Serikali mnahalalisha uongo kupunguza watoto wa mitaani huku mkiwanyima haki ya kuwajua baba zao halisi

Serikali mnahalalisha uongo kupunguza watoto wa mitaani huku mkiwanyima haki ya kuwajua baba zao halisi

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Mnabariki uongo na dhulma kwa kumbambikizia mtu mtoto asiye wake kisa tu huyo mtu ana pesa. Sasa nyie serikali na huyo kahaba aliyebambikiza mtakuwa mna tofauti gani?

Eti kulinda maslahi ya mtoto mamlaka ya serikali inadanganya matokeo ya DNA na kumbambikiza mtoto kwa asiye baba yake kweli.

Kwahiyo mamlaka hizo zimechukua akili za huyo malaya na wenyewe wakawa na akili hizo hizo kumnyima mtoto kuwa na baba yake halisi.

Eti kupunguza watoto wa mitaani ndio tudanganye watoto huyu ni baba yako sio yule hali ya kuwa yule ndiye baba yake halisi.

Wanatengeneza dogo wanaharibu kubwa zaidi. Dhulma kubwa hii kabisa.
 
Kama ni kweli hua wanatoa majibu ya uongo, basi hawafanyi vema
 
Kwani Ubaba unapimwa na DNA tu?Ukimlala mama wa mtoto wewe ni Baba,Ukimuoa mama mtoto wewe ni Baba.Kuna baba wa kufikia,Baba wa kambo,baba wa hiyari,

Kuhusu utajiri na uwezo wa kutunza hilo ni swala lingine.

Kama sheria imeamua kwamba mtoto ni wako basi ni wako...

Nakuona ulivochafukwa...
 
MKuu hebu tueleze kwa kituo nini kimejiri
 
Kama ni kweli hua wanatoa majibu ya uongo, basi hawafanyi vema
Hujawahi ona wakisema hivyo maafisa ustawi...? HUO NDIO UKWELI NA HUWA WANAFANYA HIVYO ETI KULINDA NDOA...YAANI MWANAMKE ALIYECHEPUKA...AKAPATA MIMBA NJE...WANADANGANYA KUWA MUME NDIYE BABA HALISI...ILI TU KULINDA NDOA...HUKU WAKIJUA KWELI SIO...HUYU MWANAMKE ALICHEPUKA...AAMBIWE UKWELI MPELEKE MTOTO KWA BABA YAKE...
 
Sheria sheria sheria zimetoka wapi hizo...si zimetungwa na makahaba hao hao kulinda maslahi yao...? Zingetoka kwa Muumba hapo sawa.

Na hapa hatuzungumzii baba wa hiari...tunazungumzia MTU MWENYE HAKI YA KUWA BABA MZAZI... MTOTO AITWE KWA JINA LA BABA YAKE MZAZI ..SIO WA KUTUNGA AU WA HIARI.
 
Hujawahi ona wakisema hivyo maafisa ustawi...? HUO NDIO UKWELI NA HUWA WANAFANYA HIVYO ETI KULINDA NDOA...YAANI MWANAMKE ALIYECHEPUKA...AKAPATA MIMBA NJE...WANADANGANYA KUWA MUME NDIYE BABA HALISI...ILI TU KULINDA NDOA...HUKU WAKIJUA KWELI SIO...HUYU MWANAMKE ALICHEPUKA...AAMBIWE UKWELI MPELEKE MTOTO KWA BABA YAKE...
Hua nasikia sana hiyo story kwamba wanaepusha migogoro ya kwenye ndoa
 
Sheria sheria sheria zimetoka wapi hizo...si zimetungwa na makahaba hao hao kulinda maslahi yao...? Zingetoka kwa Muumba hapo sawa...

Na hapa hatuzungumzii baba wa hiari...tunazungumzia MTU MWENYE HAKI YA KUWA BABA MZAZI... MTOTO AITWE KWA JINA LA BABA YAKE MZAZI ..SIO WA KUTUNGA AU WA HIARI...
Sheria sheria sheria zimetoka wapi hizo...si zimetungwa na makahaba hao hao kulinda maslahi yao...? Zingetoka kwa Muumba hapo sawa...

Na hapa hatuzungumzii baba wa hiari...tunazungumzia MTU MWENYE HAKI YA KUWA BABA MZAZI... MTOTO AITWE KWA JINA LA BABA YAKE MZAZI ..SIO WA KUTUNGA AU WA HIARI...
Mkuu,Ulimpanda huyo kahaba?Ulimwaga ndani?Ulifurahia?Kama jibu Ndiyo kwenye hizo conditions tatu basi usichukie kupewa Ubaba.Mwanamke hawi kahaba tena kama umeshalala naye.Kama alikuwa kahaba hukuwa na sababu ya kulala naye...

In short Hakunaga baba wa kutungwa kuna baba Mzazi,Mlezi au kama tunavosema wa kambo au wa kufikia.Ila kama nilivosema kama Sheria imekutunuku Ubaba basi wewe pokea huo ubaba.Kuhusu suala la utajiri na Matunzo hilo ni swala jingine kabisa...
 
Mkuu,Ulimpanda huyo kahaba?Ulimwaga ndani?Ulifurahia?Kama jibu Ndiyo kwenye hizo conditions tatu basi usichukie kupewa Ubaba.Mwanamke hawi kahaba tena kama umeshalala naye.Kama alikuwa kahaba hukuwa na sababu ya kulala naye...

In short Hakunaga baba wa kutungwa kuna baba Mzazi,Mlezi au kama tunavosema wa kambo au wa kufikia.Ila kama nilivosema kama Sheria imekutunuku Ubaba basi wewe pokea huo ubaba.Kuhusu suala la utajiri na Matunzo hilo ni swala jingine kabisa...
HEBU ACHA EASY THINKING...NDIO MAANA IKALETWA DNA...ILA KWENYE HAKI APEWE HAKI YAKE...ILI KUPUNGUZA KUWAPA HAKI WASIOSTAHILI.
 
Hua nasikia sana hiyo story kwamba wanaepusha migogoro ya kwenye ndoa
Wanaepusha migogoro...sawa leo watanidanganya...kesho mama nikigombana nae akisema yule mtoto sio wangu kweli...ni wa fulani...hata DNA ilificha tu ukweli...watanisaidiaje wapumbavu hawa...?
 
Pima ndani na ukapime nje ya nchi upate majibu sahihi
 
Ustawi wa jamii wanafanya makusudi. Siku ukiwaamini hao watu wa ustawi au dawati la jinsia ujuwe umepigwa ndoige. wapo kwa ajili ya kuwakandamiza men. Hakuna mwanaume anayeweza kataa damu yake unless awe ni zero brain
 
Back
Top Bottom