Mpaka unaliendesha bongo uwe na 400,000 mMillion 230 bei yake kwa toleo la mwaka 2025 yametoka tarehe 1 September yaani juzi tu
Kama una uwezo wa kutoa hizo basi I'm sure hata ushuru hautakubabaisha tena kwa jeuri unalipakia kwenye Ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka unaliendesha bongo uwe na 400,000 mMillion 230 bei yake kwa toleo la mwaka 2025 yametoka tarehe 1 September yaani juzi tu
Kama una uwezo wa kutoa hizo basi I'm sure hata ushuru hautakubabaisha tena kwa jeuri unalipakia kwenye Ndege
unafikiri hata ukiambiwa usilipie ushuru hilo gari wangapi wataweza kununua? Acheni kusingizia ushuru hata bila ushuru SUV mpya ya maana wengi hawawezi kununua. SUV nyingi tunazozipenda zenye majina bei bila ushuru inaanzia $50,000. Kama una hela hii huwezi kulialia ushuru kwasababu zipo gari za maana kwa hela hio zinafika uani kwako brand new. Tembelea CFAO,CMC,NISSAN,FK Motors etc
Hata waondoe ushuru ni wachache sana wataweza kununua hii.Waondoe ushuru hii au waondoe kabisaView attachment 3085734View attachment 3085734View attachment 3085734
400,000m ?!!!Mpaka unaliendesha bongo uwe na 400,000 m
banaa wee acha tujibanze kwenye chaka la ushuru, ila hali ya uchumi wa watanzania wengi sio rafiki kwa magari kuanzia 100 millions.. hata seriakali iseme gari zinazo anzia 100 million kwenda juu ziingie bila ushuru tutaanzisha malalamiko mingineunafikiri hata ukiambiwa usilipie ushuru hilo gari wangapi wataweza kununua? Acheni kusingizia ushuru hata bila ushuru SUV mpya ya maana wengi hawawezi kununua. SUV nyingi tunazozipenda zenye majina bei bila ushuru inaanzia $50,000. Kama una hela hii huwezi kulialia ushuru kwasababu zipo gari za maana kwa hela hio zinafika uani kwako brand new. Tembelea CFAO,CMC,NISSAN,FK Motors etc
ndio ukweli, serikali iondoke hata ushuru kwa kuanzia gari kuanzia 100 million kwenda juu, utaona wale wale, maingizo mapya yatakuwa machache sana yenye cash ya 100Hata waondoe ushuru ni wachache sana wataweza kununua hii.
Hamna Boss nimekumbuka tu chuma.Unataka kusemaje binti kiziwi ?
mbali ya tochi, usiku bado ni salama zaidi kwa safari ndefu, ili mradi usifikwe na kusinziaNyakati za Usiku barabara nyingi zinakuwa na traffic chache, nimekuwa mdau wa kusafiri sana usiku Kwa kukwepa Tochi za hao ndugu zetu...
Kama una mwendo wa 150km/Hr na hilo Volvo lako, Kufika Morogoro ni kugusa tu kutokea DSM
Vw ScirrocoWanipunguzie ushuru kwenye hakaView attachment 3085745
R TSI 2.0Vw Scirroco
Hamna Boss nimekumbuka tu chuma.
Unawasanua TRA 😂Vijana changamkeni nchi imefunguka. Gari kali mnazoziona mjini watu wamejiongeza. Gari ya 2017/18/19 Chassis number (kwenye kadi) inasoma gari ya 2009. Mtabaki kushangaa vyuma vinajaa tu mjini.
Kwani hawajui?Unawasanua TRA 😂
Mimi binafsi sipendi ma speed kwenye hizi barabara zetu za third world countries.Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Wakati wanajua na wao ndio sehemu ya kufanikishaKwani hawajui?