
Tetesi: - Balozi za nchi zenye uwekezaji mkubwa nchini zatishia kusimamisha miradi, inadaiwa TRA inawabambikia kodi kubwa zisizolipika
Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao. Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na...www.google.com
TRA WATAKUJA SABABISHA YA KENYA HAPA NCHINI MAMA SAMIA KUWA MACHO NA WASAIDIZI WAKO SIYO WATU WAZURI.Mama Samia kaa chini angalia upya TRA na POLISI!
Hizi organs 2 zinakuangusha sana Mh Rais Samia
Limama lenu hilo ndo tatizo nambari wani, wasaidizi wanatekeleza amri zake! Wote wezi kuanzia binti kizimkazi mawaziri wake, wabunge, ni pamoja na viongozi wa juu wa serikali anaowachagua yeye. Nchi inaongozwa na mijizi mitupu!Mm naona tatizo sio mama tatizo ni hizi kenge alizo ziamini zinamsifia huku zinakula kama mchwa.