Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N ngumu kumeza, ni mwizi tu yaani huku mtaani anaonekana fisadi na kabebwa. Ila tunaomuelewa tupo. Kosa lake ni namna alivyoingia TANESCO bila kutumia akiliMakamba jr ni Kijana Shupavu sana.
Propaganda za Mataga hizo.N ngumu kumeza, ni mwizi tu yaani huku mtaani anaonekana fisadi na kabebwa. Ila tunaomuelewa tupo. Kosa lake ni namna alivyoingia TANESCO bila kutumia akili
Mafuta hatuzalishi Tanzania lakini mnakata tozo, Je mmeajiuliza huko yanakozalishwa wangekuwa wanayatosa tozo Kama nyie yangenunulika?Bunge litaendelea na vikao vyake leo na kubwa linalotarajiwa kutokea ni mrejesho wa hatua ambazo Serikali inatarajiwa kuchukua kukabiliana na kupanda kwa kasi bei za mafuta kunakotajwa kusababishwa na vita ya Urusi na Ukraine...
Wewe acha mambo yako, lipi jema kwako sasa? Ndio huu mkopo ni justified unaenda kuleta relief hata future generation itaelewa kulikuwa na crisis wakakopa so hawataona ugumu kwenye kulipa huo mkopo.Wakuu Nasikia Kuna Mkopo kwa ajili ya kupunguza bei za mafuta [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
.
Hivi mkopo unaongesha burden au utapunguza gharama za mafuta?
Mkuu ulipokuwa upinzani ulikuwa na hoja 'ngumu'..baada ya kuhamia kibandamaiti ccm hueleweki tena.Propaganda za Mataga hizo.
Hii 100bn imetoka kwenye kubana matumizi, hiyo 800bn ya majirani waliikopa so tusubiri hapo July watakapokuwa wamesecure hiyo loan tuwahukumu kuanzia hapo.Bil 100 kidogo sana,
Kenya wametoa bil 800
worse minister everHawa watu hawapo serious hata kidogo
OkeeeeeeeeeyHii 100bn imetoka kwenye kubana matumizi, hiyo 800bn ya majirani waliikopa so tusubiri hapo July watakapokuwa wamesecure hiyo loan tuwahukumu kuanzia hapo.