Serikali kutoa ruzuku ya bilioni 100 kunusuru bei ya mafuta. Yaomba mkopo IMF na Benki ya Dunia

Kila kitu tunakopa sasa, mpaka hela ya sensa tunakopa, baadae itakuwaje.

Mungu tupo mikononi mwako naomba utunusuru.
 
Mtumishi afanye Kazi ya umma afu alipie 30% ya pesa zake kufanya Kazi ya umma? Kuwa serious basi hata kama ni mjinga.
Mtumishi anapewa gari, nyumba na dereva; Muda mwingi gari la umma linafanya kazi zake, haya magari ndiyo tunayokutana nayo maada ya masaa ya kazi - NDIYO wachangie 30% ya mafuta - kama uchungu wote tuuone - na hii ni kuzazia Rais mwenyewe hadi Mtendaji wa kitongoji.

Ni lazima tuugawane pamoja umaskini wetu - hamna namna nyingine ndugu, usihamaki tunakwenda taratibu kutatua hili tatizo la mfumko wa bei - ni lazima tubane matumizi.
 
wauze mavi-8 yote ya wakurugenzi na madc pesa zielekezwe kwenye kupunguza gharama ya mafuta pia mikutano mingi ifanywe online na sio kwenye mihotel ya nyota 5
Ukitaka kuwaudhi wewe gusia hayo ma V8 yao, yaani unakuta wameweka vichoka full AC, kuwaambia wachangie walau 30% ya mafuta ya gari kwa mwezi - wanan'gaka hao balaaaa.
 
Serikali yote imeshindwa kazi IJIUZULU tuanze upya
 
Wapi uliwahi ona kwamba muda mwingi gari ya ofisi inafanya Kazi binafsi?
 
Kuhamishia tozo kwenye bidhaa nyingine ndio hakuleti inflation? Je kutatuhakikishia pesa ya barabara?
Kwahiyo Bei za vifurushi zikipanda itapelekea bei zingine kupaa?? Au Kodi ikiongezwa kwenye export levy ya korosho bidhaa zingine zitapanda bei?? Huwezi linganisha spillover effect ya Nishati yoyote kwa service zingine kma mawasiliano au utali n.k


umekariri tozo,tozo wakati pale kuna excise duty kubwa kuliko hizo zingine zote.
Nmeongelea sababu umegusia Miradi na wote tunafahamu hizo tozo nilizotaja zipo specific zinaenda wapi sio kama hizo excise duty ambazo mwisho wa siku zinaenda hazina kupangiwa matumizi!!!

Wewe uko nje wenzio tuko ndani,kufanya hayo unavyosema itategemeana na mwenendo wa Uchumi na yanafanyika hatua kwa hatua..
Ndio muwe wabunifu sasa, hatua kwa hatua wakati ni crisis hamsaidii kitu. Tatizo hapa currency yetu itashuka thamani maana purchasing power ya shillingi moja inaporomoka relative to dollar. Exports zitakua gharama tutacompete wapi? Imports nazo zitakua bei juu maana you'll get less products with a shilling today than last year!! Hayo yakitokea hata mkikusanya Bado say trillion 1 kutoka kwenye mafuta tu mtakuta karibu 200Bn imekufa thamani which in turn mngeweza ihamisha mapema kuokoa dhahama huko mbele ya kushuka kwa thamani ya shillingi na Mfumuko wa bei, interest rates zitapaa pia sababu wakopaji watakua wengi kukidhi liquidity n.k.
 
Bil 100 nimeichukua kama ilivyo nimeingawanya kwa kila mtanzania kwa kuchukulia kwamba tupo 60m.

JIBU kila mtanzania amepata ahueni ya bei kupanda kwa Tshs. 1,666.

Huu ni utani.
 
Kwenye vifurushi tayari kuna tozo ya maji na Tarura ,huwezi ongeza tena na ni huduma yenye substitute nyinginna very elastic so haitaleta uhakika wa mapato
 
Bil 100 nimeichukua kama ilivyo nimeingawanya kwa kila mtanzania kwa kuchukulia kwamba tupo 60m.

JIBU kila mtanzania amepata ahueni ya bei kupanda kwa Tshs. 1,666.

Huu ni utani.
Will never happen..Tafuta consumption rate ya mafuta Kwa siku ndio utapata jibu..hiyo ni less by far kwa sh.200
 
Will never happen..Tafuta consumption rate ya mafuta Kwa siku ndio utapata jibu..hiyo ni less by far kwa sh.200
Ongezeko la bei ya mafuta limeiathiri kila kaya hapa Tanzania, kwa hiyo ni lazima tupige hesabu kwa kila mtanzania amepata ahueni gani kwa ruzuku hii ya bil 100.

Ni utani.
 
Ongezeko la bei ya mafuta limeiathiri kila kaya hapa Tanzania, kwa hiyo ni lazima tupige hesabu kwa kila mtanzania amepata ahueni gani kwa ruzuku hii ya bil 100.

Ni utani.
Unatumia mechanical methodszfine Hiyo 1650 yako ni ruzuku ya muda Gani? Igawe Kwa mwezi na siku 😜😜
 
Unatumia mechanical methodszfine Hiyo 1650 yako ni ruzuku ya muda Gani? Igawe Kwa mwezi na siku 😜😜
Bil 100 imetolewa kwa mwezi June ambao una siku 30.

Sasa simple nimeigawanya kwa watu 60m nchi nzima - Jibu kila mtanzania kwa hizo siku 30 yaani 1st June hadi 30th June atapata ahueni ya Tshs 1,650.

Sasa ukitaka kupata jibu zuri zaidi chukua hiyo 1,650 gawanya kwa siku 30 ili upate ahueni ya kila mtanzania kwa siku... 1650 / 30 = centi 55 tu.

Ni utani sana huu.
 
Hata kama Rais alikosea mwanzo aliposema bei ya mafuta itapanda tujiandae, lakini kwa hii hatua aliyochukua namuunga mkono hasa ya kutoa ruzuku ya bilioni 100, we all learn from mistakes.
Kutoa hiyo fedha sioni kama kuna nia ya dhati naamini kushusha. Haya yanaigwa ila hela hii itapigwa tu. Kwa kiongozi smart tulitarajia aseme hiyo 100B itafanya nini, itapunguza nini. Zaidi hii itakuwa sehemu ya upigaji tu na maisha yataendelea. Sijaona mipango hapa zaidi ni kuongeza upigaji. Tuamke
 
Ndio maana nikakwambia uko too mechanical, serikali haifanyi hesabu zake kienyeji hivyo..

Iko hivi,,matumizi ya mafuta Kwa mwezi kwa Nchi Kwa bei za kabla ya kupanda ni Lita mil.400..

So 100bln/400mln Unapata sh .250/ litre kwa hiyo chukua bei ya Dar au average price less hiyo 250 .
 
Hivi kwenye gesi ya kusini hatuna chetu!? maana sioni hii serikali ikiongelea kuhusu kufanya exploitation ya gesi kama chanzo muhimu cha nishati na chanzo cha mapato ya nchi hasa tukiuza nje.....
Naona kiiiiiimya
 
Watakaokuelewa ni wachache sana, tena ambao ndiyo walewale mlikokotoa hizo bil 100 mkaona zinatufaa watu 60m kwa siku 30.

Utaniambia kama impact ya Bil 100 kwa watu mil 60 kwa wezi itaonekana....huu ni UTANI, ni bora mngeacha kabisa ili lijulikane moja.
 
Tulipie mafuta kufanya kazi za umma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…