Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Watapewa michango yao tu, sio ya mwajiri wala sio pension.

Wengi wameliwa vichwa wakiwa na mshahara chini ya m1 na wakiwa kazini pungufu ya miaka 15 na ikumbukwe walianza kazi na mishara midogo sana pungufu ya laki.

Watapata hela pungufu ya milion 6
we unayo hiyo ml 6 ?
 
Mtu akiwa na cheti feki ukweli ni kwamba inabatilisha hata ajira aliyoipata kwa kutumia vyeti hivyo. Katika jambo hili nasimama na JPM.

Mambo ya kugushi nyaraka ni kinyume cha sheria. Kwa hiyo basi ile kutokushtakiwa na kuhukumiwa ilikuwa ni huruma tosha kutoka serikalini. Sasa suala la kuwalipa waliogushi vyeti linatoka wapi wakati ajira zao zilikuwa batili!?

Katika baadhi ya mambo nilimuelewa sana JPM. Alikuwa jasiri, mwenye uthubutu wa kuchukua hatua na kufichua uozo. Sasa msimamo wa serikali umeshabadilika na kutaka kuwapa shavu wakosaji!?

RIP Magufuli.
Sasa serikali iliyowaajiri hao watumishi feki nayo tuifanyaje?lile JITU lenu limeondoka kwa sababu ya masononeko ya watu wengi
 
Ni wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.

sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.

2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
[emoji38][emoji38][emoji38] atapata tu!
Hata haya maigizo yanayoendelea unadhani ni sababu ipi! Ni mbinu za kupata kura tu.
 
Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.

Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .

Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama

Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.

Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Rais Samia Suluhu anasimamia haki za wananchi safi sana
 
Mama anaoupiga mwingi ,JIKONO JANDAMA alikuwa hana ubinadamu hata kidogo.
 
Ni sawa na mwizi kakamatwa kaiba,wakati akiwa anaiba akajichoma na msumari.

maara pap tumemdaka mwizi wetu, eti badala apigwe kisawa sawa au apelekwe sheria ikafanye yake.

eti anaanza tibiwa kidonda,anapewa maji ya kunywa,anapokonywa ile TV aloiba anaambiwa haya nenda nyumbani.

Kweli tumefikia huku? Hii nchi hiii
Hata Kama umeuwa,au umeiba,wenye Nchi wakiamuwa wala hufungwi au hata kushitakiwa hushitakiwi!!!
 
Bora liendee ndiyo iwe hivyo!!??

Tatizo halikuwa vyeti feki hata kidogo watu walionewa. Watu waliajiriwa wakiwa darasa la saba UPE. wakajiendeleza kielimu mtu darasa la saba aliitwa Magunia Safuria. Sekondari akaitwa Magunia S. Magunia hapo yalikuwa makosa unaambiwa mpige uliyesoma naye primary tuhakiki hivi kweli UPE 1970 ntampata wapi rafiki yangu aeleze kuwa ni jina langu. Mungu atamlipa wema Samia.
 
Hyo process yake hapo mpaka upate pesa inaweza fika miaka kumi , au kama una 100M , 50M unaicaha kama hongo lasivyo hayo mafao watatumia wajukuu zako
 
nnachokiona hapa itapigwa moja na mbili halafu watuhumiwa hao hawataona kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

mambuzi yako yanaruka walipweeeeeee.
 
Mifumo ya elimu ya zamani ilikuwa siyo tafiki.

Unakuta mkoa mzima una private secondary school moja. Darasa zima wanaenda secondary school wanafunzi wawili. Kurudia darasa la 7 ni marufuku. Mtu anaenda mahali pengine, anarudia darasa kwa kutumia jina la mtu mwingine. Au aliyepata nafasi ya kuendelea sekondari za serikali ameamua kutokwenda, anaenda seminary school, anampa nafasi ndugu yake.

Hao watumishi walionewa kwa sababu ya nafasi zao. Mbona akina Bashite, Madelu, Bagalile (wachache tunaowafahamu), hawakufukuzwa.

wewe hakuna kitu unachojua.

wenye case hii elimu na vyeti walivyo navyo ni halali,maana wamevisotea.jina sio ishu.

kwanza huwezi jua kama jina sio lake sio necta,hazina,utumishi au nida watakaojua hilo.

watu walikuwa wamenunua vyeti,cheti kimoja kina watumishi watatu,ndio hawa kabla hata ya kuambiwa kitu wakakimbia ofisi.
 
Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.

Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .

Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama

Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.

Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Wanafiki hao mawaziri wa jiwe! wanageuka mawe sasa
 
Mtu akiwa na cheti feki ukweli ni kwamba inabatilisha hata ajira aliyoipata kwa kutumia vyeti hivyo. Katika jambo hili nasimama na JPM.
Kitaaluma tunasema hizo ajira zilikuwa "void ab initio".
 
Mtalipa na majambazi
Hii nchi ngumu sana..
Hii ni sawa na ile ya kufuta darasa la saba… Wanaomaliza Form IV bado hawajiwezi wala kujielewa sasa tukifuta la saba si tunatengeneza Taifa la wapumbavu
Yule Mzungu sijui Mbongo mweupe anashabikia kila ovu juu ya Elimu yetu..
Eti watoto wetu wafundishwe kwa Kiswahili tuuuu Huu ni upuuzi.. Nia yake ni nini? Leo tunashindwa kusign mikataba rahisi tu kwa sababu ya lugha.

Kuna watu wanatafuta sifa za kipumbavu..
WaTz I mean halisi msiyumbishwe na kudanganywa ‘eti Kiswahili kinakua kinakua wapi Africa tu sio kila mahali

Hapa umechangia mada ipi Dada yangu Pakawa.???
 
Haijalishi waliowaingiza kwenye system ni kina nani lakini kuwalipa hao mabwana mabwana ni kuhalalisha Wizi wa vyeti feki.........

Kutokukamatwa ukiwa unaiba hakukuhalalishi kuwa mwizi.......
 
Back
Top Bottom