Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
We wailete huku waone tutakavyochinja, YAANI unilazimishe nije kupiga kula, well nitakuja lakini nakupigia NO. NACHAGUE MWINGINE. hiyo sidhani kama wataleta.Hukumuelewa,Yaani ukitopiga kura unapigwa fain.Kwa kuwa kupiga kura ni jambo la lazima kwa raia mfano huko Australia. Lakini tanzania si lazima kwa raia kupiga kura,bado ni hiari tuu.
We ulifika ulaya ipi au umeona kwenye muvi za akina Denzel Washington
Taja nchi mkuu. Siyo nchi zote .... Hata Ulaya kuna turn out za below 70 %. Vile vile tatizo la sasa ni vyama kujitoa siyo wapiga kura!!Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Ulaya ya Dodoma 😂 😂 😂Uongo wa halibyajuu ulaya ipi hiyo?
We ulifika ulaya ipi au umeona kwenye muvi za akina Denzel Washington
Hatutaki kuona nchi yetu ikiingizwa kwenye machafuko au rais wetu kipenzi kuondolewa madarakali kwa aibu na kwa njia zisizo za kidemokrasia kama ilivyotokea kuwaHii ni dhahiri kuwa hichi kikundi cha majambazi hakishindwi kubadili katiba, Jiwe atawale mpaka achoke mwenyewe.
Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Matangopori ya le mutus, anayaharibu mazombie ya Lumumba!Feaces from lumumba street
Hakuna demokrasia ya kulazimishana, linapokuja suala la kulazimisha kushiriki uchaguzi maana ya demokrasia itakuwa haipo tena. Ni heri walete muswada wa kufuta demokrasia ya vyama vingi.Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa.
Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya uchaguzi)ili kuvinyonga kabisa vyama vyote vitakavyojiondoa Kwenye uchaguzi,wapambe hawa wakiongozwa na prof KIBUDU wameshaanda vifungu hivyo ili kukomesha aibu hii ya uchaguzi wa mwaka huu isitokee tena.
Wapambe wa jiwe wanahofu juu ya uchaguzi Mkuu hapo mwakani yasijetokea maafa zaidi Kwa taifa ndiyo maana Sheria nyingi za hovyo zitapelekwa bungeni ili kuwabana zaidi wapinzani....Sisi wananchi tunaiomba serikali hii ya awamu ya tano isituingize Kwenye vita ya wenyewe Kwa wenyewe
Hukumuelewa,Yaani ukitopiga kura unapigwa fain.Kwa kuwa kupiga kura ni jambo la lazima kwa raia mfano huko Australia. Lakini tanzania si lazima kwa raia kupiga kura,bado ni hiari tuu.
Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Ulaya gani uliyo wewe, sisi wengine hatujayasikia hayoHata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
ulaya nchi gani mkuu.Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Au unazungumzia Uganda na Ruwanda?Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Asee... Upinzani huu huu, Ususie uchaguzi wa serikali kuu? 😂😂 Ngoja tuoneUko sahihi, ila wapinzani watangaze kuwa kuanzia sasa hawatashiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Watumie pressure hii hii ya huu uchaguzi wanavyojichanganya kuhakikisha umma unabaki upande wa haki. Kwa kuanzia hata uchaguzi huu wasishiriki ili kujenga uhalali wa madai yao. Wakilogwa tu wakashiriki uchaguzi huu wameliwa.