Hawawezi kuisha maana wanazaliana, bora wauzwe waingize pesa.Kufika 2030 wanyama watakua wameisha nchi hii maana sasa watasafirishwa kwa hasira sana kufidia muda ule ambao hawakua wanasafirishwa.
Umeisoma hiyo report?Hapo nahis kina makam mwenyekiti wanaingia kwenye bness tena rasmi.., wew raia ukipata nafasi piga tu kama watawala wanavyopiga., upo ofisi ya uma unashindwaje kupiga hata rimu.
Hawauzwi wanyama waliopo kwenye hifadhi za taifa au mamlaka ya hifadhi (Ngorongoro) ila wanauzwa wanyama wa kwenye vitalu.Serikali vipibile royo tua wageni watatembelea mbuga ipi na wapi mkianza kudafirisha wanyama twiga?
Mama anaupiga mwingiSasa Samia Suluhu amefungua Nchi hadi imefunguka kweli kweli. Ninasema uongo ndugu zangu?
Cha msingi pesa zijeSerikali kupitia wizara ya maliasili na utalii kuanzia sasa imeruhusu biashara ya kusafirisha wanyama pori hai nje ya nchi iliyokuwa imepigwa marufuku tangu mwaka 2016.
View attachment 2250504
DuhBiashara kama kawa kama dawa. Ahsante sana Mama.
Wanyama waliopo hifadhini ni marufuku kuwindwa au kuuzwaWanyama walioko kwenye hifadhi za Taifa wana sura tofauti na walioko kwenye vitalu ili wakifikishwa airport tofauti ziwepo?
Kinana anamiliki vitalu vinne, naye atasafirisha!
V
Acha ujinga. Wanyama huwa wanaongezeka Sana hivyo huhitaji kuvunwa. Wakivunwa wakauzwe huko duniani. Wewe wa Kantalamba huko huna hata faida kwenye mbuga kwenyewe huwa huendiSerikali vipibile royo tua wageni watatembelea mbuga ipi na wapi mkianza kudafirisha wanyama twiga?
labda kaona hawaji,kaamua awafuate huko huko..lolSasa huko ulaya wakishawaona huko, wazungu watakuja kufanya nini tena hapa kwetu[emoji848]?
Usafirishaji wa twiga Sasa ruksa.Acha ujinga. Wanyama huwa wanaongezeka Sana hivyo huhitaji kuvunwa. Wakivunwa wakauzwe huko duniani. Wewe wa Kantalamba huko huna hata faida kwenye mbuga kwenyewe huwa huendi
[emoji3][emoji3][emoji848]Biashara zifanywe kila nyanja. Ninyi mnaoshangaa mnasumbuliwa na ushamba Kama wa mwendazake
π π π π π π π π