Zainab j
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,817
- 2,362
Kwa hakika shetani yuleWapewe haki zao walidhurumiwa kweupe na lile dikiteta la chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hakika shetani yuleWapewe haki zao walidhurumiwa kweupe na lile dikiteta la chato
Jiwe lilikuwa na roho mbayaKati ya Serikali na wao nani mwizi hapo??
Hawajaiibia tu Serikali pia wamesababisha watu wenye sifa kukosa hizo nafasi.
Hawa hawakustahili kulipwa, walipaswa washtakiwe kwa ulaghai au kughushi nyalaka ( wataalamu wa sheria wanaweza kufafanua zaidi)
Jiwe ndio lilikuwa jizi la haki za watu za kuishiHawa wote hawatakiwi kupewa chochote! Kwani wasipopewa maisha hayataenda? Mbona watu kibao wapo mtaani wanapambana huku wanadgree na diploma zao halali kwenye makabati huko! Hawa ni wakuwatema wakafie mbele wezi hao!
YEYE ALIIBA KURA MILIONI 12 NDIO MTAKATIFU?Hivi kweli unaandika kusapot. Wezi? Nchi hii ya Ajabu sana. Tena Magufuli aliwaonea huruma hawa majizi.
Tunasomesha Watoto wetu kwa gharama kubwa wanakosa Ajira. Kwa sababu kuna watu wanafanyakazi kwa kutumia vyeti feki.
Siungi mkono hoja ya SERIKALI kuwalipa wezi fedha tena ilitakiwa warudishe fedha zote za walipa kodi walizolipwa kwa miaka yote.
ALIKUWA NA rOHO YA SHETANI NDANI YAKE.Samia Ni chaguo la Mungu, magufuli aliwasibu wengi na hakuwa na utu kabisa
Kwani hizo pesa zinatoka mfukoni kwa baba yako au baba yako aliwaajori? Naona unalalamoka Sana. Kama kinakuuma Sana nenda kakae pale geti la hazina uzuie pesa upeleke nyumbani kwako.Hivi kweli unaandika kusapot. Wezi? Nchi hii ya Ajabu sana. Tena Magufuli aliwaonea huruma hawa majizi.
Tunasomesha Watoto wetu kwa gharama kubwa wanakosa Ajira. Kwa sababu kuna watu wanafanyakazi kwa kutumia vyeti feki.
Siungi mkono hoja ya SERIKALI kuwalipa wezi fedha tena ilitakiwa warudishe fedha zote za walipa kodi walizolipwa kwa miaka yote.
Tatizo lako ndugu ni ukosefu wa mlo kamili.Yaan wewe na vyeti feki ni kama hawara wa mama yako unavyomchukia.Pia nahisi hata maana ya vyeti feki huijui kutokana na utapiamlo unaokusibu.KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Aliyewafukuza kazi naye alikuwa na Phd fakeKUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Kwani waliohukumiwa waliopo Magereza Nchi imepata Faida gani Kiuchumi?Wakihukumiwa hawa wote nchi itapata faida gani kiuchumi??
Umeishia darasa la ngapi weweKwani waliohukumiwa waliopo Magereza Nchi imepata Faida gani Kiuchumi?
Itakuwa kama sio wewe Baba yako au Mama yako ALIGUSHI CHETI ndio maana umeumia sana jiandae ukachukue cheki ya Laki 1 Kama unadhani ni Mamilioni imekula kwakoTatizo lako ndugu ni ukosefu wa mlo kamili.Yaan wewe na vyeti feki ni kama hawara wa mama yako unavyomchukia.Pia nahisi hata maana ya vyeti feki huijui kutokana na utapiamlo unaokusibu.
Ifike hatua uone aibu,
Naongea hivi kutokana na mada zako nyingi umekuwa unaonesha hasira dhidi ya hawa ndugu zetu walioondolewa kazini kazini kihuni na mhuni mwenzako.Wenye akili walipoingia serikalini wamekuumiza roho sana baada ya kupinga uhuni uliofanywa na mhuni mwenzako.
Acha walipwe ni haki yao wala siyo haki ya mama yako wala baba yako.
Hizi ndiyo zile mbegu za machuki na mikosi alizoacha baba yao. Ndiyo maana mvua ilipotea.KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
We jamaa una roho mbaya kama mbuzi mjamzito....KUGUSHI ni Kosa la Jinai Mhusika hushtakiwa Mahakamani akipatikana na HATIA Huhukumiwa ikiwa ni pamoja na KUFUKUZWA kazi.
Kwa Tanganyika Ukigushi hupelekwi Mahakamani ili kuthibitisha hilo KOSA badala yake Unafukuzwa kazi lakini UNALIPWA
Nimetoa ANDIKO hili ili Tuwajue WALIOGUSHI VYETI na ni Rahisi KUWAJUA kwa wanatetea kwa NGUVU ZOTE VYETI FEKI Sijawahi kusoma kabisa mkuuUmeishia darasa la ngapi wewe
Wewe uligushi ChetiHizi ndiyo zile mbegu za machuki na mikosi alizoacha baba yao. Ndiyo maana mvua ilipotea.
WEWE uligushi Cheti tuWe jamaa una roho mbaya kama mbuzi mjamzito....
Sijui kwanini mwendazake hakuhakiki vyeti vya mapolisi na wanajeshi.... Ile ilikuwa double standard ya kihuni sana