DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sikuhizi unatumbukiza chassis number kwenye google tu gari lazma itajitokeza ikiwa Japan kabla haijapanda meli na utaona details za kms. Wale waliotoa magari beforward huwa wanaumbuka mapema sana maana gari haijifichi.
 
Kurudisha Odometer sio zoezi la saa moja. Ni zoezi la muda kidogo.

Jan Motors wao hawa gari zao utaikuta kama ilivyo na bei zao ziko chini, hivyo watu huenda kwao wananunua afu wanaenda uza tena
Eh kwa Jan Motors bei zao zile ni rahisi mtu kununua na kuuza juu kidogo baada ya kuchezea odometer.
 
Sikuhizi unatumbukiza chassis number kwenye google tu gari lazma itajitokeza ikiwa Japan kabla haijapanda meli na utaona details za kms. Wale waliotoa magari beforward huwa wanaumbuka mapema sana maana gari haijifichi.
Kwani tofauti ya Chassis number vs VIN Ni Nini mkuu?
 
Mkuu hata uwapeleke mbinguni askari wa Tanzania hawawezi kuishi bila rushwa, hii ni kutokana na mishahara yao ni midogo mno. Askari polisi wa Tanzania ukikutana nao wamevaa gwanda, ndiyo wanaonekana wa maana. Kaangalie wanapoishi, hawana tofauti na wale ombaomba wanaolala viwanja vya mnazi mmoja.
 
mtumba maanake nn?
 
Jifunzeni kununuwa gari kwa kuaangalia muonekano halisi wa gari,Mambo sijui ya km au no plate ni ya mwisho kabisa, km au no plate ukitaka unapewa to hata km 0, maana hivyo ndiyo mnavizingatia na wajanja wanapita na nyie humo humo!!!
 
Mzee alinunua land cruiser ila mpaka Sasa ashakua fundi garage[emoji1787][emoji1787] jinsi Chuma inavomsumbua ni miaka kama SITA ila bado anaishi nayo
Kuna gari nyingi tu za mda mrefu lakini hadi leo watu wanaishi nazo, kiki moja tu chuma kinanyanyuka! Dingi yako kuna mafundi tu walimuharibia gari, maana kuna mafundi anaweza tia ugonjwa gari yako hadi ukaichukiya!!!
 
Kuna gari nyingi tu za mda mrefu lakini hadi leo watu wanaishi nazo, kiki moja tu chuma kinanyanyuka! Dingi yako kuna mafundi tu walimuharibia gari, maana kuna mafundi anaweza tia ugonjwa gari yako hadi ukaichukiya!!!
Hii ilianza mauzauza first hand tu toka alipoinunua
 
Bado ninajiuliza kimaadili, hiyo millioni mliipokea ni ya kazi gani!

Tusipigie kelele mambo tunayoyahusudu na kuyatenda.
 
Hawa waliwahi kunikosakosa maeneo ya Aghakan,nilipowastukia wakaniambia watanipigia simu,baada ya kuona kimya nikawapigia simu ikawa inaita bila majibu,nikaona baadaye kama walini blacklist maana ilikuwa haipatikani tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…