Tetesi: Serikali kupeleka bungeni muswada wa Sheria juu ya chama cha siasa kujitoa kwenye uchaguzi

Tetesi: Serikali kupeleka bungeni muswada wa Sheria juu ya chama cha siasa kujitoa kwenye uchaguzi

Hatari sana...

Kila likitokea tukio, badala ya kukaa mezani na kujadiliana namna ya kulitatua...

Badala yake hilo tatizo linatungiwa sheria ya kulikuza tatizo...


Cc: mahondaw
 
Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Acha ujuha wewe, Ulaya ndo nini kuna Nchi inaitwa ulaya?? Taja Nchi unayoijua yenye sheria hiyo.

Alafu sijui kwanini hujawahi kuongea point hata siku moja kutwa upo humu JF lakini unakoboa pumba tu.
 
Kukomesha mnapewa pesa za ruzuku ,pesa za wananchi lakini hamshiriki uchaguzi
Wewe jamaa una roho mbaya saana kwani fedha ni za baba yako? Mbona wewe unakula bila kazi yoyote ya maana kwani unamchango gani kwa taifa.

Itakufaa nn hata tukikuachia hazina iwe mali yako pekeyako. Yaana kila komenti unayotoa ni ya kijinga saana wewe unafikiri kodi niya mama yako mzazi. Sasa nasema ulaaniwe wewe na kuzazi chako asiwepo mtu wa kizazi chako ataye isgi kwa furaha maisha , maisha yako yawe ni yenye kutanga tanga hata utapo yarudia mavumbi. Tamaa yako ikawe laana miguuni pako na ukawe na uzee mbaya wenye mateso yoote.

Kama mungu aishivyo ninakuapisha katika mungu aliyeziumba mbingu na nchi. Uzae mtoto wa mwisho haramu na kupitia yeye mungu akaiondowe furaha yako na ufanyika laana kama ilivyo roho yako.
 
Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa.

Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya uchaguzi)ili kuvinyonga kabisa vyama vyote vitakavyojiondoa Kwenye uchaguzi,wapambe hawa wakiongozwa na prof KIBUDU wameshaanda vifungu hivyo ili kukomesha aibu hii ya uchaguzi wa mwaka huu isitokee tena.

Wapambe wa jiwe wanahofu juu ya uchaguzi Mkuu hapo mwakani yasijetokea maafa zaidi Kwa taifa ndiyo maana Sheria nyingi za hovyo zitapelekwa bungeni ili kuwabana zaidi wapinzani....Sisi wananchi tunaiomba serikali hii ya awamu ya tano isituingize Kwenye vita ya wenyewe Kwa wenyewe

Kama vyama vingi kama nchi hatuvitaki tuweke sheria kusiwe na chama badala ya sheria za kupoteza muda na pesa za Watanzania
 
Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa.

Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya uchaguzi)ili kuvinyonga kabisa vyama vyote vitakavyojiondoa Kwenye uchaguzi,wapambe hawa wakiongozwa na prof KIBUDU wameshaanda vifungu hivyo ili kukomesha aibu hii ya uchaguzi wa mwaka huu isitokee tena.

Wapambe wa jiwe wanahofu juu ya uchaguzi Mkuu hapo mwakani yasijetokea maafa zaidi Kwa taifa ndiyo maana Sheria nyingi za hovyo zitapelekwa bungeni ili kuwabana zaidi wapinzani....Sisi wananchi tunaiomba serikali hii ya awamu ya tano isituingize Kwenye vita ya wenyewe Kwa wenyewe
Wapeleke muswada wa kuvifuta iwe moja wabaki Csiemu peke yao tu.
 
Uko sahihi, ila wapinzani watangaze kuwa kuanzia sasa hawatashiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Watumie pressure hii hii ya huu uchaguzi wanavyojichanganya kuhakikisha umma unabaki upande wa haki. Kwa kuanzia hata uchaguzi huu wasishiriki ili kujenga uhalali wa madai yao. Wakilogwa tu wakashiriki uchaguzi huu wameliwa.
Kweli mkuu, wakileta hiyo sheria basi vyama havijiandikishi kushiriki mpaka mazingira yatakapokuwa sawa, sasa hapo watavifuta kwa kutojiandikisha kushiriki, hataivo hiyo serikali itakayoleta sheria ya namna hiyo itakuwa ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom