Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Kabisa leo nimemsikia waziri wa fedha akushindwa kujibu swali la mwandishi kwamba kwa nini serikali haitafuti new sources za mapato na kuacha kukamua watu? Kiukweli hakuwa na majibu, sasa nikajiuliza kwa nini wasishirikishe maprofesa wa uchumi, wafanyabiashara au mtu yeyote awasaidie kupata new sources lakini wawalipe??
 
Kuna dada mtamu kama abella danger na mmama mtamu kama Ryan conner
 
siku sio Nyingi wataleta tozo ya cha asubuhi washapoteza mwelekeo!
hawa hawa viongozi ndio wangaliaji wakubwa kuna mmoja alikuwa ana ulizia vip huna connection ata za Ulaya ata Kihindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…