Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 253
- 360
Tofautisha nje na ndani ya Tanzania wewe!Zuio la kusafirisha wanyama kwenda nje lilikuwepo ila kusafirisha wanyama kwenda Burigi halikuwepo.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha nje na ndani ya Tanzania wewe!Zuio la kusafirisha wanyama kwenda nje lilikuwepo ila kusafirisha wanyama kwenda Burigi halikuwepo.!
Mkuu subiria vita inakuja kwa kumtaja jamaa wa chato hapo juu.Yaani eti kwa haya yanayoendelea Magufuli asikumbukwe?
Watanzania tuko suspicious sana na serikali ya.samia hasa anavyowakumatia majizi na kuhimiza ulaji wa urefu wa kamba so hawatakiwi kupata hii opportunity mtalia , utasikia meli ya container za pembe ,ama utasikia twiga wamesepa maana hawa ndo watu walio jikoni kwa sasaHawauzwi wanyama waliopo kwenye hifadhi za taifa au mamlaka ya hifadhi (Ngorongoro) ila wanauzwa wanyama wa kwenye vitalu.
Yes, Maana Twiga aliekuwa anamsafiria Kutoka kwao kuja Huku, Tayari anaeSimple logic hao jamaa wa nje wakiwa na wanyama kama wa kwetu utalii si utakoma kwetu
Wangeacha kuja,sababu biashara hiyo haijaanza leo,afrika kusini waliwauzia rwanda Simba wengi wa kupeleka kwenye mbuga yao akagera,huko arabuni Pana games siku nyingi lakini bado wanakujaYes, Maana Twiga aliekuwa anamsafiria Kutoka kwao kuja Huku, Tayari anae
So you're trying to sanitise the evil of the old and dead tryant?
How comes uone kusafirisha wanyama nje ni kosa wakati mungu wenu alisafirisha wanyama kupeleka kijijini kwao?.
On top of that aligawa tausi kwenda +254 hulijui hilo?
Utakuwa mjinga bila shaka. Huoni tofauti kati ya nje na burigiZuio la kusafirisha wanyama kwenda nje lilikuwepo ila kusafirisha wanyama kwenda Burigi halikuwepo.!
Wewe ni Mpumbavu .So you're trying to sanitise the evil of the old and dead tryant?
How comes uone kusafirisha wanyama nje ni kosa wakati mungu wenu alisafirisha wanyama kupeleka kijijini kwao?.
On top of that aligawa tausi kwenda +254 hulijui hilo?