Serikali: Mikoa ya Tanga, Arusha, Mwanza, Pwani na Geita ina viashiria vya Ugaidi

Serikali: Mikoa ya Tanga, Arusha, Mwanza, Pwani na Geita ina viashiria vya Ugaidi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Waziri wa Mambo ya Ndani Eng. Masauni Yusuph Masauni ameitaja mikoa hiyo kuwa imekuwa na matukio ya kukamatwa kwa watuhumiwa waliokimbia baada ya kufanya vitendo vya ugaidi katika nchi jirani.

Pia, kuna dalili ya kuenea kwa itikadi za msimamo mkali zinazopelekea watu kuhamasika na kujiunga na vikundi vya kigaidi nje ya nchi hali inayoweza kusababisha vitendo vya kigaidi nchini.

Leo Septemba 19, 2022 Bunge limeridhia na kupitisha Itifaki ya mkataba wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Ugaidi wa Mwaka 2004, mkataba huo umecheleweshwa kutekelezwa nchini kwa miaka 18.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani Eng. Masauni Yusuph Masauni ameitaja mikoa hiyo kuwa imekuwa na matukio ya kukamatwa kwa watuhumiwa waliokimbia baada ya kufanya vitendo vya ugaidi katika nchi jirani.

Pia, kuna dalili ya kuenea kwa itikadi za msimamo mkali zinazopelekea watu kuhamasika na kujiunga na vikundi vya kigaidi nje ya nchi hali inayoweza kusababisha vitendo vya kigaidi nchini.

Leo Septemba 19, 2022 Bunge limeridhia na kupitisha Itifaki ya mkataba wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Ugaidi wa Mwaka 2004, mkataba huo umecheleweshwa kutekelezwa nchini kwa miaka 18.
Kwasababu imekwisha bainikiwa Ugaidi upo jirani na waislam nashauri ikusanye Taarifa za kila muislam nchini na kuzichakata kwa kuwacategorize ili iwe wepesi kucounter matukio ya kigaidi, #information is power - huko duniani ndivyo wanafanya huko Kwa wenzetu mabeberu
 
Waziri wa Mambo ya Ndani Eng. Masauni Yusuph Masauni ameitaja mikoa hiyo kuwa imekuwa na matukio ya kukamatwa kwa watuhumiwa waliokimbia baada ya kufanya vitendo vya ugaidi katika nchi jirani.

Pia, kuna dalili ya kuenea kwa itikadi za msimamo mkali zinazopelekea watu kuhamasika na kujiunga na vikundi vya kigaidi nje ya nchi hali inayoweza kusababisha vitendo vya kigaidi nchini.

Leo Septemba 19, 2022 Bunge limeridhia na kupitisha Itifaki ya mkataba wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Ugaidi wa Mwaka 2004, mkataba huo umecheleweshwa kutekelezwa nchini kwa miaka 18.
Ishu sio ugaidi hapo... Jambo linalotafutwa hapo ni namna ya kuweza kuteka rasilimali muhimu zilizopo kwenye hiyo mikoa ikiwemo madini... toka kiongozi wa awamu ya sita ameingia madarakani kuna sehemu nyingi za nchi zimetoboka maadui wanaingia na kuhatarisha usalama wa Taifa. Be aware na wanasiasa wafuatao;
 
Muhimu wafanye kazi zao kiweledi wasiingize siasa ndani yake, hata Mbowe nae alituhumiwa kwa ugaidi.
Nilitaka kuuliza sio Mbowe tena? inatia moyo kama wamegundua mapema na kuchukua hatua.
 
Mbona ilimwachia???Wewe ccm mbumbumbu bado unaamini kuwa Mbowe ni gaidi?
Kumwachia na kumkuta na hatia ni vitu tofauti. Kaachiwa kwa kuonewa huruma Ila kweli ni gaidi.

Hata wabakaji, wauaji, na magaidi wamewahi kupata msahama wa Raisi mara nyingi tu
 
Kumwachia na kumkuta na hatia ni vitu tofauti. Kaachiwa kwa kuonewa huruma Ila kweli ni gaidi.

Hata wabakaji, wauaji, na magaidi wamewahi kupata msahama wa Raisi mara nyingi tu
Aliyemwachia kwa huruma hana akili maana anaharibu muda na pesa ambazo zingesaidia kwenye mambo ya msingi.
 
Back
Top Bottom