Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Pumzisha kichwa upate muda wa kufikiri sawa-sawa.Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Siku izi kila kitu ni cha kutengenezea mazingira yanayowabeba watawala yaani kuna siku tutapangiwa siku za kukutana na wake zetu.
Endeleeni tu kuwachekea hawa madikteta.
Acha ujuha wewe, Ulaya ndo nini kuna Nchi inaitwa ulaya?? Taja Nchi unayoijua yenye sheria hiyo.Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Wewe jamaa una roho mbaya saana kwani fedha ni za baba yako? Mbona wewe unakula bila kazi yoyote ya maana kwani unamchango gani kwa taifa.Kukomesha mnapewa pesa za ruzuku ,pesa za wananchi lakini hamshiriki uchaguzi
Kuna nchi inaitwa ulaya?Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Hata Ulaya ukibainika haujapiga kura faini ni pesa kubwa mno
Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa.
Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya uchaguzi)ili kuvinyonga kabisa vyama vyote vitakavyojiondoa Kwenye uchaguzi,wapambe hawa wakiongozwa na prof KIBUDU wameshaanda vifungu hivyo ili kukomesha aibu hii ya uchaguzi wa mwaka huu isitokee tena.
Wapambe wa jiwe wanahofu juu ya uchaguzi Mkuu hapo mwakani yasijetokea maafa zaidi Kwa taifa ndiyo maana Sheria nyingi za hovyo zitapelekwa bungeni ili kuwabana zaidi wapinzani....Sisi wananchi tunaiomba serikali hii ya awamu ya tano isituingize Kwenye vita ya wenyewe Kwa wenyewe
Wapeleke muswada wa kuvifuta iwe moja wabaki Csiemu peke yao tu.Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa.
Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya wanaijuwa Sana Sheria wamepekeka proposal Kwa jiwe huku wakimpa na vifungu vya kuongezea(Sheria ya uchaguzi)ili kuvinyonga kabisa vyama vyote vitakavyojiondoa Kwenye uchaguzi,wapambe hawa wakiongozwa na prof KIBUDU wameshaanda vifungu hivyo ili kukomesha aibu hii ya uchaguzi wa mwaka huu isitokee tena.
Wapambe wa jiwe wanahofu juu ya uchaguzi Mkuu hapo mwakani yasijetokea maafa zaidi Kwa taifa ndiyo maana Sheria nyingi za hovyo zitapelekwa bungeni ili kuwabana zaidi wapinzani....Sisi wananchi tunaiomba serikali hii ya awamu ya tano isituingize Kwenye vita ya wenyewe Kwa wenyewe
Kweli mkuu, wakileta hiyo sheria basi vyama havijiandikishi kushiriki mpaka mazingira yatakapokuwa sawa, sasa hapo watavifuta kwa kutojiandikisha kushiriki, hataivo hiyo serikali itakayoleta sheria ya namna hiyo itakuwa ya ajabu sana.Uko sahihi, ila wapinzani watangaze kuwa kuanzia sasa hawatashiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Watumie pressure hii hii ya huu uchaguzi wanavyojichanganya kuhakikisha umma unabaki upande wa haki. Kwa kuanzia hata uchaguzi huu wasishiriki ili kujenga uhalali wa madai yao. Wakilogwa tu wakashiriki uchaguzi huu wameliwa.