Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Urithi kwa namna gani? Wanyama wanazaliana kila mwaka.Hahahaha wacha weee kwakuwa tunapata hela nyingi tuuze tuu urithi wetu hakika Mama ana upiga mwingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimekuwa positive kwasababu unless kufanyike utafiti utakaotoa majibu negative, sioni ubaya wa kuuza na kutengeneza fedha za kuboresha huduma kwa jamii.