- Thread starter
- #161
Watawahamishia kwao, alafu waache kuja hukuSimple logic hao jamaa wa nje wakiwa na wanyama kama wa kwetu utalii si utakoma kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watawahamishia kwao, alafu waache kuja hukuSimple logic hao jamaa wa nje wakiwa na wanyama kama wa kwetu utalii si utakoma kwetu
Nimekutukana kimoyomoyo dada.Macdm nayo yameshanunuliwa hakuna wa kusema kitu nchi ngumu sana hii
Kwakweli inasikitisha, Inahuzunisha mno.Matangazo alafu vivutio unauza.
Ina ukweli 100%Eeeh, hii habari ina ukweli?
Ya kuvuna temboUnataka kumpatia kandarasi?
Watanzania ni nyani waliochangamkaYaani sisi Waafrika ni manyang'au kweli...
Sasa ukishapeleka hao wanyama huko nje, hao wazungu watakuja kwetu kweli wakati huko kwao watakakuwa tayari wana hao wanyama!!!
Nipatie namba ya kinanaAwamu hii tutegemee uwindaji haramu wa kuua tembo na faru
HahahahaOyooo twiga anapanda ndege tena
Nina kitalu cha temboNipatie namba ya kinana
Aisee mbona Sasa wanyama wetu wanaenda kuisha , na kuaribu utalii tz Kama mtu atakua na nyumbu anakuja tz kufanya nini, hii hapana, serikali sijui mnatuchukuliaje,Serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii kuanzia sasa imeruhusu biashara ya kusafirisha wanyama pori hai nje ya nchi iliyokuwa imepigwa marufuku tangu mwaka 2016.
View attachment 2250504
Sasa kwani watalii wanapokuja huku siwakuja kuona pamoja na hao twiga.sasa kwao wakiwepo kuna haja gani wao kuja hukuWanauzwa wanyama sio vivutio, kuwa muelewa.
Usijitoe ufahamu
Mbona imeelezewa vizuri kabisa.Ufafanuzi wa hii habari unahitajika,sidhani kama itakuwa kirahisi hivyo...
Mkuu wataenda Zanzibar kujianika juani kule beach sio lazima wafike mbugani.Kwakweli inasikitisha, Inahuzunisha mno.
Umeandaa documentary ya kupromote biashara yako vizuri, Hata mwaka haujapita, Yaani hata matunda ya documentary yako hayajaonekana then unauza malighafi ya biashara yako?
Ni nini hiki kinafanyika? Kama ni biashara basi soon tutafeli, Maana kanuni kuu ya kumvutia mteja kwako siku zote ni pamoja na kuilinda malighafi yako, kuikuza na kuzuia washindani wako kuipata malighafi yako.
Hao wanyama wanaofugwa na kulishwa kwenye 'zoo' (Kama kuku wa kisasa ) hawawezi kuwa kivutio kikubwa cha kuzuia watalii kuja hifadhini kuona maisha ya wanyama mwituni.Sasa kwani watalii wanapokuja huku siwakuja kuona pamoja na hao twiga.sasa kwao wakiwepo kuna haja gani wao kuja huku