Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Nchi ikishakuwa inaongozwa na watu ambao sio watanganyika lzm haya yatokee tu,ni mkosi mkubwa kuwa na Elimu na ukakosa AKILI ndio yanayoota mizizi Tz,watu wanateseka kwa maisha magumu lkn bado wanamsifia huyu mama hakika nchi imelogwa na aliyeiloga alishakufa.Watu wanashabikia Royal tour kila uchao alafu leo wanyama wanaondoka,kwa kweli hata kama huna akili sio kwa style hii ndani ya Tanzania.
 
Safi sana, twende hivi hivi alafu karibia na mwisho itafahamika nani alikuwa shujaa!.
 
Umeandika kishabiki sana... mbona bango liko clear tu siyo as easy as unavyofikiri
 
Kuna siku nchi itapigwa mnada

–job ndugai–
 
Mpaka sasa ni hofu na mashaka tu maana ni kama yale yeliyotokea kipindi cha awamu ya nne kiasi cha Twiga ambae ni alama ya taifa letu kusafirishwa mchana kama anasafiri kumbe anaibiwa sasa yanaanza kurejea

Mbaya zaidi yanatengenezewa mazingira ya nguvu ili yawezekene kufanyika. Sasa vibari vya kusafirisha wanyama pori vitaanza kutoka na hapa ndipo taifa letu litaukizwa.👇
20220605_052845.jpg

Huko nyuma Twiga walipanda ndege mchana kweupe na sasa ndio huenda yakaenda kujirudiahttps:

👇
Mwananchi › kitaifa
Maige asisitiza kutohusika wizi wa twiga - Mwananchi
 
Kwa vyovyote vile na kwa namna yoyote ile
Hili litakuwa wazo la Kinana, nakamu mwenyekiti ccm bara.
 
Hawauzwi wanyama waliopo kwenye hifadhi za taifa au mamlaka ya hifadhi (Ngorongoro) ila wanauzwa wanyama wa kwenye vitalu.
Watanzania tuko suspicious sana na serikali ya.samia hasa anavyowakumatia majizi na kuhimiza ulaji wa urefu wa kamba so hawatakiwi kupata hii opportunity mtalia , utasikia meli ya container za pembe ,ama utasikia twiga wamesepa maana hawa ndo watu walio jikoni kwa sasa
 
Ni bora wakapelekwa burigi chato kuliko kuvuka mipaka.
Aidha hatujaambiwa wanyama wapo wangapi kwa mujibu wa sensa
 
Yes, Maana Twiga aliekuwa anamsafiria Kutoka kwao kuja Huku, Tayari anae
Wangeacha kuja,sababu biashara hiyo haijaanza leo,afrika kusini waliwauzia rwanda Simba wengi wa kupeleka kwenye mbuga yao akagera,huko arabuni Pana games siku nyingi lakini bado wanakuja
 
So you're trying to sanitise the evil of the old and dead tryant?

How comes uone kusafirisha wanyama nje ni kosa wakati mungu wenu alisafirisha wanyama kupeleka kijijini kwao?.

On top of that aligawa tausi kwenda +254 hulijui hilo?
Wewe ni Mpumbavu .


Hayati JPM kugawa Tausi, huo ni utamadani wa Mataifa mengi tu kuonyesha urafiki .
 
Back
Top Bottom