Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Roho zinawauma mnaona inakuwa vigumu kuwadhuru😂😂😂😂hawa niwalinzi binafsi wa Chairman
 
Acha uoga kaka watatu tu umeshaanza kutweta je wangekuwa wengi kama uvcvm?
 
yaani yote hii mbowe asilindwe ila amber Ruty akilindwa na mabounsa ili mpalange wake uwe salama hakuna kelele
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Shida ya ccm wote akili zenu kisoda,jitie dole upunguze wivu
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Kuuuma la mmko, na CCM kua na kundi la vijana wakakamavu ni nini ?
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Ni sahihi kabisa.
 
Hujitambui
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
 
Back
Top Bottom