Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #141
Siibii wananchi wenzangu maskini walala hoi ... Na deal na hao hao big fishesUkiingia mtaani kuiba, kukaba na kufanya mambo ya ovyo sawa, ila omba wananchi unaowaibia, kuwakaba na kuwafanyia mambo ya ovyo wasikubananishe. Ila mimi naomba sana wakubananishe tena wakiwa na mafuta ya petroli na kiberiti! Ahahahahaha!!!
Pole yako katika maumivu hayo.Salamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Hao utakao wakaba, ndio watakao kusaidia na kuondoa ujinga wako ulio kuwa nao na hao CCM kabla hawaja kuvuruga?Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
SawaPole yako katika maumivu hayo.
Lakini kuna machache ambayo bado ninakudharau kabisa kwa kuyasema hapa. Inaonyesha katika kuchanganyikiwa kwako kwa akili, bado hujajifunza lolote maishani mwako; hata baada ya mkasa ulio kukumba.
Kwanza:
Hao utakao wakaba, ndio watakao kusaidia na kuondoa ujinga wako ulio kuwa nao na hao CCM kabla hawaja kuvuruga?
Pili: unavyo jieleza hapa ni wazi kabisa, kesho bwana 'Abdul' akimtuma mtumishi wake kukutembelea hapo ulipo; wewe ni mtu wa kununuliwa na kusahau kila jambo baya ulilo tendewa. Watu wa aina yako ndio wanao likwamisha sana taifa hili.
Tatu: pamoja na lawama hizo unazo watupia hao walio kulea na kuwapenda kabla hayajakufika; wewe mwenyewe uliona wapi watu wajifanyie tu shughuli zao bila ya taratibu za kufanya shughuli hizo. Wewe ulitaka tu, wakuache undelee kujifanyia utakavyo mwenyewe? Pamoja na ubovu wao, lakini hili, hata kama wamelifanya kipuuzi, walikuwa na haki ya kukufuata ili nawe uchangie maendeleo ya nchi hii.
Nashindwa kabisa kumhurumia mtu kama wewe.
Nakubaliana na wewe mkuuSuluhu ni kuingia mtaa kufanya maandamano ya kupinga hali ngumu ya kiuchumi, gharama za maisha, kodi na kugandamizwa kisiasa kiasi mnaumia bila kusikilizwa, huku serikali ya chama dola kongwe tawala inasema no serikali sikivu
Hatimaye FRELIMO iko matatani, mwisho wake umefika!
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane...www.jamiiforums.com
Hakuna sababu ya kuingia mtaani tuanze kukaba masikini wenzetu, wakati tunajua uzi huu lawama zote ni sera mbovu za serikali ya CCM
Tukabiliane na serikali hii moja kwa moja badala ya kutumia njia za kuzunguka kuibiana sisi wenyewe tulio wengi kuliko watawala wachache walafi walioshindwa kuongoza nchi.
Its too sad mkuuNa hivyo VIBALI ukiamua ufuatilie, utapigishwa kwata nenda rudi kibao,...kila ukienda watu wapo ofisini wanajadili mpira na wanakujibu njoo kesho kitu fulani hakipo,...hawajali kama umetumia nauli,.....mi biashara yangu nilifungua bila reseni kisa huu UJINGA....
Sikutaka na wala sifurahishwi na hali iliyo kupata; lakini naomba tu ujitafakari mwenyewe. Na wala siyo rahisi kwangu kukuandikia maneno kama hayo. Hali ni ngumu sana kwa kila mmoja wetu, labda kasoro ya hao walio kufanyia hayo.Sawa
angalia malengo yako usipagawe na mitikasi ya watuDaaah acha tuu kuna watu unacheka nao ila mda ule nipo na hawa watu kila mtu alikua kimyaaaa
Huo sasa ni ushujaa wa mitandaoni! Ahahahahaha!!!Siibii wananchi wenzangu maskini walala hoi ... Na deal na hao hao big fishes
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako...Sikutaka na wala sifurahishwi na hali iliyo kupata; lakini naomba tu ujitafakari mwenyewe. Na wala siyo rahisi kwangu kukuandikia maneno kama hayo. Hali ni ngumu sana kwa kila mmoja wetu, labda kasoro ya hao walio kufanyia hayo.
Karibu kula mkuuHuo sasa ni ushujaa wa mitandaoni! Ahahahahaha!!!
Team data offHahaha,
Ulikuwa timu chawa?!
nenda ukaweke biashara bila ya kufuata sheria uone kama utasurvive kwa miaka mitatu.UONGO
ukiwapa loophole ndiyo wanafaidika kwa kukuchunaMkuu senerio yangu mimi bado ujaijua ila ni issue moja ya uonevu na njama tuu na wanajua hapa wananikamua tuu...
Ndo maana wanapigwaSalamu wakuu.
Kwanza kabla ya yote napenda kusema samahani sana kwa wale ambao nilikua nawaona hawana akili timamu wanapo iponda serikali yetu.
Ni kweli kabisa kwa mambo yanayofanyika ni too sad.
KiJana anapambana kujiajili. Anajinyima kula sometimes anakula.hata mlo mara mbili ili awekeze katika mambo yake.
Ila serikali yetu imekua ni sehemu moja wapo ya kurudisha maendeleo ya vijana hapa nchini...
Hivi kweli mnakuta mtu anapambana na kibiashara chake ana unga unga lakini from no where wanakuja watu wanajiita sijui nani wanataka vibari vya nini sjui...
Alafu wanakutoza pesa ambayo ukipiga maesabu mtaji wa kazi yako hata haufukii faini ya pesa waliyokutoza..
Sasa nauliza hivi tukiingia mtaani na kuanza kuiba , kukaba au kufanya mambo ya hovyo mtatufanya nini...
Kuna mambo mengine yanafanyika yanaumiza sana sana
Huku ni kurudisha a nyuma kimaendeleo wakuu
Nimeumia sana mpaka sasa pesa niliyoitafuta zaidi ya miaka mitatu imekuja kutolewa ndani ya dakika 5 tuu...
Inauma sana wakuu...
Maisha ya chawa hayoWanyime watu elimu,wanyang'anye kipato,UTAWATAWALA MILELE NA MILELE KWANI WEWE NDIYE UTAKUWA MMILIKI WA KILA HITAJI LAO,WATALAZIMIKA KUKUIMBA NA KUKUSIFU WEWE TU ILI WAPATE KITU KIDOGO.
Unauzia katika masoko gani?nina gunia zaid ya elfu3 za alizeti, mahindi, maharagwe, ufuta na mbaazi gentleman