DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sio kweli nina gari nimenunua mwaka wa tatu huu naitumia na nimesha badilisha tairi mara mbili kwa jinsi ninavyo safiri nayo sana mikoani hata Battery iliyokuja nayo tu sijawahi hata kuifungua hapo ilipo sembuse kuibadilisha ni tairi na normal service tu ilikuja na km. 63,000 hivi na sasa hivi ina km 100,000 +.
Basi ulibahatika kupata gari zuri

Kipindi cha nyuma yard za magari zilipokuwa zinaanza wajapan walikuwa wanashirikiana na wabongo
Kuziuza gari nyingi zilikuwa safi,hazina matatizo

Ila walipoingia wapakistan shida magumashi ikaanza

Ova
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimepiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari yanauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika.
Mimi nilivyosikia ile habari ya kuleta car Inspection hapa TZ nilisikitika sana kwani nawajua watu wangu...
Bora Inspection irudishwe huko kwa wazungu wakague wenyewe; wenzetu wapo very serious na wakweli...
 
Mimi nilivyosikia ile habari ya kuleta car Inspection hapa TZ nilisikitika sana kwani nawajua watu wangu...
Bora Inspection irudishwe huko kwa wazungu wakague wenyewe; wenzetu wapo very serious na wakweli...
Ndilo wazo langu hilo
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimepiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari yanauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika.
Achana kununua gari kwa kilomita wewe, angalia physicaly kama ni zima na linakuvutia beba. Hizo kilometa ni mbwembwe tuu. Kuna magari Yana zaidi ya miaka 30 na yanamfanya kazi ngumu mchana na usiku na yapo bomba yanapeta tuu
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimepiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari yanauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika.
Duuuh !!
 
Wewe si whistle blower, wewe ni selfish and greedy Tanzanian.

Whistle blower angepeleka ushahidi polisi na TAKUKURU.

Wewe ni mmoja ya walioshiriki kuwawezesha hao watu kufanya biashara yao chafu.

Tena sasa hivi watafanya kwa umakini zaidi, kwa sababu umeshawastua. Umefanya iwe vigumu zaidi kuwakamata.

Umewauza wenzako kwa vipande vya fedha.

Wewe ni mla rushwa na msaliti.
Tatizo angeweza kukataa hiyo pesa kama jamii yetu ingekuwa imefunzwa hivyo, lakini bahati mbaya kwetu, hata kama yeye angeikataa, bado hao unaotaka awapelekee hiyo kesi wangeweza kula hiyo pesa na mambo yaishie hapo, wacha kila mtu ale kwa urefu ya kamba yake.
 
Tatizo angeweza kukataa hiyo pesa kama jamii yetu ingekuwa imefunzwa hivyo, lakini bahati mbaya kwetu, hata kama yeye angeikataa, bado hao unaotaka awapelekee hiyo kesi wangeweza kula hiyo pesa na mambo yaishie hapo, wacha kila mtu ale kwa urefu ya kamba yake.
Kungekuwa na kampeni kubwa kuhusu hili na mengine kama haya kuanzia chini, hata hao wa juu wangeogopa.

Sasa hivi huko ju hawaogopi kwa sababu washaona hii ni tabia ya Watanzania kama wote tu.

Na hapo ndipo Watanzania wengi wanakosa uhalali wa kuilaumu serikali.

Unailaumu serikali wakati ushafanya sehemu yako.

Sasa huyu mleta mada rushwa anataka kula, na serikali anataka kuilaumu hapo hapo?
 
Tuwaonbe Serikali wapunguze Kodi tuburudike na gari za Ukweli ukiwasha mapumziko Kagera huko hata ajali yake inakua haina madhara sana sio hizi biscuits zetu ajali kidogo tuu inakutoa Roho gari halina hata Kinga yeyote kwa walio ndani...
 

Attachments

  • IMG-20221020-WA0141.jpg
    IMG-20221020-WA0141.jpg
    88.4 KB · Views: 14
Kurudisha Odometer sio zoezi la saa moja. Ni zoezi la muda kidogo.

Jan Motors wao hawa gari zao utaikuta kama ilivyo na bei zao ziko chini, hivyo watu huenda kwao wananunua afu wanaenda uza tena
Hivi hawa jamaa hawana longolongo?
 
Hayo magari ya showrooms za kibongo kagueni hadi uvunguni.

Jamaa yangu kauziwa gari limechomelewa mara mbili hilo bomba la exhaust!

Mwanzoni na kwenye masega, halina nguvu,linachelewa kuchanganya na fuel consumption siyo ya gari la aina hiyo ila muungurumo hauna shida.
 
Jamaa yangù alikuja Dar kununua gari, akapelekwa kwenye hizo yard, akanunua Toyota Hiace akafanyie biashara Kigoma.

walipofika tu Dodoma, engine imechanganya oil 🛢 na maji 💦
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimepiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari yanauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika.
Siku nyingine ukipiga picha, isave(ifiche) sehemu nyingine ili hata kama wakija kukuambia ifute na ushapata chako. utakuwa na risiti(picha) kwa matumizi ya baadae kama sasa ulivyotujuza hapa.

Nimejifunza jambo, kuchukua risiti(kielelezo) ni muhimu sana.
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimepiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari yanauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika.
Ulichonifurahisha sana kabisa ni ile dhana ya kula kwa urefu wa kamba yako. Kama usingeichukua hiyo hela wangekudhuru na ndivyo ilivyomtokea hata Dkt Magufuli enzi zile kukataa rushwa kwenye ujenzi wakampatia sumu ili wamuue.
 
Serikali itupie macho uhuni unaofanywa na hawa wafanyabiashara wa magari wenye asili ya Pakistan.

Jana mida ya saa sita mchana tulienda na rafiki yangu kwenye moja ya maduka (yard) ya kuuzia magari. Rafiki yangu alikuwa anataka Toyota Probox kwa ajili ya kubebea mizigo yake Kariakoo na kwenye godown yake.

Tukafika hiyo saa sita tukakuta magari ndiyo yanapangwa. Walivyomaliza tukaomba kukagua gari moja. Kijana akaitwa akaja mbio na funguo za gari zikiwa mkononi kwake.

Nikakaa kwenye usukani na rafiki yangu pembeni. Nilipoiweka gari switch on nikakuta odometer inasoma gari imetembea kilometa 219,551. Bei milioni 16

Tukashauriana tukasema hapana hili gari halifai. Tukaendelea duka jingine na jingine na jingine.

By saa tisa tukafudi tena kwenye ile Probox, tukakuta ishachezewa odometer, sasa inaonekana imetembea kilometa 46,755.

Nilikuwa nimepiga picha chasis namba mlangoni na dashboard. Nikipowauliza mbona hii gari mmeichezea kilometa, nikawaonyesha na picha wakakasirika sana wakapora simu yangu. Nikawaambia kaeni nayo, leo mtalala polisi.

Nikawa naondoka kulekea kwenye gari tuliyokuja nayo hapo yard, ndipo mmoja ya wafanyabiashara wale akaja mbio huku akinibembeleza nifute zile picha watatupa million moja.

Hela tamu, tukakubali kufuta picha, tukabeba milioni yetu. Tukaondoka.

Lakini backyard ya hizo yard zote kuna mafundi wako busy wanayaweka sawa mamikweche hayo.

Kingine tulichogundua ni kwamba kwenye minada ya magari, magari yanauzwa kwa classes. Hawa wanachagua class duni kabisa, yakifika hapa wanaongea vizuri na wakaguzi, wanatolewa bandarini.

Kwa somo hili tulilojifunza jana rafiki yangu amekata tamaa kabisa na magari haya. Sasa kaona bora aagize kutoka Japan asubiri siku 45 abebe mwana wake wa uhakika.
Ile maana ya mjini shule shamba darasa.Utajiri wa wenzio ni wake kamwe usiutamani,kwani anaweza kuwa sio tajiri ila jambazi 😂😂
 
Ulichonifurahisha sana kabisa ni ile dhana ya kula kwa urefu wa kamba yako. Kama usingeichukua hiyo hela wangekudhuru na ndivyo ilivyomtokea hata Dkt Magufuli enzi zile kukataa rushwa kwenye ujenzi wakampatia sumu ili wamuue.
Kumbe ndivyo ilivyokuwa?
 
Siku nyingine ukipiga picha, isave(ifiche) sehemu nyingine ili hata kama wakija kukuambia ifute na ushapata chako. utakuwa na risiti(picha) kwa matumizi ya baadae kama sasa ulivyotujuza hapa.

Nimejifunza jambo, kuchukua risiti(kielelezo) ni muhimu sana.
Thank you very much Dr. Mwifwa umejaa madini mob
 
Jamaa yangù alikuja Dar kununua gari, akapelekwa kwenye hizo yard, akanunua Toyota Hiace akafanyie biashara Kigoma.

walipofika tu Dodoma, engine imechanganya oil [emoji921] na maji [emoji97]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom