Serikali: Mikoa ya Tanga, Arusha, Mwanza, Pwani na Geita ina viashiria vya Ugaidi

Serikali: Mikoa ya Tanga, Arusha, Mwanza, Pwani na Geita ina viashiria vya Ugaidi

Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani, akina Mdee ndio wameenda kuishtaki CDM ili wasifuvuliwe ubunge wa mchongo. Nitajie popote CDM walipoenda mahakamani baada ya uchaguzi wa kihayawani wa 2020.
Nyie ndjo mlisema mmewaburuza mahakamani wavuliwe ubunge
 
Nyie ndjo mlisema mmewaburuza mahakamani wavuliwe ubunge

Narudia tena, hujui usemalo. CDM waliwavua uanachama biashara ikawa imeisha, wao ndio ikabidi waende mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama wao ili wasipoteze ubunge wao. Hii nayo inahitaji elimu ya chuo kikuu?
 
Upo ushahidi thabit wa shutuma hizi?
Nchi jirani hizo zilizofanyiwa ugaidi ni zipi na matukio ni yapi na sisi tumehusika vipi?

Dalili ni zipi mbona hazikuelezwa?
Misimamo mikali ni ipi na hao wanaohamasika ni nani upo ushahidi?

Allah tunusuru waja wako na fitna hizi.

MOHAMED SAID: ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT
Unknown December 25, 2013 3

ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT

8th– 10th FEBRUARY 2006

Venue: University of Ibadan Conference Centre

Organised by Department of Arabic and Islamic Studies
UNIVERSITY OF IBADAN NIGERIA

‘TERRORISM’ IN EAST AFRICA
The Tanzanian Experience Speaker
Mohamed Said

Anaetaka kulijua tatizo hili achukue muda asome paper hiyo link nimeweka hapo chini:

 
January 9, 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Ujambazi wa kutumia silaha kubwa aina ya AK47 ni Dalili za matayarisho ya kigaidi?



Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam ACP Jumanne Muliro, ameripoti mfululizo wa matukio ya uporaji fedha tangu tarehe mosi January 1 2023 hadi January 8 2023 huku majambazi hayo wakitumia bunduki kubwa jijini Dar es Salaam.

Kamanda huyo amesema wamebaini kuwa baadhi yao wahalifu hao walitorekea nchi jirani baada ya kumaliza vifungo gerezani Tanzania na sasa wamerejea nchini kufanya matukio ya uporaji fedha .

 
Back
Top Bottom