Sijui Royal Tour ilikuwa na kazi gani!! It was wastage of our money kama wanyama pori wanauzwa nje wakawe vivutio huko!!
Wazungu wakishawaona nn cha ajabu sana kitakachowafanya waje Tanzania!!
Tunakimbizana kutangaza utalii na kuuharibu at the same time!!
Halafu wewe ukiingia tu hifadhini kimakosa unatandikwa risasi unaitwa jangiriManeno mazito sana. Hawa Wahindi wanaojiita WaTZ naona kama wanatuhujumu hivi? Na ndiyo hao wafadhili wa vyama, wapo kila sekta nyeti. Hivi kwa nini wanaaminiwa kijinga hivi?
Hakika mama anaupiga mwingi,
Afadhali limekufa lile shetani mwenda kuzimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanajaribu kila namna watukele tu ili roho zao ziflahi maana bila hivyo hawajiamini kama wana mamlaka ya kufanya loloteHahahaha haya nayo ni matokeo ya Royal tour hahahaha!
Yani uruhusu kusafirisha wanyama halafu papo hapo ufanikiwr kwenye utalii? Kamwe kamwe haitotokea!
Pengine serikali imeanza kuchanganyikiwa kabisa hahahahahaha
Sasa serikali imeshindwa kujua kuwa wanakuja kwakuwa kwao hawapo ? Kwa hiyo wameona kuliko watalii kusumbuka kuja bora wawapelekee
Hahahahahaha hakika inasikitisha
Dah ila yanamwisho
Mda utazungunzaManeno mazito sana. Hawa Wahindi wanaojiita WaTZ naona kama wanatuhujumu hivi? Na ndiyo hao wafadhili wa vyama, wapo kila sekta nyeti. Hivi kwa nini wanaaminiwa kijinga hivi?
Ndio tujifunze na yule mzee aliyerudishwa juzi mwenye kichwa kama namba moja ananyoa dongo muda wote, uraia wake ni wa mashaka.Kufika 2030 wanyama watakua wameisha nchi hii maana sasa watasafirishwa kwa hasira sana kufidia muda ule ambao hawakua wanasafirishwa.
Hii nchi sasa ni ruksa kwa kila kitu, nchi imefunguliwa kwa rushwa, wizi, mikataba mibovu, na kila kitu.
Huyu mama kwao Zanzibar hawana wanyama zaidi ya pweza na ngisi anataka amalize wanyama wetu kisha arudi kwao Zanzibar.
Watanganyika tumekwisha.
Wengi wanapinga kwa kigezo cha utalii bila kufanya utafiti wowote. Watalii huku lazima waje kwao kunapokuwa majira ya baridi au joto kali (middle east)
Inaweza kufanyika cost benefit analysis kuona kama ina athari zozote.
Kama kuuza kunaleta fedha za maana hakuna tatizo kama wanyama wapo wengi.
Kama wanyama wa kwenye vitalu wamezaliana kwa wingi ni vyema wakawindwa na kuuzwa ili kuongeza pato la taifa.Mama naweza kusema kwa kiasi hana uchungu na Bara.
Duh ni hatariSasa huko ulaya wakishawaona huko, wazungu watakuja kufanya nini tena hapa kwetu[emoji848]?