Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mbona tumeshakwambia wanaouzwa ni wale waliozidi? Halafu Bahamas hakuna wanyama na watu wanaenda.
Hospitality industry sio suala la maliasili, ni suala la ubunifu wa kiakili.
Acha kupotosha wameruhusu kuuza wale wanao milikiwa kwenye vitalu lakini kuuza nje wanyama ni biashara kichaa kabisa maana ni vigumu kabisa kudhibiti biashara ya ujangili wakati umesha ruhusu wanyama kuuzwa kwa vyovyote hata hao wanao wamiliki waliwanunua humu humu na wapo nao kwenye mazoo! Wanakwenda nje kufanya nini kama sio utalii? Sasa royal tour yanini wakati tunauza vivutio kwa kisingizio viko kwenye vitalu? Serikali imechanganyikiwa kabisa!