Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Uchawi hadharani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niligushi PhD ya kubangua korosho kama yule jamaa aliyevidharau vidudu vya covid, navyo vikamtendea miujiza mpaka akadediWEWE uligushi Cheti tu
Hizi ndiyo zile mbegu za machuki na mikosi alizoacha baba yao. Ndiyo maana mvua ilipoteaKUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Usiku wa leo asipoangalia atatwangwa mingumi. Analalamika Kama anachukua nyumbani kwake.We jamaa una roho mbaya kama mbuzi mjamzito....
Sijui kwanini mwendazake hakuhakiki vyeti vya mapolisi na wanajeshi.... Ile ilikuwa double standard ya kihuni sana
Hivi kughushi ninini!,Mr X amesomea udaktari na Mr Y akaiba Malala ya cheti cha Mr X akaibadilisha na ikasomeka ni cheti cha Mr y .AU,Mr X akachukukua cheti chaMr Y Cha kumaliza(PCB)v1 akasomea udaktari,Sasa 😁 hapo nani mwenye cheti fake Cha taaluma. Ile haikua sawa,lakini mkuki kwa nguruwe.KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
If you don't want the rules follow them reach at the top change the rules.KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Na wale sijawahi kifanyakazi serikalini. Kilichoniuma ni jinsi walivyopoteza muda wao na barua za ajira wanazo. Wewe na maugomvi yako unafiki visaso vyako unaingilia mambo yasiyokuhusu.Wewe uligushi Cheti
Tuliaaa Tupo na MAMA 2025 KAZIINDELEEKUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Rais Samia anatafuta kuungwa mkono kwa kufanya uhalifu,hatari sanaKUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
soma vizuri sheria na kanuni za kudumu za utumishi wa umma mkuuKUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Wavuvi unatuonaje bimkubwa rais wetu mbona kamahutambui kama tulifanyiwa unyama mkubwa namalizetu hadi sasa wanazo hawataki kurudisha kutupuuza ziwa Tanganyika kata yakalya inatuuma sanaWatumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.
Siku ya leo Mawaziri wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari Kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .
Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama
Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.
Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
🤣🤣🤣Ulitakiwa ufe na babako
Mungu wangu!!..Aliyegushi Phd hamkuishia kumpa Urais tu bali mkampa na nafasi ya kuua aliyehoji Phd yake
Tanzania hilo ni tatizo la kitaifa. Kuna akina Mwigulu huko Rais mtarajiwa na majina yao bandia.KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA