Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Duuuh,aiseeZuio la kusafirisha wanyama kwenda nje lilikuwepo ila kusafirisha wanyama kwenda Burigi halikuwepo.!
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh,aiseeZuio la kusafirisha wanyama kwenda nje lilikuwepo ila kusafirisha wanyama kwenda Burigi halikuwepo.!
Pro & Crons?Siku hizi ni ngumu kutenganisha habari ya Utani (Jokes) na Reality..., sababu ni kama tunaishi in a Fictional Non Logical World....
Kama ni vema kufanya hivyo why miezi sita ? kwanini isiwe to infinity ? Au ni kuwapa dili walio na shehena zao waweze kuzi-dispose....
Na pro and cons ya hili jambo ni nini ?
Na Je angalau si lingepita kule kwenye a rubber stamp ya serikali (bunge) ili likajadiliwe ili likibackfire tupate wengi walio responsible
Wanakuja kivingine majingiri wakuu wamo kwenye chama na serikali ya sasa.Sasa mwizi gani anasubiri tamko la serikali? Jangili anafanya kivyake, hasubiri serikali itoe ruksa.
Tembo na viboko wamekuwa wengi, wanauwa wananchi, wapunguzwe, mapato yatasaidia miradi mikubwa ya kiuchumi,Naipongeza Serikali kwa maamuzi haya.. kwani matembo yamekuwa mengi sana hivyo kuvamia makazi ya binadamu.. yapunguzwe.
Na zile pembe za ndovu kule Zanzibar atafutwe mteja tu..tunaweza pata dispensaries na shule nyingi tu.
Kazi iendelee...
Wanaokuja si Waarabu tenaWangeacha kuja,sababu biashara hiyo haijaanza leo,afrika kusini waliwauzia rwanda Simba wengi wa kupeleka kwenye mbuga yao akagera,huko arabuni Pana games siku nyingi lakini bado wanakuja
Huyo mjinga hajui hata hao tausi na sisi pia tulipewa zawadi? Hii mitoto inayotokana na zao lakifisadi imelaaniwa haijitambui kabisaWewe ni Mpumbavu .
Hayati JPM kugawa Tausi, huo ni utamadani wa Mataifa mengi tu kuonyesha urafiki .
Pia hatujaambiwa bei ya wanyama wanaouzwa. Tembo na Twiga ni dola ngapi?Ni bora wakapelekwa burigi chato kuliko kuvuka mipaka.
Aidha hatujaambiwa wanyama wapo wangapi kwa mujibu wa sensa
Inauma sana mkuuWatanzania tuko suspicious sana na serikali ya.samia hasa anavyowakumatia majizi na kuhimiza ulaji wa urefu wa kamba so hawatakiwi kupata hii opportunity mtalia , utasikia meli ya container za pembe ,ama utasikia twiga wamesepa maana hawa ndo watu walio jikoni kwa sasa
Ndiyo biashara yake mkuuKwa vyovyote vile na kwa namna yoyote ile
Hili litakuwa wazo la Kinana, nakamu mwenyekiti ccm bara.
Umeongea ukweliWako watalii wao hutaka kumuona myama live haijalishi atamuonea wapi. Kuja kutalii ni kama kwenda uwanjani kwenye mechi ya soccer au American football. Hivyo akijua mnyama anayetaka kumuona yuko Dubai zoo ataenda kumuona huko hawezi kuja hapa kungongwa na inzi wa umasaini kule mbugani. Maamuzi haya yanaigharimu RT kwa kiasi flani.
Hata mimi kwa kweli. Kwa hili mbona amenivunja sana moyo.Kuna mambo SSH anaifurahisha lakini kwa hili siungani naye, labda sijui mchakato huu umekaaje na una athari gani kwa maslahi ya taifa.
Waruhusu na kusafirisha ngada,
Sheria ilitugwa 2009 wewe unaona imetugwa Leo?.Na unaelewa nini ukisikia ruhusa ilitolewa ni ya miezi 6 tu?.Ulitaka hao wafanya biashara ambao tayari zuio la Magufuli lilikuja wakati tayari kwenye vitalu vyao kuna wanyama, wawapeleke wapi na ili hali serikali haikuwa tayari kuwachukua wanyama na kuwarudishia wafanya biashara gharama zao?.labda kaona hawaji,kaamua awafuate huko huko..lol