Mifumo ya elimu ya zamani ilikuwa siyo tafiki.
Unakuta mkoa mzima una private secondary school moja. Darasa zima wanaenda secondary school wanafunzi wawili. Kurudia darasa la 7 ni marufuku. Mtu anaenda mahali pengine, anarudia darasa kwa kutumia jina la mtu mwingine. Au aliyepata nafasi ya kuendelea sekondari za serikali ameamua kutokwenda, anaenda seminary school, anampa nafasi ndugu yake.
Hao watumishi walionewa kwa sababu ya nafasi zao. Mbona akina Bashite, Madelu, Bagalile (wachache tunaowafahamu), hawakufukuzwa.