Tetesi: Serikali kupeleka bungeni muswada wa Sheria juu ya chama cha siasa kujitoa kwenye uchaguzi

Tetesi: Serikali kupeleka bungeni muswada wa Sheria juu ya chama cha siasa kujitoa kwenye uchaguzi

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa.

Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya uchaguzi)ili kuvinyonga kabisa vyama vyote vitakavyojiondoa Kwenye uchaguzi,wapambe hawa wakiongozwa na prof KIBUDU wameshaanda vifungu hivyo ili kukomesha aibu hii ya uchaguzi wa mwaka huu isitokee tena.

Wapambe wa jiwe wanahofu juu ya uchaguzi Mkuu hapo mwakani yasijetokea maafa zaidi Kwa taifa ndiyo maana Sheria nyingi za hovyo zitapelekwa bungeni ili kuwabana zaidi wapinzani....Sisi wananchi tunaiomba serikali hii ya awamu ya tano isituingize Kwenye vita ya wenyewe Kwa wenyewe
 
Hii ni dhahiri kuwa hichi kikundi cha majambazi hakishindwi kubadili katiba, Jiwe atawale mpaka achoke mwenyewe.
 
Siku izi kila kitu ni cha kutengenezea mazingira yanayowabeba watawala yaani kuna siku tutapangiwa siku za kukutana na wake zetu.

Endeleeni tu kuwachekea hawa madicteta.

Uko sahihi, ila wapinzani watangaze kuwa kuanzia sasa hawatashiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Watumie pressure hii hii ya huu uchaguzi wanavyojichanganya kuhakikisha umma unabaki upande wa haki. Kwa kuanzia hata uchaguzi huu wasishiriki ili kujenga uhalali wa madai yao. Wakilogwa tu wakashiriki uchaguzi huu wameliwa.
 
Back
Top Bottom