Ushaambiwa unaweza kaa navyo wiki mbili visionekaneAcha uongo wewe...Port Health kila Siku pale KIA kwenye arrival side sana scan watu wanaoingia kuhusu Afya...
Same to JNIA .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi picha mbona mnaweka za Huko Kenya jamani. Wakenya wameruhusu Wachina 239 kuingia nchini mwao na waliofanya hivyo wameamriwa na Mahakama wawatafute hao wachina wote popote walipo. Watu wachache wajinga kwa maksudi au kwa chuki zao wametumia hiyo picha kuwa hao wachina Wameingia Tanzania, this is totaly wrong and unfair.
Aisee nimesomaaa balaaWakati nchi mbali mbali duniani wana jihami na ugonjwa wa Corona ulioanzia China na kusambaa kwa kasi nchi mbali mbali jitihada zinafanyika kuzuia kusambaa zaidi ikiwemo kutopokea wageni kutoka China.
Nimeshangaa kuona afisa pale Kilimanjaro Inter. Airport ana furahia kupokea eti wageni wengi wanaotoka China kuja pumzika kutokana na kwao kusambaa corona.
Tuwe makini pesa ya utalii isije angamiza taifa. Nchi tajiri duniani zime kumbwa na huu ugonjwa na hawajaweza kuudhatiti sembuse sisi masikini tunao jazana kenye matatu na dala dala.
Rais toa neno taifa lisijeangamia. Kenya rais wao ameshapiga marufuku ndege toka China kutua tena baada ya waliopewa dhamana kushindwa kuweka zuio. Hali inajulikana haitavunja uhusiano wetu na China.
Mtu mmoja toka Italy kesha peleka ugonjwa Nigeria, hili ni somo.
Weka ushahidi wakiingia Tzie vinginevyo acha porojo za kusikia vijiwe vya kahawa zitakuponza maaana tunakuheshimu hapa JF.Wakati nchi mbali mbali duniani wana jihami na ugonjwa wa Corona ulioanzia China na kusambaa kwa kasi nchi mbali mbali jitihada zinafanyika kuzuia kusambaa zaidi ikiwemo kutopokea wageni kutoka China.
Nimeshangaa kuona afisa pale Kilimanjaro Inter. Airport ana furahia kupokea eti wageni wengi wanaotoka China kuja pumzika kutokana na kwao kusambaa corona.
Tuwe makini pesa ya utalii isije angamiza taifa. Nchi tajiri duniani zime kumbwa na huu ugonjwa na hawajaweza kuudhatiti sembuse sisi masikini tunao jazana kenye matatu na dala dala.
Rais toa neno taifa lisijeangamia. Kenya rais wao ameshapiga marufuku ndege toka China kutua tena baada ya waliopewa dhamana kushindwa kuweka zuio. Hali inajulikana haitavunja uhusiano wetu na China.
Mtu mmoja toka Italy kesha peleka ugonjwa Nigeria, hili ni somo.
Hahahaaaampwaaaambavuuzanguu.makamuu.akajuaa.kufaakufaana.anatengenezahelaazautaliii...analooNaombea anaeruhusu Wachina Kuingia KIA Nchini Korona Ianze nae,Kama ilivyoanza na Makamu wa Raisi wa Irani!
Mwenye Mamlaka wa Kuzuia hawazuii,Corona ianze nao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua leso kwa wingi hiyo mask kwa sasa ni rubi kwanza hamnaMzigo umeshatua nyumbani tayari.Mask za kuziba midomo na pua zinauzwa wapi?
Watoto wetu warudi nyumbani tupambanie uhai huku
This somehow triggers my mind. Yawezekana yaliyomo yamo maana si kwa ukimya huu while tuko katika situation ya kuukaribisha huu ugonjwa muda wowote ule kwa kuwakaribisha wageni wa kichina nchini eti tunakuza utalii.Kwanza unaongea peke yako Awamu ya tano wanataka Corona iingie haraka ili waendelelee kupiga marufuku mikusanyiko
Ili kampeni zisifanyike hata Watanzania milioni ishirini wakifa CCM haijali wanachojali ni kujichimbia Ikulu na kuendelea na ulaji wao
Inamaana hatujifunzi kwa majanga ambayo yalishatokea hapo kabla?No body cares hadi litokee la kutokea..
Umeishia darasa la ngapi?Acha uongo wewe...Port Health kila Siku pale KIA kwenye arrival side sana scan watu wanaoingia kuhusu Afya...
Same to JNIA .
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM iko busy kumshughulikia Membe na upinzani sio kujadili corona.corona sio tishio Ila wapinzani wa maendeleo.
Acha uongo wewe...Port Health kila Siku pale KIA kwenye arrival side sana scan watu wanaoingia kuhusu Afya...
Same to JNIA .
Kwa ugonjwa huu hilo haitoshi. Yeyote atokaye huko, awe ana hizo dalili au la, anatakiwa awekwe sehemu iliyo ya kujitenga kwa siku 14, akipimwa joto, kuangalia choo na kama anatapika, kuumwa mwili n.k. mpaka ihakikishwe kweli hana madhara.Acha uongo wewe...Port Health kila Siku pale KIA kwenye arrival side sana scan watu wanaoingia kuhusu Afya...
Same to JNIA .
Sent using Jamii Forums mobile app