FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Waislam tunatakiwa tuvae kwa stara (modesty). Iwe wa kike au wa kiume.Sawa Tu, dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam tunatakiwa tuvae kwa stara (modesty). Iwe wa kike au wa kiume.Sawa Tu, dada
Okay Mkuu, nikipata ithibati nitaweka hapa.Mkuu kama utawawekea hapa hiyo taarifa ya hospital ya muhimbili nadhani itawaonesha uhalisia na madhara ya tatizo hili
Vinginevyo nawe utakua na dhana potofu kwamba "Kila mtu lazima awe na chogo, Na ikiwa hana basi ameponndwa kichwa utotoni"
Pia kumbuka kua huo ni urithi. IKIWA UPO KWENU HAUKIMBILIKI
NA
IKIWA HAUPO HUNA PAKUUPATA
Uongo. Huo si utamaduni wa Zanzibar. Ni nature tu kuwa wao hawana vichogo na Tanganyika wana vichogo.Soma comments za waja, huo ni utamaduni Wao huko Zanzibar, ni Karne na zaidi
Mkuu research imefanyika, , ni ukweli huu utamaduni wa kuwawekea watoto vitu kichwani ili kubanda,kuzuia, kugandamiza kichogo kisiendele kukuwa, Zanzibar bado unaendelea mpaka Kesho.Uongo. Huo si utamaduni wa Zanzibar. Ni nature tu kuwa wao hawana vichogo na Tanganyika wana vichogo.
Kuna sheria za nchi na Kama sheria za nchi hazimfanyi Muislam kwenda kinyune na Uislam wake, Muislam anapaswa smaziheshim. Kama. Zinamfanya aende kinyume na Uislam wake hapaswi kuzifata.Ila binadamu ana haki ya huru ili muradi asivunje Sheria za Nchi
Hakuna aliyewahi kumuona.Huwa wana jifanya wana mjua mnyazi Mungu
Kuna michogo mikubwa mpaka inakuwa mzigoNi mtazamo wako MTU, kichogo ni kitu special cha kujivunia
Ww ndo mchwi wangu...kwanini unanijia nje ndani hivoo😂😂Au uwongo we sio mwenzetu wakichoggo