DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kurudisha Odometer sio zoezi la saa moja. Ni zoezi la muda kidogo.

Jan Motors wao hawa gari zao utaikuta kama ilivyo na bei zao ziko chini, hivyo watu huenda kwao wananunua afu wanaenda uza tena
Jan international wao ni employees ,sio agent ni wafanyakazi wa kampuni ya huko japan kwahiyo ni ngumu kufanya modification

Wanalipwa mishahara tu


Tofauti ba agents
 
Sasa Mimi nikianza kuandika hapa jinsi tunavyo chezewa in JPM voice....

Itoshe kusema Kila mbuzi ale Kwa urefu wa kamba yake.....

Unaweza ukaonekana mnoko na mtu mwenye wivu kisa tu kutetea maslah ya Watanzania....
 
Ngoja nimumue mitambo ya kukagua magari hitilafu zake
Yaani kazi yangu ni kukagua tu
Haya ya kurudisha hata waweke haijatembea kabisa wataumbuka tu kwa ukaguzi

Na nchi yetu haitaisha laana kwa kweli
Hao hao waliokupa 1m na wakaguzi wakija wanapewa nao

Umewarahisishia kazi watu wa kodi na standards ni kwenda kujichotea tu
 
Ngoja nimumue mitambo ya kukagua magari hitilafu zake
Yaani kazi yangu ni kukagua tu
Haya ya kurudisha hata waweke haijatembea kabisa wataumbuka tu kwa ukaguzi

Na nchi yetu haitaisha laana kwa kweli
Hao hao waliokupa 1m na wakaguzi wakija wanapewa nao

Umewarahisishia kazi watu wa kodi na standards ni kwenda kujichotea tu
Gari yoyote used kutoka nje haikosi hitilafu mkuu
Labda mtu akanunue showroom toyota au dt dobie mapugu Road huko

Ova
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimeoiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari ya nauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan [emoji557] asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika
Endelea na biashara yako ukusanye mamilioni
 
Huo mchezo ni wa siku nyingi tu. ukienda kununua gari usiangalie odometer maana zainachakachuliwa sana. Gari zee viti vimechakaa eti km50,000. Nilinunua gari jipya sasa hivi nimefikisha km 50,00 na ni kama mpya tu.
Gari zinakuja kama zina michubuko au zimegongwa tu wanaita mafundi wa kunyoosha na kupiga rangi
Kama mfuko wako mzito mtu anunue brand new car .....na nashangaa eti gari za yard wanaziita brand new car
Wakati ishatumika

Ova
 
Ya kwangu ni ya mwaka 2000, wakati naagiza Japan ilisoma km 17,000, mwaka wa sita sasa ndo ipo km 62,000.......kununua gari yenye zaidi ya km laki moja naona ni kama kujilipua.​
Wamefuta 1 au 2 yaani ilikuwa na km217,000 au km117,000. Gari wanajua ni nzuri pamoja na km hizo ila wanajua ukiona hizo km hutanunua kwahio wanafuta tu hio 1 au 2 kukuridhisha. Gari ya 2002 itakuwaje na km12,000?
 
Ninachojuwa Mimi gari used kitu muhimu sana ni engine na body, jitahidi kumlipa Fundi mkweli uende naye kununuwa gari kuna technical kadhaa za kuangalia.

Kuna kitu kinaitwa kuvunja, mfano una Rav4 unataka tako la nyani unampa mwenye yard Rav4 unamuongeza na pesa kisha anakupa tako la nyani.

Affricaries ni kampuni kubwa ya kuuza magari ya Fidahussein lakini wanarudia Rangi magari.

Kama kuna mtu anawaza kwenda Polisi asipoteze muda wake, Mimi ni ushahidi nimeshakamatwa na Interpol nikiwa na gari ya wizi iliibiwq Japan lakini tulinunuwa Kwa Fidahussein alichofanya alinipa gari ya kutumia Kwa muda then akaenda kutowa ile gari ya wizi nikarudishiwa.

Kuna kipindi Interpol huwa wana kuja Tanzania kuendesha oparesheni ya magari ya wizi, wale wenye magari ya kijanja ya bei mbaya huwa wanapewa taarifa wanayafungia.

Utajifanya unakwenda kutowa taarifa Polisi wakati huyo mkuu wa kituo kapewa gari bure atumie na haohao unaodhani eti unawalipuwa.
Mawazo ya kiboya sana haya, kwani polisi wote wako hivyo? Jamaa yangu aliibiwa gari baada ya miezi 3 akaitwa polisi na kupewa gari yake, tena ikiwa haina shida yoyote, acha kukariri..
 
Hata ndani ya hayo masaa motor haiwezi rudisha km 170,000 nyuma
Kurudisha km nyuma ni kitendo cha dakika kadhaa tuu maana wanatumia computer wana command cbox kusoma millage wanazotaka wao iyo michezo nimeifanya sana ndan ya dakika 10 hata ukitaka isome 00 chap tu
 
Shida mnataka gari za km chache huku uwezo ni gari za 2000-2010 ndio maana wanaamua kucheza na km ili kuwaridhisha. Unanunua gari ya 2004 halafu unataka iwe na km 40,000 ilikuwa haitumiki mpaka wewe ulipotokea kuinunua? Haiwezekani . kitu ambacho wanahakikisha ni kuwa gari iko vizuri
 
Hapo kwa wewe kupewa mil 1 ni uongo...wewe una price tag gan? Ungekuwa na price tag kubwa usinge enda kuulizia gari low classes kama hizo. Acha uongo!
Probox kwa kubeba mizigo ndiyo kazi zake, bei zake 14 million na zaidi, wewe ulitaka anunue BMW kubebea mizigo [emoji23] [emoji23]
 
Kurudisha km nyuma ni kitendo kinafanyika chini ya dk 30
Mbona nyingi sana cpu ikisoma tu hata ndani ya dakika 2 kwa mtu sharp kwenye computer unarudisha maana ni kuandika tu unataka km ngap ukimaliza pale pale inabadili
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimeoiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari ya nauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan 🗾 asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika
Oda mita zinachezewa sana.sema uimara wa gari siyo kwenye oda mita.ila wakichezea oda mita maana yake kuna wanachoficha pia
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimeoiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari ya nauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan 🗾 asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika
Kwahiyo ukabeba milioni ukanyamaza😂😂😂 dah sipati picha ulivokunjua sura ulivoiona 1M , Tz rushwa haifi Leo aisee😂😂
 
Back
Top Bottom