Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

Niliwahi kusikia kuwa wanawake wa kizanzibar na Pemba hawazalii huku bara!
Siku chache kabla ya kujifungua wanakimbizwa kwa boti Zanzibar! Inaweza kuwa kweli wanawahishwa ili watoto wao wabonyezwe visogo?
 
Kwani wadhani bara vichwa havibandwi?..tungekua na machogo kama ugali wa jela ikiwa tusingebandwa
Inatokea labda kuna tatizo limetokea wakati wa fungua AU mtoto akiwa tumboni Kwa mama yake,
Na hiyo urekebishwaji wa kichwa hufanyika hospital Kwa uangalizi wa waataamu wa AFYA.

Tofauti kabisa na Zanzibar, mtoto akazaliwa Tu na kichogo ni kosa , anatafutwa mtaalamu Tu wa jadi anaanza kugandamiza kichogo. Haya ni mazoe na tamaduni za hovyo Tu
 
Wala hakandamizwi mtoto.

Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.

Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.

Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
 
Wala hakandamizwi mtoto.

Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.

Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.

Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Kwa nini asitengenezewe baraghashia kulingana na komwe lake? Otherwise no comment!😀😀
 
Wala hakandamizwi mtoto.

Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.

Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.

Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Kwani kuvaa baraghashia ni lazima Kwa Mtoto,? Mbona munanishangaza nyie,

Haki ya Mtoto ni chakula Bora, AFYA bora, Elimu Bora, malazi Bora, Sio kuwalaza watoto watano kitanda kimoja.

Kwani mtume anasemaje kwenye hili swala la kichogo Kwa Mtoto
 
Wanajinasibu kwa namna hiyo.
Haha haha itakuwa hawajitambui Hao kuwa walikuwa ni watumwa walio tolewa Bara kuja kufanya Kazi ngumu hapo Zanzibar.

History ya Zanzibar inaelekea haijulikwani Hata Kwa wanaojita wazanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…