Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Wanaenda nchi zingine sio lazima Tz
Sasa hapo kwenye kuchagua inategemeana na namna tunavyojitangaza.

Ukipita miji mikubwa kule US kuna mabango kwenye treni yanayoitangaza Bahamas na matokeo yake nchi hiyo yenye watu karibu laki nne ilikuwa inapokea watalii kati ya milioni mbili na tatu kabla ya corona kuanza.
 
Sasa hapo kwenye kuchagua inategemeana na namna tunavyojitangaza.

Ukipita miji mikubwa kule US kuna mabango kwenye treni yanayoitangaza Bahamas na matokeo yake nchi hiyo yenye watu karibu laki nne ilikuwa inapokea watalii kati ya milioni mbili na tatu kabla ya corona kuanza.
Matangazo alafu vivutio unauza.
 
Matangazo alafu vivutio unauza.
Mbona tumeshakwambia wanaouzwa ni wale waliozidi? Halafu Bahamas hakuna wanyama na watu wanaenda.

Hospitality industry sio suala la maliasili, ni suala la ubunifu wa kiakili.
 
Boss kama wanyama wa kwenye vitalu wamezaliana Sana kiasi cha kusumbua wananchi Kuna ubaya gani kuwavuna kwa faida ?

Na wanavunwa kwa kibali sio kiholela
Mkuu hata hapo umeshindwa kuelewa wewe ni mtu gani?
 
Nchi inafunguliwa wacheni watu walambe asali hauna cha kufanya cha msingi, tu watafute eneo kubwa wajenge Zoo ya kuhufadhi wanayama pori mbalimbali ili miaka ijayo watoto wetu wasiishie kusimuliwa, wawe wanawaona kwenye mazoo.

Mwingi unaendelea kupigwa.
Wanalamba wanalamba
 
Bora tuu serikali ingetoa fursa wawindaji wa ndani wakawinde then wawapelekee kitoweo watoto wao
Maana tushaambiwa njaa ipo karibu sasa si bora wenyeji tukatafute kitoweo kwenye mbuga zetu kuliko kuwapeleka ughaibuni?
Itapendeza na sisi tuonje kidogo kabla hawajaishia ughaibuni
 
Yaani sisi Waafrika ni manyang'au kweli...

Sasa ukishapeleka hao wanyama huko nje, hao wazungu watakuja kwetu kweli wakati huko kwao watakakuwa tayari wana hao wanyama!!!
 
Back
Top Bottom