Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Kuna watu Unakuta yeye alitumia cheti kimoja na ndugu yake mmoja Akaenda police Mwingine Nursing sasa katika kuwatafuta hawa vyeti feki ..huyo wa police akafungiwa mshahara sasa huyo automatically akajiondoa so hapo ...inakaaje ktk kupewa kiinua mgongo?
Walikua wanalipwa mshahara kama watu 2 tofauti
Hivyo kila mtu na michango/mafao yake
 
Nchi ya wajinga hii! Watu kibao hawana ajira na vyeti vyao halali halafu mnaanza kulipa hela mtu aliyeiibia nchi miaka kibao! Kwani wakati anatumikia alikuwa hapati mshahara!
Magu fool.. mwenyewe jizi lile...lilijenga air port kwao kwa hela hizo za dhuruma. Mungu muweza akaona isiwe tabu..akalionyesha kazi mpaka leo lina beba mtondoo ahela.

Waliwekwa na sirikali walipwe tu hkn namna. ....kwanza walikuwa na vipaji mnooo nchi ilisonga...
 
Kati ya Serikali na wao nani mwizi hapo??

Hawajaiibia tu Serikali pia wamesababisha watu wenye sifa kukosa hizo nafasi.

Hawa hawakustahili kulipwa, walipaswa washtakiwe kwa ulaghai au kughushi nyalaka ( wataalamu wa sheria wanaweza kufafanua zaidi)
Inauumaa saanaaa kuuonaa Tanzania yetu eti kosa la kugushi linachukuliwa kiwepesi sana hata na DPP mwenyewe wakati kugushi ni kosa la Jinai!!?? Na kifungo chake si chini ya miaka 7!!! DPP somewhere somehow anatuangusha!!!!
 
Lakini kwa Nini wali forgi vyeti!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kufoji ni udanganyifu na faida walioipata ni uhujumu uchumi, sasa mwenye serikali au wale wanufaika wa wenye vyeti fake wameishika serikali. All in all hii ni huruma na msamaha tunamshukuru Mungu kwa hii huruma kubwa ya Kimungu Kwa mamlaka na hasa aliependekeza, aliewaza na aliidhinisha na atakaefanikisha. Mungu awabariki.

Kufurahia hili ni afya kuliko kulikataa.
 
Mtu akiwa na cheti feki ukweli ni kwamba inabatilisha hata ajira aliyoipata kwa kutumia vyeti hivyo. Katika jambo hili nasimama na JPM.

Mambo ya kugushi nyaraka ni kinyume cha sheria. Kwa hiyo basi ile kutokushtakiwa na kuhukumiwa ilikuwa ni huruma tosha kutoka serikalini. Sasa suala la kuwalipa waliogushi vyeti linatoka wapi wakati ajira zao zilikuwa batili!?

Katika baadhi ya mambo nilimuelewa sana JPM. Alikuwa jasiri, mwenye uthubutu wa kuchukua hatua na kufichua uozo. Sasa msimamo wa serikali umeshabadilika na kutaka kuwapa shavu wakosaji!?

RIP Magufuli.
Yaani unamlipa mwizi kwa sababu ya huruma tu!!
 
Inauumaa saanaaa kuuonaa Tanzania yetu eti kosa la kugushi linachukuliwa kiwepesi sana hata na DPP mwenyewe wakati kugushi ni kosa la Jinai!!?? Na kifungo chake si chini ya miaka 7!!! DPP somewhere somehow anatuangusha!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Haya maamuzi ni ya mamlaka ya juu, it's a decree decision, DPP anapewa Maelekezo, mwenye pesa ni Rais wa nchi husika na ndiye huidhinisha malipo.
 
Mtu akiwa na cheti feki ukweli ni kwamba inabatilisha hata ajira aliyoipata kwa kutumia vyeti hivyo. Katika jambo hili nasimama na JPM.

Mambo ya kugushi nyaraka ni kinyume cha sheria. Kwa hiyo basi ile kutokushtakiwa na kuhukumiwa ilikuwa ni huruma tosha kutoka serikalini. Sasa suala la kuwalipa waliogushi vyeti linatoka wapi wakati ajira zao zilikuwa batili!?

Katika baadhi ya mambo nilimuelewa sana JPM. Alikuwa jasiri, mwenye uthubutu wa kuchukua hatua na kufichua uozo. Sasa msimamo wa serikali umeshabadilika na kutaka kuwapa shavu wakosaji!?

RIP Magufuli.
Kumbuka alishindwa kuwaondoa polisi wenye vyeti feki, isiishie kusimama nae tu, kalale nae pia[emoji3061]
 
Elewa hawalipwi staafu! Ni michango yao waliyochangia na mwajiriwa wao pia.
Income yoyote waliyoipata wakati wanatumikia kwa njia ya udanganyifu sihalali.
Kwanza walitakiwa kurudisha mishahara yote waliyo pokea kwa njia ya udanganyifu.

Watu wameghushi vyeti na kupata ajira humohumo serikalini alafu wamegundulika kwamba walifanya uhalifu then walipwe stahiki zao????,
michango yao!!.

Hiyo michango wameipata wapi na wameipa kihalali ama kupitia nyaraka feki,kama michango yao waliipata kwa njia za udanganyifu then why should we pay the criminals???.

Watu wanataka kupigaa tu kodizetu hapo hakuna logic yoyote hapo kuwalipa wahalifu.

Inashangaza sana.

Tungekuwa makini tunge watafuta walio waajiri hao vyeti feki watuambie jinsi walivyo shindwa kutambua hivyo vyeti feki,then tungepiga hatua moja mbele katika kudhibiti wanaoghushi nyaraka.
Kupanga kuwalipa ni kupiga hatua tano nyuma katika kupambana na matapeli.
 
Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.

Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .

Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama

Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.

Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Mungu awabariki wale waliofikiria juu ya hili jamani wapate jasho lao ni haki yao.
 
Kati ya Serikali na wao nani mwizi hapo??

Hawajaiibia tu Serikali pia wamesababisha watu wenye sifa kukosa hizo nafasi.

Hawa hawakustahili kulipwa, walipaswa washtakiwe kwa ulaghai au kughushi nyalaka ( wataalamu wa sheria wanaweza kufafanua zaidi)
Ni wapumbavu tu ndio wataona hili liko sawa, Hamna mtu ambae ana uchungu na Taifa hili na rasilimali zake ata afiki huu ujinga.

sijui hata washauri wa huyu mama wako wapi, wangeruwarudshia kimya kimya bas maana hiki kinachofanyika ni ujinga na Aibu.

2025 huyu mama akipita Urais ntaamini Uchawi upo.
 
Ni sawa na mwizi kakamatwa kaiba,wakati akiwa anaiba akajichoma na msumari.

maara pap tumemdaka mwizi wetu, eti badala apigwe kisawa sawa au apelekwe sheria ikafanye yake.

eti anaanza tibiwa kidonda,anapewa maji ya kunywa,anapokonywa ile TV aloiba anaambiwa haya nenda nyumbani.

Kweli tumefikia huku? Hii nchi hiii
 
Mtalipa na majambazi
Hii nchi ngumu sana..
Hii ni sawa na ile ya kufuta darasa la saba… Wanaomaliza Form IV bado hawajiwezi wala kujielewa sasa tukifuta la saba si tunatengeneza Taifa la wapumbavu
Yule Mzungu sijui Mbongo mweupe anashabikia kila ovu juu ya Elimu yetu..
Eti watoto wetu wafundishwe kwa Kiswahili tuuuu Huu ni upuuzi.. Nia yake ni nini? Leo tunashindwa kusign mikataba rahisi tu kwa sababu ya lugha.

Kuna watu wanatafuta sifa za kipumbavu..
WaTz I mean halisi msiyumbishwe na kudanganywa ‘eti Kiswahili kinakua kinakua wapi Africa tu sio kila mahali
 
Back
Top Bottom