Watu wadhaifu lazima wanyonyolewe vilivyo.Mkuu acha tuu nimechomolewa pesa hadi nashanga kwa kipi nilichofanya cha kutoa pesa nyingi hivi mkuu.
Alafu hao wenye viti na wengine wote wanashangaaa tuu...
Mkuu its so sad
Serikali inataka tufanye nini sasa hivi wameshindwa ku deal na ma big fish huko mpaka wanakuja kwetu kwa sisi watoto wa mama ntilie
kukata tamaa na uvivu ni kitu mbaya sana gentleman..Mnaongea tu , mimi hayo yote nimefanya ,na hakuna kitu zaidi ya kurotekea nje tu , wengi wanajivunia kutokua raia wa nchi ya kusadikika 🤔🤔🤔 🐒 🙈
Hali ni mbaya kwa wengi lakini siyo kwa wote, inatakiwa ubuni mbinu za kukabiliana nayo hakuna jinsiMkuu hali mbaya ujue...
Hvi kweli watu
Pole sana mpambanaji. Unahitaji mikakati kuishi na kustawi kwenye nchi ya wahuni.Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Mkuu hivi huu ni uonevu wa hali ya juu...Aliyeipindua serikali ya Syria ni Dogo wa 1992! Alianza kupiga na Vita akiwa na 17 yrs tu,
Uchawa ndio ajira pekee inayopatikana kwa urahisi taifa la giza.Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
KAma hivyo mbona umejiajiri kwenye uchawa badala ya kilimo,ufugaji na biashara unayowashauri wengine wajiajiri.Ama ndio nyie msemao vijana mjiajiri bila kusema ni vipi namna ya kujiajiri.huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu
kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana
Uamuzi wowote utakao fanya maishani mwako utawajibika nao, (any decision you make in life you will be responsible for it)Mkuu hivi huu ni uonevu wa hali ya juu...
Mimi takachofanya sitaki kulaumiwa
mwa huu wa kilimo nililima zaidi ya ekari mia3,KAma hivyo mbona umejiajiri kwenye uchawa badala ya kilimo,ufugaji na biashara unayowashauri wengine wajiajiri.Ama ndio nyie msemao vijana mjiajiri bila kusema ni vipi namna ya kujiajiri.
TRASalamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
I'm very sorry kijana mwenzangu hii kitu binafsi nilishapambana nayoTukisema tufanye ya kufanye mtaishia kutupeleka jela..
Na jela sio pazuri kwa vijana ndo maana tunawekeza huku lakini bado mnakuja kutu katisha tamaa...
Ulilima nini na ulipata nini nionavyo wewe upo tu humu mchana usiku asubuhi jioni,u chawa na wewe wewe na chawa .Na kwa hali hiyo kilimo unakisingiziatu.mwa huu wa kilimo nililima zaidi ya ekari mia3,
na katika mwaka ujao wa kilimo,
na actualy tayari kilimo kimeanza maeneo mengi nchini nitalima zaidi ya ekari mia4 bila mbambamba yoyote gentleman
Akiongeza uchawa pembeni, mabango kadhaa pembeni kumsifia mama, CCM. Labda na pembenimon repeat ikipiga nyimbo CCM mbele kwa mbele. Bidhaa, biashara zake mdau zitabaki salama.Uchawa ndio ajira pekee inayopatikana kwa urahisi taifa la giza.
Wamegeuka hata zaidi ya kausha damuTRA
MUNICIPAL
ZIMAMOTO
AFISA KATA
BWANA AU BIBI AFYA
MIZANI
DIWANI
KITONGOJI
NAWENGINE SIWEZI MALIZA
nina gunia zaid ya elfu3 za alizeti, mahindi, maharagwe, ufuta na mbaazi gentlemanUlilima nini na ulipata nini nionavyo wewe upo tu humu mchana usiku asubuhi jioni,u chawa na wewe wewe na chawa .Na kwa hali hiyo kilimo unakisingiziatu.
Gunia ya mahindi kilo 90 bei ganinina gunia zaid ya elfu3 za alizeti, mahindi, maharagwe, ufuta na mbaazi gentleman
Vitu kama hivyo serikali inabidi iwape vijana miongozo. Hao maafisa kazi zao inabidi kuwa kutoa elimu, kuisadia biashara changa, kuangalia jinsi ya kuondoa au kupunguza changamoto.I'm very sorry kijana mwenzangu hii kitu binafsi nilishapambana nayo
Yaani nilikuwa kwa siku napokea watu zaidi ya 3 wanatoka mamlaka tofauti nilikuwa na bucha aisee mpaka niliacha Ile biashara mwaka 2015 ndio nimetoka chuo Niko Moto!!
Halimashauri, watu wa afya na watu wa usafi ni maadui wa maendeleo ya vijana wenye mitaji midogo
sidhani kama huyo mtu anatumia utimamu wake mkuuKAma hivyo mbona umejiajiri kwenye uchawa badala ya kilimo,ufugaji na biashara unayowashauri wengine wajiajiri.Ama ndio nyie msemao vijana mjiajiri bila kusema ni vipi namna ya kujiajiri.