DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuhusu classes yard zote zipo hivyo wananunua gari za bei rahisi Ili wauze kwa bei premium..kuhusu ordometer usije kuwa walikuwekea trip A au B Ili kukuchanganya
 
Wewe si whistle blower, wewe ni selfish and greedy Tanzanian.

Whistle blower angepeleka ushahidi polisi na TAKUKURU.

Wewe ni mmoja ya walioshiriki kuwawezesha hao watu kufanya biashara yao chafu.

Tena sasa hivi watafanya kwa umakini zaidi, kwa sababu umeshawastua. Umefanya iwe vigumu zaidi kuwakamata.

Umewauza wenzako kwa vipande vya fedha.

Wewe ni mla rushwa na msaliti.
Vema mkuu ila tatizo letu kubwa ni uozo wa rushwa mama,it's so simple kuagiza Fuso mbovu kutoka Japan na ikaingia nchini (matajiri na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana ya kutulinda,wanatusaliti),mkuu nenda pale kasumulu border utakutana na vitu vitakuliza,mlala hoi mwanamke anahangaika kuingiza biscuits zake nchini 3 boxes only vyenye uzito chini ya 5kg!ni shida ila one guy from Karachi anamudu kutuingizia nchini write off vehicle's na kutuuzia!
 
Kuhusu classes yard zote zipo hivyo wananunua gari za bei rahisi Ili wauze kwa bei premium..kuhusu ordometer usije kuwa walikuwekea trip A au B Ili kukuchanganya
Kuna trip A
Trip B
OD. Odometer husoma kilometa ambazo gari imetembea kuanzi iliootengenezwa.
Trip unaseti mwenyewe kujua umbali, na unaweza kufuta ukitaka.
Mimi gari naijua kuliko unidhaniavyo
 
Vema mkuu ila tatizo letu kubwa ni uozo wa rushwa mama,it's so simple kuagiza Fuso mbovu kutoka Japan na ikaingia nchini (matajiri na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana ya kutulinda,wanatusaliti),mkuu nenda pale kasumulu border utakutana na vitu vitakuliza,mlala hoi mwanamke anahangaika kuingiza biscuits zake nchini 3 boxes only vyenye uzito chini ya 5kg!ni shida ila one guy from Karachi anamudu kutuingizia nchini write off vehicle's na kutuuzia!
Watu wote wangeamua kukataa rushwa, isingewezekana.

Kwa sababu uozo huu unaonekana na watu, ila tatizo na hao watu wanashiriki katika hiyo rushwa kama huyu mtoa mada alivyotuonesha hapa.
 
Wewe na hao wanaouza magari mabovu mnatofauti gani? Umechukua rushwa ya milioni 1 ukafuta picha ambazo zingekua ni vivid evidence,

Huna tofauti na hao wapakistani,ndio wale wale tu.
Nikusaidie tu bro, picha unaweza kuzi recover kirahisi sana. To empty the trash bin haimaniishi ndio zimeondoka kwenye simu yako. Tunaweza kuzi recover na zikatumika kama ushahidi
 
Na angeikataa hio rushwa ingeenda pokelewa post then angeambiwa ishu ipo kwenye uchunguzi
Nakwambia hivi, wewe ni mla rushwa tu.

Wewe ni sawa na muuza madawa ya kulevya anayesema "nisingeuza mimi, mwingine angeuza".

Hiyo hoja haiondoi ukweli kwamba umeuza madawa ya kulevya.

Wewe ni mla rushwa tu, huna haki ya kulalamikia ulimwengu ambao wewe ni sehemu ya walioutengeneza na kufaidika nao.
 
Nakwambia hivi, wewe ni mla rushwa tu.

Wewe ni sawa na muuza madawa ya kulevya anayesema "nisingeuza mimi, mwingine angeuza".

Hiyo hoja haiondoi ukweli kwamba umeuza madawa ya kulevya.

Wewe ni mla rushwa tu, huna haki ya kulalamikia ulimwengu ambao wewe ni sehemu ya walioutengeneza na kufaidika nao.
Ukisusa wenzio wanaendea kulipia school fees,we kafe na mikopo fainali uzeeni.
Aliyepokea na asiyepokea uenda genge moja.
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimeoiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari ya nauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan [emoji557] asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika
Siku 45 hilo gari linakuja kwa mtumbwi au wajapani wanajitwisha wanakuletea kama mkungu wa ndizi.
 
Back
Top Bottom