Serikali kwanini inaficha picha za Katesh, Hanang?

Serikali kwanini inaficha picha za Katesh, Hanang?

Mawqziri ni wanasiasa, si wanajiografia, wapigapicha wala walimu.

Hawawezi kuacha nafasi ya kujipiga picha wao wapige picha ya mlima kukufundisha wewe.

Uchumi ukichanganya, kina Millard Ayo na wenzake watapata chopa nankwenda kupiga picha.

Vilevike, kwa sasa inawezekana ni mapema sana kupata picha za juu kwa sababu watu wanatafiti kilichotokea ni nini, wasije kwenda kupiga picha huko wakakutana na ajali nyingine.
Sasa mbona bashungwa alitumia chopa kuchungulia maafa, Lakin hakuonyesha maafa, akajionyesha yeye mwenyewe akiwa ndani ya chopa,
 
Sasa mbona bashungwa alitumia chopa kuchungulia maafa, Lakin hakuonyesha maafa, akajionyesha yeye mwenyewe akiwa ndani ya chopa,
Jibu la swali lako lipo katika post uliyoinukuu.

Umeisoma na kuielewa au umeinukuu tu?

Waziri ni mwanasiasa, interest yake ni kukuonesha wewe mwananchi kuwa yupo katika eneo la maafa.

Interest yake si kukufundisha wewe jiografia.

Huelewi nini hapo?
 
Jibu la swali lako lipo katika post uliyoinukuu.

Umeisoma na kuielewa au umeinukuu tu?

Waziri ni mwanasiasa, interest yake ni kukuonesha wewe mwananchi kuwa yupo katika eneo la maafa.

Interest yake si kukufundisha wewe jiografia.

Huelewi nini hapo?
Kwa hiyo wewe Una msaada Gani , ili nizipate hizo picha
 
Kwa hiyo wewe Una msaada Gani , ili nizipate hizo picha
Kuna muandishi mmoja wa Kiingereza nilikuwa napenda sana kumsoma, alikuwa anaitwa Christopher Hitchens.

Hitchens alitoa historia ya jinsi alivyoanza uandishi.

Alisema, yeye alikuwa anapenda sana kusoma habari za kimataifa, hususan za vita.

Lakini, alikuwa anahuzunika sana, kwa sababu karibu kila habari aliyoisoma aliona ina mapungufu mengi sana. Akasema hivi hakuna muandishi wa habari mzuri anayeandika mambo kwa kina? Akaona uandishi mzuri anaoutaka kama haupo.

Akasema sawa, basi kama uandishi ninaoutaka siupati kwa watu wengine, nachukua jukumu hili mimi kuwa muandishi na kuandika habari kwa jinsi ninayoitaka mimi.

Hitchens alienda kuwa "war correspondent" muhimu sana wa magazeti mengi makubwa, watu walipenda sana jinsi alivyoandika, waliona tofauti kubwa sana jinsi alivyoandika.

Sasa, na wewe mwenzetu, inawezekana una kipaji kikubwa sana cha kuona kitu kinachokosekana ambacho labda wengi tunakihitaji, lakini hatujakijua tu kutokana na kuishi kwa mazoea.

Sasa, nimekupa hiyo habari ya Christopher Hitchens upate changamoto ya kuanza kuifanya hiyo kazi ambayo unaona haifanywi.

Kazitafute picha mwenyewe, anzisha biashara au organization ya kazi hizo, anzisha website, tafuta wafadhili wanaopenda mambo hayo. Ifanye hiyo kuwa ni passion yako.

Unaweza kuja kuwa Christopher Hitchens au Sir David Attenborough wetu.

Mara nyingine, if you see a gap in doing something, and you want that something to be done well, do it yourself.

Jielimishe, andika project plan, present kwa watu watakaokupa funding, mfano www.kiva.org halafu piga kazi.

Tunalalamika ajira hakuna, kumbe ajira zenyewe ndiyo hizi hizi passions zetu.

Nakuona kama una passion sana na hizo picha.

Chukua changamoto hiyo na ifanyie kazi.
 
Kuna muandishi mmoja wa Kiingereza nilikuwa napenda sana kumsoma, alikuwa anaitwa Christopher Hitchens.

Hitchens alitoa hadithi ya jinsi alivyoanza uandishi.

Alisema, yeye alikuwa anapenda sana kusoma habati za kimataifa, hususan za vita.

Lakini, alikuwa anahuzunika sana, kwa sababu karibu kila habari aliyoisoma aliona ina mapungufu mengi sana. Akasema hivi hakuna muandishi wa habari mzuri anayeandika mambo kwa kina? Akaona uandishi mzuri anaoutaka kama haupo.

Akasema sawa, basi kama uandishi ninaoutaka siupati kwa watu wengine, nachukua jukumu hili mimi kuwa muandishi nankuandika habari kwa jinsi ninayoitaka mimi.

Hitchens alienda kuwa "war correspondence" muhimunsana wa magazeti mengi makubwa, watu walipenda sana jinsi alivyoandika, waliona tofauti kubwa sana jinsi alivyoandika.

Sasa, na wewe mwenzetu, inawezekana una kipaji kikubwa sana cha kuona kitu kinachokosekana ambacho labda wengi tunakihitaji, lakini hatujakijua tu kutokana nankuishi kwa mazoea.

Sasa, ninekuoa hiyo habari ya Christopjer Hitchens upate changamoto ya kuanza kuifanya hiyo kazi ambayo unaona haifanywi.

Kazitafute mwenyewe, anzisha biashara au organization ya kazi hizo, anzisha website, tafuta wafadhili wanaopenda mambo hayo. Ifanye hiyo kuwa ni passion yako.

Unaweza kuja kuwa Christopher Hitchens au Sir David Attenborough wetu.

Mara nyingine, if you see a gap in doing something, and you want that something to be done well, do it yourself.

Jielimishe, andika project plan, present kwa watu watakaokupa funding, mfano www.kiva.org halafu piga kazi.

Tunalalamika ajira hakuna, kumbe ajira zenyewe ndiyo hizi hizi passions zetu.

Nakuona kama una passion sana na hizo picha.

Chukua changamoto hiyo na ifanyie kazi.
Asante sana
 
Mara nyingi kunielewa kirahisi ni vigumu.

Kwa sababu hatuko sawa.

Ila, usiponielewa, unaweza kunielewa baada ya kufuatilia sana.

Au unaweza usinielewe ukaniona niko Antipodes tu.
Okay 👍
 
Kiranga tunza heshima Yako bana! Kwani lazima watu wapande kwa miguu kwa Dunia ya leo iliyojaa Kila aina ya teknolojia?
Mkuu,

Kama unaniheshimu sana, na hiyo heshima inaelekea kuninyima uhuru wangu wa kujieleza, naomba uiondoe hiyo heshima kwangu, unibakishie uhuru wangu wa kujieleza.

Nikiambiwa nichague kati ya upande mmoja kuheshimiwa sana na watu hapa JF, au upande wa pili kuwa na uhuru wa kujieleza ninavyotaka, nitaamua kuwa na uhuru wa kujieleza ninavyotaka.

Kwa hivyo, usifanye heshima iwe mnyororo wa kuninyima uhuru wa kujieleza.

Kwenye post yako.

Kwani wapi nimesema wapande kwa miguu?

Watanzania wengi wanaodai dai vitu kwa mtindo wa thread hii, wana tatizo la kutaka kufanyiwa kazi. Yani wanataka wengine wafanye kazi, wao wapate faida tu.

Muimbaji wa muziki wa reggae Anthony B aliimba.

"Nobody wants to plant the corn
Everybody want to raid the barn
Who are you going to blame it on
When it is a next man you are depending on?"

Yani.

"Hakuna mtu anayetaka kupanda mahindi
Kila mtu anataka kuvamia ghala na kuchukua mahindi
Utamlaumu nani ikiwa unategemea mambo yafanywe na mtu mwingine tu?"


Hii inaweza kuwa fursa yako kuanzisha kitu muhimu ambacho hakipo, watu wanakihitaji na ni cha manufaa kwa jamii.

Lakini, na wewe usichangamkie hiyo fursa, unategemea watu wengine wakufanyie kazi.

Matokeo yake nchi nzima mnalaumiana, kila mtu anategemea mwingine afanye kazi, lakini yeye hataki kuifanya hiyo kazi.


View: https://youtu.be/k-hCpJ2e30k?si=QLBCYySIKN7My91p


View: https://youtu.be/1S8Ha__cJgY?si=X9GfvMO0QlR4XPnw
 
Duuh.

Sasa mtoa mada serikali ikificha jambo hili inapata faida gani kwa jambo ls ufichaji huo ?

Hiyo faida inawez kumake sense kwamba ni kubwa sana hiyo faida kuliko kuzificha pichq hizo ?

NI sawa na watu wanaoamini kwamba dunia ni flat huku wakisema kwamba tunafichwa kuambiwa ukweli huo,ila wakiulizwa kwamba wanaoficha ukweli wa dunia flat wanapata faida gani katika kuficha huko ? Majawabu yanakuwa hayana mvuto.

Hivyo mtoa mada kabla ya kusema jambo hilj ilitakiwa uje na strong reasons za kuonesha namna ambavyo hao wafichaji wa picha namna wanavyonufaida.
 
Mkuu,

Kama unaniheshimu sana, na hiyo heshima inaelekea kuninyima uhuru wangu wa kujieleza, naomba uiondoe hiyo heshima kwangu, unibakishie uhuru wangu wa kujieleza.

Nikiambiwa nichague kati ya upande mmoja kuheshimiwa sana na watu hapa JF, au upande wa pili kuwa na uhuru wa kujieleza ninavyotaka, nitaamua kuwa na uhuru wa kujieleza ninavyotaka.

Kwa hivyo, usifanye heshima iwe mnyororo wa kuninyima uhuru wa kujieleza.

Kwenye post yako.

Kwani wapi nimesema wapande kwa miguu?

Watanzania wengi wanaodai dai vitu kwa mtindo wa thread hii, wana tatizo la kutaka kufanyiwa kazi. Yani wanataka wengine wafanye kazi, wao wapate faida tu.

Muimbaji wa muziki wa reggae Anthony B aliimba.

"Nobody wants to plant the corn
Everybody want to raid the barn
Who are you going to blame it on
When it is a next man you are depending on?"

Yani.

"Hakuna mtu anayetaka kupanda mahindi
Kila mtu anataka kuvamia ghala na kuchukua mahindi
Utamlaumu nani ikiwa unategemea mambo yafanywe na mtu mwingine tu?"


Hii inaweza kuwa fursa yako kuanzisha kitu muhimu ambacho hakipo, watu wanakihitaji na ni cha manufaa kwa jamii.

Lakini, na wewe usichangamkie hiyo fursa, unategemea watu wengine wakufanyie kazi.

Matokeo yake nchi nzima mnalaumiana, kila mtu anategemea mwingine afanye kazi, lakini yeye hataki kuifanya hiyo kazi.


View: https://youtu.be/k-hCpJ2e30k?si=QLBCYySIKN7My91p


View: https://youtu.be/1S8Ha__cJgY?si=X9GfvMO0QlR4XPnw

Mkuu ndo maelezo yote hayo
 
Back
Top Bottom