Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Mzab zab je hajafekisha vyeti kweli nawasi wasi naye hayupo kwenye list
 
Kuna watu hawana ajira huu mwaka wa sita wanasota kitaa....halafu pesa ambayo ingetumika kuwapa walau mikopo au ajira za muda mfupi ndio anakwenda kupewa mwizi alieiibia serikali kwa miaka 15🤔🤔..........kweli mama yangu mama samia umejua kuniaibisha pamoja na kutetea kote huko??🤔🤔🤔
 
Mtu akiwa na cheti feki ukweli ni kwamba inabatilisha hata ajira aliyoipata kwa kutumia vyeti hivyo. Katika jambo hili nasimama na JPM...
Vipi watu waliokosa umakini na kuwaajiri wenye vyeti feki? Nao walichukuliwa hatua?!
 
Kuna watu hawana ajira huu mwaka wa sita wanasota kitaa....halafu pesa ambayo ingetumika kuwapa walau mikopo au ajira za muda mfupi ndio anakwenda kupewa mwizi alieiibia serikali kwa miaka 15[emoji848][emoji848]..........kweli mama yangu mama samia umejua kuniaibisha pamoja na kutetea kote huko??[emoji848][emoji848][emoji848]

Aliyewafukuza mwanzoni mbona hakutoa ajira za kutosha….?? Tuache popularity za kishamba kwenye maisha ya watu. Watu walilalamika kuonewa kama walipunguzwa kazi kijanja baada ya serikali kuona haitakuwa na uwezo wa kuwalipa mishahara.
 
Pol
Kuna watu Unakuta yeye alitumia cheti kimoja na ndugu yake mmoja Akaenda police Mwingine Nursing sasa katika kuwatafuta hawa vyeti feki ..huyo wa police akafungiwa mshahara sasa huyo automatically akajiondoa so hapo ...inakaaje ktk kupewa kiinua mgongo?
Polisi,JW n.k,sidhani kama walikumbwa na hiyo kadhia,na wale walioogopa wakakimbia,kuna namna iliyotumika kuwaita.
 
Watapewa michango yao tu, sio ya mwajiri wala sio pension.

Wengi wameliwa vichwa wakiwa na mshahara chini ya m1 na wakiwa kazini pungufu ya miaka 15 na ikumbukwe walianza kazi na mishara midogo sana pungufu ya laki.

Watapata hela pungufu ya milion 6
Sjaelewa hikiii
 
Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.

Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .

Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama

Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.

Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Umefika wakati wa Nchi hii na Machawa waelewe kuwa mtu yule RASMI Kwa hili amefutika kabisa kwenye akili za watu. Hatakiwi kuandikwa tena humu wala popote utukufu na masifa yamefutwa.
Hakuna cha alifanya Wala mtanikumbuka.
 
Watapewa michango yao tu, sio ya mwajiri wala sio pension.

Wengi wameliwa vichwa wakiwa na mshahara chini ya m1 na wakiwa kazini pungufu ya miaka 15 na ikumbukwe walianza kazi na mishara midogo sana pungufu ya laki.

Watapata hela pungufu ya milion 6
Yaani si haba hasa ukiwaza hukuwa na kazi miaka 6 imepata familia umeiendesha Kwa vibarua na shida acha iwe iwavyo yule mtu asahaulike !
 
Kati ya Serikali na wao nani mwizi hapo??

Hawajaiibia tu Serikali pia wamesababisha watu wenye sifa kukosa hizo nafasi.

Hawa hawakustahili kulipwa, walipaswa washtakiwe kwa ulaghai au kughushi nyalaka ( wataalamu wa sheria wanaweza kufafanua zaidi)
Elewa hawalipwi staafu! Ni michango yao waliyochangia na mwajiriwa wao pia.
 
Watumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.

Siku ya leo Mawaziri Wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .

Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama

Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.

Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Kuna Hawa waliobadilisha namba za watahiniwa na Shule kupigwa [emoji1630] hawana tofauti ndio walewale. Kuna mahali iko tatizo!
 
Wale watu walidhulumiwa sana. Kwanza nchi moja kuwa na double standard katika maamuzi si sawa. Hao hao wenye vyeti feki kwenye vyombo vya dola hawakuguswa !!.

Pili kosa halikuwa lao bali mfumo uliowaingiza kwenye ajira. Hawakulazimisha kuingia kwenye ajira bali uhitaji wa mfumo ndiyo uliowaingiza.
Mahali palipo na feki katika nchi hii ni Jeshi la Polisi. Huko wapitie watakutana na majabu.!
 
Magufuli aliwapora haki yao Mama Samia anawarejeshea haki yao tatizo nini sasa kama ni haki kulipwa walipwe tu.
 
Kwa hiyo mnaona nongwa lililomshinda Magufuli, Samia analimaliza, acheni roho mbaya nyie.
 
Back
Top Bottom