Hili tukio la jana lilifurahiwa sana na watengenezaji wa magari haya maana walipewa free promotion bila hata kulipia Tangazo. Angalizo tu ni kwamba watengenezaji wa magari wengine wasije kulalamika kwamba serikali ina upendeleo wa wazi kwa gari za aina hii za Land rovers na ni anti competition. ni Angalizo tu... Mkuu wa mkoa aweke wazi kwamba hii Land rover festival haina uhusiano wa moja kwa moja na serikali, vinginevyo huko mbeleni ni mziki mtamu sana.
Sahihi. Ila umenishangaza sana na upeo wako finyu.My brother inaonekana una shida ya ufahamu hujaona neno "huenda" nani anakujua kwa majina feki ya jf? Sikujui wala hunijui so cool down
Sahihi. Ila umenishangaza sana na upeo wako finyu.
Ni uhuru wangu tu wa maoni. Usikasirike.
Anko wewe subiri mapiki piki festival au na land rover unayo😅Naunga mkono hoja
P
Ni kama mbwa anafurahia mifupa anasahau kuna mtu anakula minofu alafu baadae anamtupia mifupaUpeo wangu haukuhusu ila nimekushauri tu ujiongeze usijekuwa unatumika kupigia debe maslahi ya mtu ya gizani ukafikiri ni maslahi ya umma! Hulka ya huyu jamaa inajulikana miaka sasa. Ni hiyari yako kuchukua ushauri au kuacha. Kukasirishwa na post yako itakuwa ni matumizi mabaya ya hasira kaka
Naunga mkono hoja
P
Kwahiyo tuendelee kutukuza vya wazungu, nilifikiri una logic kumbe huna, unafikiri wazungu huko kwao hawazioni hizo land rover hadi waje kuziangalia Arusha.Kuna mtalii atatoka Urusi kuja kushiriki nyumbu festival?
Gari Burundi tu hamuiuzi ndo mtu aje kutoka taifa la mbali kiasi hicho aje kushiriki?
Hapo ndo tatizo lilipo.Upeo wangu haukuhusu ila nimekushauri tu ujiongeze usijekuwa unatumika kupigia debe maslahi ya mtu ya gizani ukafikiri ni maslahi ya umma! Hulka ya huyu jamaa inajulikana miaka sasa. Ni hiyari yako kuchukua ushauri au kuacha. Kukasirishwa na post yako itakuwa ni matumizi mabaya ya hasira kaka
Unatukuzaje?Kwahiyo tuendelee kutukuza vya wazungu, nilifikiri una logic kumbe huna, unafikiri wazungu huko kwao hawazioni hizo land rover hadi waje kuziangalia Arusha.
Dubai haikufika hapo kwa muujiza ila kwa kutumia akili na moja ya akili ni kuwafanya watu waitembelee.Dubai unaifananisha na arusha
Miundombinu tu inafanya watu wavutiwe kwenda dubai
Mtalii anavutiwa na
Gharama za nchi husika
Miundombinu ya nchi
Huduma anazopata
Mtalii avutiwi na matamasha ya misururu ya magari huko kwao kuna formula one, dakar rally n.k
Hii nchi inawajinga wengi sanaKwahiyo tuendelee kutukuza vya wazungu, nilifikiri una logic kumbe huna, unafikiri wazungu huko kwao hawazioni hizo land rover hadi waje kuziangalia Arusha.
Free land rover promotion.
Wale waliokuwepo jana na wakapanda magari walitoka sayari ya Mars au?Hii nchi inawajinga wengi sana
Mimi mwenye nimemuuliza mzungu aje kushangaa msafara wa landrover arusha amenipiga chenga ya mwili hajanijibu
Dubai wameboresha miundombinu ni pazuri panuvutia, kuna artificial island panakitu unique kinachomshawishi mtalii aendeDubai haikufika hapo kwa muujiza ila kwa kutumia akili na moja ya akili ni kuwafanya watu waitembelee.
Tukianza hapa kesho tutafanya lingine na target ni kuongeza mapato ya kutufanya tufanye makubwa zaidi.
Hii sio rocket science. Ni akili ya kawaida tu
Mwenye akili pana endelea kuwapigia debe wazungu wenye gari lao for free sijui hata wanakujua kwanza wanakuchekeni.Unatukuzaje?
Hiyo ni akili mgando na finyu. Kama Festival inaweza kukufanya ukusanye watu kutoka mataifa ya nje ambao watakuongezea forex shida iko wapi?
Hujui hizo forex ndo zitatumika kwa maendeleo ya nchi yako?
Wale wazungu wachache hata miatano hawafiki ndo wanakuzuzuaWale waliokuwepo jana na wakapanda magari walitoka sayari ya Mars au?
Si hata tu mama yako anayo lakini anaishia kupakwa baby care na wahuni wengine inawezekana hata baba yako wa kambo hayajui haya........siku nyingine usije kutuhadithia wahuniMakonda ana makalio makubwa