Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Kuwepo mipaka katika uuzaji wa rasilimali hizi kutegemeana na hatari ya kundi la wanyama waliopo, mfano mamba walizidi mto fulani wavuliwe wauzwe ili kupunguza madhara hatarishi ya wanyama hao the same to others, wanaozidi na kuhatarisha usalama,
>Na sio kuuza tu kama wendawazimu....!
 
Viongozi dhaifu, wasio na maono wanaliletea taifa fadhaa kubwa.
 
Kurejea kwa baadhi ya vinara pale CCM ilionesha dhahiri kurejea kwa biashara mbovu kama hizi!

A few wanaofaidika na hizo biashara wamefanikiwa kupenyeza rupia ili walio karibu na maza wamdanganye akubali kirahisi!!
 
Serikali imeruhusu wanyama pori walionunuliwa kusafirishwa
 

Attachments

  • 20220604_194745.jpg
    141.4 KB · Views: 12
Usikute ndio masharti nafuu ya mikopo.
 
Na bado!
.
Taratibu mtaelewa tu. Hamna rais mle
 
Hawauzwi wanyama waliopo kwenye hifadhi za taifa au mamlaka ya hifadhi (Ngorongoro) ila wanauzwa wanyama wa kwenye vitalu.
Una akili hiyo ya kufuatilia kama ni wa kwenye vitalu?
 
Waanzilishi wa hayo mapunduzi ni wapi? Hawa kina sexless?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…