Serikali, TFF, Bodi ya Ligi na TAKUKURU; Kwa uhuni huu wa GSM ile "Fair Competition" inayotakiwa na FIFA ipo wapi?

Serikali, TFF, Bodi ya Ligi na TAKUKURU; Kwa uhuni huu wa GSM ile "Fair Competition" inayotakiwa na FIFA ipo wapi?

GSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.

GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.

GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.

Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.

Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.

Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.

Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.

Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?

Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?

Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?

GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Kumvunja mfupa mchezaji wa Simba mvunjaji anapata milioni tano ndiyo maana tunaona rafu za hatari sana wanachezewa wachezaji wa Simba.
 
Simba SC wakijipanga vyema kwa Hoja na Ushahidi na kwenda Kushtaki FIFA nakuhakikishia Ndugu Ligi Kuu ya Tanzania NBC inaenda kuingia matatizoni na kuna Balaa Kubwa litatokea katika Soka la Tanzania.

GSM wasidhani Watanzania wote ni Wapumbavu kama walivyowazoea wa Klabu yao ambao wamezoea Kuwahadaa na Kuwadanganya Kutwa huku wakiwadhulumu katika Pesa za Uuzaji wa Jezi zao.
Simba ndo wapumbavu,maana shinda game zako zote.
 
Simba SC wakijipanga vyema kwa Hoja na Ushahidi na kwenda Kushtaki FIFA nakuhakikishia Ndugu Ligi Kuu ya Tanzania NBC inaenda kuingia matatizoni na kuna Balaa Kubwa litatokea katika Soka la Tanzania.

GSM wasidhani Watanzania wote ni Wapumbavu kama walivyowazoea wa Klabu yao ambao wamezoea Kuwahadaa na Kuwadanganya Kutwa huku wakiwadhulumu katika Pesa za Uuzaji wa Jezi zao.
Ulitegemea kukutana ganda la ndizi kama ilivyokuwa desturi yenu ila sasa mambo yamekuwa magumu, mnatafuta sababu. Anza na Mo kwanza alivyokuwa mdhamini wa Namungo.
 
Fikra kama hizi za mleta post hazina afya kwa mpira wa miguu mahali popote. Inatakiwa wadau wa soka wahimize timu nyingi kwa kadiri iwezekanavyo zipate deals za udhamini kutoka makampuni mbalimbali.

Yaani tutamani kuona timu zinakuwa financially stable maana mpira bila pesa ya maana ndio yanatokea kama ya Biashara Utd na ushiriki wake kwenye kombe la shirikisho.

Kinachotokea sasa kwa mtazamo wangu ni kwa sababu timu zimeanza kujenga financial muscles hivyo hata wachezaji wa timu zinazochukuliwa kama ndogo zinakidhi kwa wakati mahitaji ya msingi ya wachezaji wao. Katika hali hiyo tegemea ushindani wa maana kwenye ligi.

Kwa kinachotokea kwa timu ya Simba ni matokeo ya uimara wa timu ndogo na kwa kiasi flani kushuka kwa utendaji wa idara ya kiungo na ushambuliaji. Kwa mtazamo wangu pia hapa ni:
1. Uchovu kwa baadhi ya wachezaji labda baada ya kutumika sana msimu uliopita. Labda squad management itasaidia hapa.
2. Usajili uliofanyika ni wa wachezaji wenye talent lakini siyo complete players wa kuchukua nafasi za walioondoka. With time wataingia kwenye kikosi cha kwanza na kuwa msaada kwa timu. Kwa sasa huwezi kuona zile pasi za kutawanya ukuta wa timu pinzani ili Boko au Kagere watupie kwa urahisi. Tutasifia mabeki wa timu pinzani sana hapa.
Hata hivyo Simba haiko vibaya. Nasisitiza haiko vibaya. Kumbuka haijaruhusu goli hata moja.

Yanga pia haipaswi kubweteka. Mechi pekee walioshinda with Authority mwanzo mwisho ni ya Azam. Kagera kipindi cha pili na Ruvu shooting kipindi cha kwanza kazi ilikuwa pevu.

Kwa kuhitimisha, hii ni ligi na msimu mpya. Kila timu imeboresh kikosi. Tuache visingizio hii mbungi inapigwa hadharani.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya Yanga GSM ni nani? Mleta mada use your common sense usiwe kama "wachambuzi" wetu.
 
Kinacho shangaza timu zikifungwa na Yanga dakika zozote wanaridhia na kupiga nao picha.
Zikifungwa na Simba zinaangua kilio cha msibani.
Namungo alifungwa dakika za majeruhi na Azam. Ilikuwa kawaida Tu.
Kwa Simba vilio vilio.
Kila mechi ya Simba lazima kuna Kadi nyekundu.
Kila mechi lazima mchezaji wa Simba aumie.
Hii ni hatari Sana.

Kama wanakikosi kizuri kama we anavyojitapa figisu ni za nini ?
 
Kinacho shangaza timu zikifungwa na Yanga dakika zozote wanaridhia na kupiga nao picha.
Zikifungwa na Simba zinaangua kilio cha msibani.
Namungo alifungwa dakika za majeruhi na Azam. Ilikuwa kawaida Tu.
Kwa Simba vilio vilio.
Kila mechi ya Simba lazima kuna Kadi nyekundu.
Kila mechi lazima mchezaji wa Simba aumie.
Hii ni hatari Sana.

Kama wanakikosi kizuri kama we anavyojitapa figisu ni za nini ?
Figisu zipi? Kama Yanga inahusika kwa kuwapa timu pinzani ili wawaachie basi hapo ndio itakuwa ni kosa na ile nadharia ya Yanga kuwa na kikosi imara itakuwa haipo. Ila kama Yanga inawapa motisha timu pinzani ili washinde au kutoa sare. Hapo ndio Simba itumie ubora wao kuonesha uwezo wao, kwahiyo nyie mmezoea kucheza kwa kuachiwa na vitimu vidogo vidogo?
 
Kinacho shangaza timu zikifungwa na Yanga dakika zozote wanaridhia na kupiga nao picha.
Zikifungwa na Simba zinaangua kilio cha msibani.
Namungo alifungwa dakika za majeruhi na Azam. Ilikuwa kawaida Tu.
Kwa Simba vilio vilio.
Kila mechi ya Simba lazima kuna Kadi nyekundu.
Kila mechi lazima mchezaji wa Simba aumie.
Hii ni hatari Sana.

Kama wanakikosi kizuri kama we anavyojitapa figisu ni za nini ?
futa huu ujinga
 
GSM ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC ambayo kwa msimu huu wamedhamiria kuchukua Ubingwa wa NBC Premier League kwa Gharama yoyote na kwa Mbinu zote zile za ndani na nje ya Uwanja.

GSM kuona Mipango yao bado haijakaa sawa ili Kuibeba Yanga SC yao sasa wameamua kutumia Mbinu ya Kipumbavu ambayo hata kwa Sheria za FIFA na za FAIR COMPETITION si tu hazikubaliki bali hazitakiwi pia.

GSM sasa tena kwa kufanya Kimya Kimya / kwa Siri wameamua Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu yaani NBC PREMIER LEAGUE ili zikiwa zinacheza na Yanga SC yao ipate Unafuu wa Ushindi ila Vilabu hivyo vikiwa vinacheza na Wapinzani wao wakubwa Simba SC viwe vinaikazia kwa ama Kuifunga au hata tu kutoka nayo Sare.

Kinachonisikitisha zaidi Uhuni na Upumbavu huu usio na Haki katika Ushindani Michezoni unafanywa na GSM halafu Serikali kupitia Wizara ya Michezo imekaa Kimya, TFF na Bodi ya Ligi wamekaa Kimya na Wahusika Wakuu wa Kupambana na Kuzuia Rushwa na Dalili zake zote TAKUKURU wamekaa Kimya.

Akitokea tu Mtu Mmoja au Klabu Moja ikajipanga vyema kwa Sheria na Ushahidi wa Kutosha juu ya Uhuni na Upumbavu huu wa GSM katika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kwa nia ya kupata Unafuu ikicheza nazo na akaenda Kushtaki FIFA kuna uwezekano mkubwa NBC Premier League ikaingia matatizoni, Klabu Moja kubwa Kufungiwa, huyu Mdhamini wao Mkuu GSM Kushtakiwa na hata Mpira wa Tanzania Kuharibika rasmi.

Hakuna Mfanyabiashara Mstaarabu na Muungwana Tanzania hii kama Mzee Bakhressa na Kampuni yake ya Azam. Na hakuna pia Kampuni ambayo ni Tajiri Tanzania nzima kama ya Azam.

Azam Wana Timu yao ya Azam FC ila kwa miaka Saba sasa wanapambana Kuwa Mabingwa ila bado hawajafanikiwa. Lakini sijawahi ama Kuona au Kusikia mahala popote pale Azam wakizihonga Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Tanzania ili ziiachie na iwe Bingwa japo ina uwezo wa Kifedha maradufu ya hawa Matapeli wa GSM ila wameamua Kupambana kwa Kucheza tu Uwanjani.

Kama GSM kweli walikuwa na nia ya Kuvidhamini Vilabu vya Ligi Kuu ya Tanzania NBC PREMIER LEAGUE walikuwa wapi Kujitokeza pale TFF na Bodi ya Ligi walipokuwa wanatafuta Wadhamini?

Hivi leo hii Mo Dewji na Kampuni yake / Kampuni zake angeamua nae Kufanya Uhuni na Upumbavu huu usio wa Haki unaofanywa na GSM kwa Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu tena Kisirisiri / Kimya Kimya na kuwaambia wawe wanaikamia tu Yanga SC ila zikiwa zinacheza na Simba SC wawe wanailegezea FAIR COMPETITION ingekuwepo?

Sasa kama unatamba kuwa na Kikosi kizuri na unasema msimu huu Kombe ni lako kwa Soka Kubwa unalocheza kwanini unahangaika Kuvidhamini Vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu kisha unavipa Ahadi ya Tsh Milioni 15 vikiishinda Simba SC na Tsh Milioni 10 vikitoka nayo Sare mpaka unasababisha Wachezaji wa hizo Timu Kuikamia Simba SC, Kuwaumiza kwa Makusudi Wachezaji wake na pale Wakifungwa baada ya Filimbi ya mwisho badala ya kuondoka Uwanjani wanaanza Kuangua Vilio, Kugombana na Kulaumiana mno?

GSM wameshaiharibu Ligi Kuu ya NBC.
Ushabiki mwingine wa kipuuzi sana.
 
Mleta mada amepuyanga tu kama wale wachambuzi wa Clouds, hajaeleza ni kufungu gani cha Sheria kimevunjwa na kimevyunjwa na nani.
Dauda na wenzake badala wawawekee wasomaji wao kifungu cha Sheria wao wanaweka kipande cha gazeti.
 
Simba SC wakijipanga vyema kwa Hoja na Ushahidi na kwenda Kushtaki FIFA nakuhakikishia Ndugu Ligi Kuu ya Tanzania NBC inaenda kuingia matatizoni na kuna Balaa Kubwa litatokea katika Soka la Tanzania.

GSM wasidhani Watanzania wote ni Wapumbavu kama walivyowazoea wa Klabu yao ambao wamezoea Kuwahadaa na Kuwadanganya Kutwa huku wakiwadhulumu katika Pesa za Uuzaji wa Jezi zao.
Kwa hiyo na wale Jwanang Galaxy wa Botswana nao walipewa hela na hao GSM kwa siri ili wawakamie na mwisho wa siku wakapindua meza kibabe kwenye uwanja wenu wa nyumbani!
 
Simba hamtaki kukubali kama timu yenu ya msimu huu mbovu.

Kwa hiyo timu hazipaswi kuwakazia mkiwa mnacheza nazo mechi.

Jwaneng galaxy tu wamewakazia kidogo taifa wakawapiga 3 pale pale kwa mkapa. Je na hao walizaminiwa na gsm na kupewa hela ndio maana wakawakazia kwa mkapa?
Aisee pamoja na hayo lakini mateke na karatee wanayopigwa wachezajj wa Simba ni hatari kwa maisha. Ike mechi dhidi ya Namungo kuna mchezaji wa Simba alipigwa teke la kichwa, kama lingempata barabara network ingekata, nashangaa jamaa hakula umeme.

Katika mechi 4 alizocheza Simba, wapinzani wao wamepigwa nyekundu 4! Hii ni aibu na fedheha kwa ligi yetu.

Vv
 
Mbumbumbu katika ubora wako. Kuna tofaut kati ya umiliki na udhamini. FIFA inakataza kumiliki vilabu viwili katika ligi moja sio udhamin

Wee mburula kweli! Kupitia huo mwanya wa udhamini ndio hayo madudu aliyosema mleta uzi yanafanyika...!! Na hilo linaonekana dhahiri!
Tukisema mashabiki wa utobolo ni mazwazwa kama wewe, uwe unakubali!
Kinachofanywa na hao jiesem ni uhuni, uliojificha nyuma ya udhamini!!
 
Back
Top Bottom