BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Waziri wa Mambo ya Ndani Eng. Masauni Yusuph Masauni ameitaja mikoa hiyo kuwa imekuwa na matukio ya kukamatwa kwa watuhumiwa waliokimbia baada ya kufanya vitendo vya ugaidi katika nchi jirani.
Pia, kuna dalili ya kuenea kwa itikadi za msimamo mkali zinazopelekea watu kuhamasika na kujiunga na vikundi vya kigaidi nje ya nchi hali inayoweza kusababisha vitendo vya kigaidi nchini.
Leo Septemba 19, 2022 Bunge limeridhia na kupitisha Itifaki ya mkataba wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Ugaidi wa Mwaka 2004, mkataba huo umecheleweshwa kutekelezwa nchini kwa miaka 18.
Pia, kuna dalili ya kuenea kwa itikadi za msimamo mkali zinazopelekea watu kuhamasika na kujiunga na vikundi vya kigaidi nje ya nchi hali inayoweza kusababisha vitendo vya kigaidi nchini.
Leo Septemba 19, 2022 Bunge limeridhia na kupitisha Itifaki ya mkataba wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Ugaidi wa Mwaka 2004, mkataba huo umecheleweshwa kutekelezwa nchini kwa miaka 18.