Mabinti mnakuwa na maneno ya hovyo? Mimba changa inakupelekesha wewe na mimi sio niliyekubebesha hiyo mimba dadanaona mapovu yanakutoka.........ukibishana na mpumbavu nawe utakuwa mpumbavu.....ungekuwa umeipitia DSM map zone ungetambua ya kuwa wewe ni wale wale....shabiki kumbukizi......DSM map zone 2018.......katafute mbwiga mshika mwiko wewe....
Hata wimbo wetu wa taifa unaanza na neno "Mungu". Tofautisha Mungu na Dini. Ni kweli serikali haina dini (tamka 'dini mahsusi), lakini inaongozwa na watu wanaomwamini Mungu na raia wake wanamwamini Mungu katika dini zao mbalimbali.Serikali haina dini mbona huyu waziri anaandika kuhusu Mungu kwenye document ya kiserikali?
Wakina nani, wewe haukuhusu?
Kwani ukiwa unawahisha mgonjwa wa malaria hospitali katika ambulance, halafu hiyo ambulance ikapata ajali mgonjwa akafa utasema kafa kwa sababu gani?Kumbe alikuwa anasumbuliwa na maradhi mengine..........kabla ya COVID-19.
HIV siku hizi siyo ishu tena huoni Chakubanga anavyotamba na kukejeli watu kuhusu Corona?Na HIV je?
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Corona imeuwa bila KUKUSUDIA?Tunaisingizia Corona,,!
Corona haiwezi kuua bila kupata msaada wa Ugonjwa mwingine..
My Take:Tujihadhari na kufanya Jitihada za wazi kuepuka maambukizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakamatwa weweKuna mchina mmoja leo kafa asubuhi rungwe hotel iliopo mtaa wa mahiwa kariakoo inasemekana ni corona
[emoji16][emoji1]
Mkuu Elli achana na hawa vibwengo waliotungwa mimba kwenye mikesha ya mwengeSawa mjinga ni mimi, unawashwa nini na ujinga wangu?
Ngoja akiipata Chakubanga tutapata mfano haiHivi Covid-19 akikutana na HIV/ AIDS ngoma inakuwaje?
Ushauri wangu kwa wizara ya Afya: kusema mgonjwa alikuwa na magonjwa mengine ni kupunguza makali ya corona na wananchi watadhani corona yenyewe haiwezi kuua. Zingatieni tafadhali.
Sawa, naunga mkono hoja.Kwanini useme hivyo kwani kuna ambao watu waliacha kufa? Kila saa watu wanakufa haijarishi corona,kipindupindu wala ebola.
Kumbe korona ipo.....
Endeleeni kukebehi tu lakini hatujui ya kesho. Marehemu alikuwa na asili ya pumu na siyo kama alikuwa kwenye hali mbaya kabla ya kuugua. Alilazwa hospital ya Agha khan na watu wengi walikuwa wanamtembelea hospitalini kabla hajahamishwa.Upungufu wa kinga mwilini huwenda ndio ikawa chanzo cha kifo chake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili siyo suala langu peke yangu.Ulikatazwa kufanya hizo hatua stahiki?
ni Aya ya Qur'an. Tunaisoma Qur'an kutwa mara tano kwa uchache leo miaka zaidi ya 1400 hatujachoka na hatutachoka daima. Soma...
الَّذِينَ إِذَا أَصَابَتْهُم مُّصِيبَةٌ قَالُوا إِنَّا لِلَّهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ - 2:156
Who, when disaster strikes them, say, "Indeed we belong to Allah, and indeed to Him we will returnable."
Unataka watu wasiende kutibiwa huko...Leo nilipofika ofisini nikasema dah..nilikuwa mloganzila...it was just a joke...lakini reaction ya wenzangu mmmhMloganzila bado Inafanya vizuri kwenye headlines za vifo bila kujali ugonjwa
Jr[emoji769]
Hahaha A 700,000 dollar questionKwahiyo mnyika ni mbunge wa mkoa wa pwani?
Inaelekea unakejeli juhudi za Rais na serikali katika mapambano dhidi ya CoronaCCM njooni muendelee kumsifia Jiwe, yaani baada ya kutuibia mmeamua sasa kutuacha tufe kwa Corona....