Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Hili sikubaliani nalo kabisa, najua madhara yake. Kama ni hivyo basi hata hizo pembe zilizopo hapo stoo, mpingo house ziuzwe, kama tunafanya biashara ya wanyama hai kwanini tusamehe mabilioni (186 bil.) kwa wanyama ambao walishakufa aidha kutokana na uzee, kuliwa na predators au kuuliwa na poachers? TAWICO zama zile walikuwa wakitengeneza bilioni 20 tu, Wildlife dept. ikitengeneza chini ya hizo bil.20 kwa uwindaji, TAWA leo sijui wanatengeneza kiasi gani lakini ni kidogo sana kuliko hao wawili. Sasa tumepata pembe za 186 bil. tunaziacha ili tupewe sifa......za nini? Tufanye one and off sale....na hizo pesa zisaidie conservation siyo kujenga vyoo (tafuteni vyanzo vingine, uhifadhi bado kuna mengi ya kufanya na pesa hazitoshi)
Serikali acheni double standard, muwe wakweli. KURUHUSU KUUZA LIVE ANIMALS AU TROPHIES.....HAPANA, hatuna wanyama wa kutosha uzeni zile pembe zilizopo stock room pale mpingo house.
 
Asante kwa kunielimisisha, kumbe wanataka kumlaumu Mama Samia bure tuu...
 
Asante kwa kunielimisisha, kumbe wanataka kumlaumu Mama Samia bure tuu...
Acha uzuzu wewe ...wanyama wetu ni mali yetu warudishwe porini jpm kaacha nchi hakuna hivyo vitaru vya kufuga wanyama ,ni mjinga tu anaweza kudanganywa . Wanyama poli wanachukua miaka mingi sana kuwa, fuga hadi kufikia kuzaa ....ukweli ni kwamba wanyama wote wananatoka mbugani hakuna kitaru cha kufuga tembo wala simba kwa ajili ya biashara .
 
Sasa inakuwaje tena mnawaondoa wamasai ngorongoro. Si uzeni hao wanyama wamasai wabaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…