Serikali kuwajadili waliokataa Ukuu wa Wilaya

Siyo kila mtu anaweza kuwa DC
For this case, why only viongozi wa CWT leaders denied an appointment? Hupati maswali ya kujiuliza? Hujiulizi kuna nini CWT?

Kuna mahali nilisoma moja ya indications za fraud ni mtu kugomea kuhama ofc, teuzi, Likizo etc.... kuna namna ambayo mtu huyo anataka kuficha uchafu anaoufanya kupitia ofc ile!

That could be the case..... Serikali iwe upande wa Waalimu ifanyike special Auditing ya mfuko wa CWT....tutapata majibu ya kiburi cha hawa viongozi!!!
 
Ule mgogoro uliotatuliwa hivi karibuni uliokuwepo kwenye hicho chama uliwahi kuusika? Na kama uliwahi kuusikia; unadhani kwa nini ulikuwepo?
 
Uko sahihi kabisa. Ndiyo maana mamlaka za uteuzi zikawaona wao kuwa wanafaa kuwa ma-DC na siyo mimi au wewe. Vinginevyo kama mimi na wewe tungekuwa tunafaa na si wao, basi wao wasingeteuliwa ila mimi na wewe ndiyo tungekuwa kwenye list hiyo
Aliyeteuliwa mwenyewe kaona hawezi
 
Uko sahihi. Kama ni kweli huku ni kupotezeana wakati. Labda kama wanataka kujadili imekuwaje mtu anateuliwa kabla ya kupata uhakika kuwa anautaka huo uteuzi? Hamna mahali penye Katiba au Sheria panaposema kuwa ni lazima mtu kukubali uteuzi.

Badala ya kulikuza na kuangalia namna ya kuwaadhibu wangependekeza watu mbadala lakini safari hii wawaulize kwanza. Na waangalie namna ya kurudisha heshima ya hivi vyeo maana wako watakaosita kukubali vyeo vilivyoshehena wasanii na wanasiasa walioshindwa sehemu zao.

Amandla...
 
...wastage of time and resources, kwwani hii ni vita ya mtukula kwamba mtu asipokwenda anachukuliwa hatua? Au walitaka wakaripoti, wasitimize wajibu wafukuzwe kwa aibu?
Mbona kwenye ajira zingine mtu usiporipoti unatemwa nafasi anapewa mtu mwingine fasta sasa hao cwt mnawang`ang`ania nini au mlikuwa na lenu jambo juu yao
 
Labda kuna jambo CWT ambalo Rais alitaka kulifanikisha, yaani kuwaondoa CWT kisha baada ya siku chache kutengua uteuzi hivyo wabaki hawana mbele wala nyuma!
 
Yaani upigaji unataka kutufikisha kwenye level ambayo mpigaji ana mamlaka ya kuamua waziwazi kabisa kuwa anapendelea aendelee kupiga wapi
 
Assuming amekataa uteuzi kwa sababu mahali alipo, alishaji-establish kiasi kwamba bado anadhani kuwa anaweza kuendelea kufanya fraud pasipo kujulikana, kama ataendelea kubaki pale?
 
Ni wakati sasa kama hatuna muongozo wa kuteua watu uandaliwe. Nafikiri ni busara kuwe na option ya mteuliwa kukubali kabla ya kuapishwa
 
Siyo kila unachoambiwa ni lazima ukubali...
 
Mkuu uloyosema ni sahihi.

Lakini uelewe kwa maelezo yako, mwenye kufanya hivyo alitakiwa afanye wa sekta binafsi.

Ukitunishia misuli ajira ndani ya ajira huku umeajiriwa na serikali hiyo hiyo, haujijengei mazingira rafiki.

Halafu wote waliokataa teuzi wanatoka ofisi moja, huoni kunaleta sintofahamu, unawapa Serikali kuhoji kuna nini ama maslahi gani wanang'ang'ania hawa staff?

Mambo mengi sana yanaweza kuibuliwa hapo.

Embu tusihukumu kwanza tusubiri sakata hili tuone litaishia wapi.
 
Mkuu umeufunga mjadala kwa comment yako hii.
 
Wabongo vichwa vimejaa mende. Ni majuha na maiti mnaotembea.
Sio Kila mtu anaongozwa na mihemko na hisia.Tunaongea tunachojua administratively.Wewe unaleta porojo za mtaani.Do reaserch and attack
 
Mimi kwa mfano, ni raia wa Tz, Ila sijui na sijaona ni wapi Katiba ya Tz inanilazimisha kwenda na kufanya kazi niliyoteuliwa na rais!
Na kama hivyo ndio utaratibu, Kati ya watu milioni 60, rais kashindwa kuokota yeyote mitaani, kama ni lazima, akaifanye hiyo kazi? Ung'ang'anie watu watatu, wenye shughuli zao muhimu za kutetea waalimu wenzao?! Kama si kusudi maalum la kuwaacha waalimu solemba, rais ana lengo gani zaidi? Ni Ile kamba ndefu ya ulaji, mtu analazimishwa aivae shingoni ili akale!
Rais acha rushwa!
 
Mbona kama sio wasomi waajiriwa? Muajiri wao ni serikali ambayo inawalipa mishahara na inaweza kuwapangia majukumu mengine kwa kuwa ni waajiri wake. Kwanza ni utovu wa nidhamu kugomea uteuzi huo
Matatizo ya kazi zisizo na usaili! Unajiokotea yeyote tu, kwa vigezo gani, halafu bila aibu unamshurutisha! Serikali uozo kabisa!
 
Hilo neno. Yaan inashangaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…