Waziri anasoma hisia za bosi wake kwamba amesononeka.Rais anasikitishwa vipi wakati yeye ndio alikuja na kauli za kusema sisi mafuta yetu yako bei chini kuliko kwa mabeberu na lazima yapande. Yeye ndiye alikuja na kauli lazima vitu zipande bei. Wanatoa viziwi eh
Huku huwa wanasema tumesikia kelele za wananchi, huo msononeko huwa una wakati gani?