Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Serikali mshugulikieni kabendera akione Cha moto Ili iwe fundisho Kwa watu wanaotafuta kiki

Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Samahanai mkuu,
Hii low IQ ni tafiti au takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu?
 
Ndo madhara ya serikali isiyowajibika. Serikali ilikuwa na wajibu wa kuchunguza halafu ikatuletea report alipo saanane.
Sasa kwa kuwa serikali imekaa kimya! Mimi naenda na kabendera.
ni uzembe wa serikali kusema waliko, hai au wamekufa, haikusema, wacha kina kabendera waseme wajuavyo
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Wewe andika chako halafu useme "Magu hakuumdungua Ben" utakuwa umebalance story.
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Kuna serikali sasa!
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Umejuaje ni uwongo na kwanini aandike hayo lengo ni nini? ? Lakini kumbuka Maandiko yanasema " Hakuna anayeweza kumficha Mungu" Tena Yaliyofanywa sirini yatawekwa wazi"
 
Huyu jamaa naona baada ya dili lake la voda kufeli Sasa amekanyaga moto yaana watoto wa mjini tunasema kaingia kwenye kumi na nane anataka kujipatia hela Kwa kutunga stori za uongo sababu anajua watanzania wengi Wana low IQ naomba serikali yetu imtie nguvuni na abanwe kisawasawa Kwa kuzusha uongo wake na hicho kitabu kifungiwe
Why mnapenda kukimbilia kutumia nguvu badala ya akili!yy kaandika kitabu!ww thibitisha kwa kutuletea Ben saa nane
 
Wewe ni MPUMBAVU ambaye unadhani aliyoyaandika Erick Kabendera ni ya UWONGO.

Magufuli alikufa kwa madhambi aliyowatendea Watanzania
Wewe una chuki zako binafsi zilizotokana na kutotii mamlaka.

Magufuli aliwapenda watanzania. Magufuli alikuwa mzalendo kweli wa nchi ya Tanzania.

Nadhani Magufuli alikuwa anaumwa moyo toka hata kabla hajawa rais, alikufa kutokana na maradhi . Acheni kuzusha uongo.

Kwa hiyo na huko kilimanjaro ambako ndo mkoa uliioongoza watu kufa wengi kipindi cha janga la corona inamaanisha wanakilimanjaro wanaoongozwa na mbowe waliwatendea madhambi gani watanzania ?
 
sio kila tukio mpaka picha iletwe, simulizi tu inatosha kuelezea jambo namna lilivyofanyika na kutendeka. Unataka scene kwani alikuwa anarekodi sinema?
Simulizi akasimulie wajukuu zake sisi sio wajinga alete picha ya tukio sio maandishi Kila mtu anaweza kuandika
 
Umejuaje ni uwongo na kwanini aandike hayo lengo ni nini? ? Lakini kumbuka Maandiko yanasema " Hakuna anayeweza kumficha Mungu" Tena Yaliyofanywa sirini yatawekwa wazi"
Uongo sababu kaleta maandishi ambayo Kila mtu anaweza kuyaandika Hana uthibitisho wowote akileta picha nitamuunga mkono ila maandishi tu ni porojo
 
Back
Top Bottom