Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 913
- 844
Samia na watu wake wote ni wale wale!TRA WATAKUJA SABABISHA YA KENYA HAPA NCHINI MAMA SAMIA KUWA MACHO NA WASAIDIZI WAKO SIYO WATU WAZURI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia na watu wake wote ni wale wale!TRA WATAKUJA SABABISHA YA KENYA HAPA NCHINI MAMA SAMIA KUWA MACHO NA WASAIDIZI WAKO SIYO WATU WAZURI.
Ni sahihi ubinafsi unalifanya taifa letu liendelee kuwa Masikini, kuna watu wanataka wafanikiwe pekee yao kwani Mungu ni wa kwao tu hapana, jiulize Gari unanunua Japan ml 15 ikifika Tanzania ulipie ushuru ml 17 that is non sense, yaani gharama ya TRA inazidi gharama ya Gari.Ukiona moshi unafuka, jua kuna moto. Kuna dalili nyingi ubinafsi unakwaza watu wengi Tanzania. Tumefika sehemu tujitafakari. Tunaharibu mengi kwa kuendekeza ubinafsi
Ni sahihi ubinafsi unalifanya taifa letu liendelee kuwa Masikini, kuna watu wanataka wafanikiwe pekee yao kwani Mungu ni wa kwao tu hapana, jiulize Gari unanunua Japan ml 15 ikifika Tanzania ulipie ushuru ml 17 that is non sense, yaani gharama ya TRA inazidi gharama ya Gari.
Tunaumizwa sisi wananchi ili watutawale kirahisi huo ni ujinga.