Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taifa la wajinga tu vitu kama hivo vinaweza kufanyika! Ndio maana taifa limefanya mambo yale yale usitegemee matokeo chanya!Legacy inapukutishwa Kwa kasi Sana.
Ndio takataka gani hiyo?Tuambie Ben alipo.
Tatizo liko kwa nani? Walitumia kigezo gani kuingia makazini? Nani aliwapokea? Au ajira zilikuwa zinauzwa Kama sokoni? Kosa nila mwajiri au aliyedanganya?Kati ya Serikali na wao nani mwizi hapo??
Hawajaiibia tu Serikali pia wamesababisha watu wenye sifa kukosa hizo nafasi.
Hawa hawakustahili kulipwa, walipaswa washtakiwe kwa ulaghai au kughushi nyalaka ( wataalamu wa sheria wanaweza kufafanua zaidi)
Kuna pande mbili;Tatizo liko kwa nani? Walitumia kigezo gani kuingia makazini? Nani aliwapokea? Au ajira zilikuwa zinauzwa Kama sokoni? Kosa nila mwajiri au aliyedanganya?
Lakini Unakuta kijana ana miaka 35 au 36 then ameliwa kichwa kwa vyeti hiyo unaisemaje Mkuu?Mifumo ya elimu ya zamani ilikuwa siyo tafiki.
Unakuta mkoa mzima una private secondary school moja. Darasa zima wanaenda secondary school wanafunzi wawili. Kurudia darasa la 7 ni marufuku. Mtu anaenda mahali pengine, anarudia darasa kwa kutumia jina la mtu mwingine. Au aliyepata nafasi ya kuendelea sekondari za serikali ameamua kutokwenda, anaenda seminary school, anampa nafasi ndugu yake.
Hao watumishi walionewa kwa sababu ya nafasi zao. Mbona akina Bashite, Madelu, Bagalile (wachache tunaowafahamu), hawakufukuzwa.
Wizi ni wizi tu usitake kuupaka mafuta! Kitendo cha kuchukua vyeti si vyako kwenda navyo chuo au sehemu ya kazi ukavitumia isivyo halali ni uharifu! Huu uzuzu upo hapa kwetu tu nchi za watu wenye akili huwezi kukuta upumbavu kama huu!Tatizo liko kwa nani? Walitumia kigezo gani kuingia makazini? Nani aliwapokea? Au ajira zilikuwa zinauzwa Kama sokoni? Kosa nila mwajiri au aliyedanganya?
Ikumbukwe kuwa laana za vijana walioondolewa mavyuoni Joyce Kuna siku atajuta. Wale vijana Kama wazazi wait walikuwa hawana uwezo ni Kama serikali iliuwa ndoto zao. Ni afadhali lingefanyika marekebisho hata Kama nikuanzisha vyuo vya ufundi wangepelekwa huko Kama kifungoni wakitoka huko wakiingia mitaani wajiajiri.Watapewa michango yao tu, sio ya mwajiri wala sio pension.
Wengi wameliwa vichwa wakiwa na mshahara chini ya m1 na wakiwa kazini pungufu ya miaka 15 na ikumbukwe walianza kazi na mishara midogo sana pungufu ya laki.
Watapata hela pungufu ya milion 6
Hawa wote hawatakiwi kupewa chochote! Kwani wasipopewa maisha hayataenda? Mbona watu kibao wapo mtaani wanapambana huku wanadgree na diploma zao halali kwenye makabati huko! Hawa ni wakuwatema wakafie mbele wezi hao!Lakini Unakuta kijana ana miaka 35 au 36 then ameliwa kichwa kwa vyeti hiyo unaisemaje Mkuu?
Serikali ingewaangilia watu waliobakisha miaka michache tu kustaafu na sio vinginevyo
Sasa wewe unamlaumu vipi? Mrekebishe basi afanyekazi kwa sababu kazi anaitaka. Serikali baada ya kupata miundo fafiki ingeanzia Happ bila kusumbua familia za watu.Kuna pande mbili;
Aliyedanganya na aliyedanganywa (serikali)
Aliyedanganya alikusudia kufanya hivyo kwa kuambatanisha nyalaka ambazo anajua si sahihi.
Aliyedanganywa hakukusudia kumuajiri mtu aliyeghushi nyalaka, ilitokea kwa sababu hakuwa na mfumo na miundombinu rafiki kulibaini hilo. ( hii haifuti kosa la aliyedanganya)
Tangu waondolewe hao wenye vyeti feki Serikali imeajiri wangapi kuchukua nafasi zao, jiwe ali tuhadaa kwa Mengi sana ambayo mpaka leo tunashindwa kuyapatia ufumbuzi ikiwemo ya Madaraja ya utumishiKati ya Serikali na wao nani mwizi hapo??
Hawajaiibia tu Serikali pia wamesababisha watu wenye sifa kukosa hizo nafasi.
Hawa hawakustahili kulipwa, walipaswa washtakiwe kwa ulaghai au kughushi nyalaka ( wataalamu wa sheria wanaweza kufafanua zaidi)
Wanastahiki kulipwa walilitendea kazi taifaWatumishi wa Serikali katika Kada mbalimbali ambao waliondolewa kazini kutokana na tuhuma za kuwa na vyeti feki vya taaluma. Serikali imeagiza mchakato wa kuwalipa mafao yao uanze mara moja.
Siku ya leo Mawaziri wawili watafanya mkutano na waandishi wa habari Kuhusu michango ya pensheni waliyokatwa Watumishi waliondolewa kazini baada ya zoezi maalumu la Uhakiki wa vyeti .
Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menijementi ya Umma na Utawala Bora. Mhe.Jenista Mhagama
Pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako.
Mkutano utaanza saa tatu kamili asubuhi katika ukumbi wa PSSSF Tower ghorofa ya Nne Dodoma.
Miundombinu rafiki imeisaidia kujua hao wahalifu na ikawaondoa. (Tena walifanya uhalifu kwa kukusudia)Sasa wewe unamlaumu vipi? Mrekebishe basi afanyekazi kwa sababu kazi anaitaka. Serikali baada ya kupata miundo fafiki ingeanzia Happ bila kusumbua familia za watu.
Lowasa ana busara sana. Nasimama na mtazamo wake kuhusu hili suala. Inasemekana hata JPM alitaka kulegeza msimamo na kuwalipa kidogo ila akapumzika.Mtu akiwa na cheti feki ukweli ni kwamba inabatilisha hata ajira aliyoipata kwa kutumia vyeti hivyo. Katika jambo hili nasimama na JPM.
Mambo ya kugushi nyaraka ni kinyume cha sheria. Kwa hiyo basi ile kutokushtakiwa na kuhukumiwa ilikuwa ni huruma tosha kutoka serikalini. Sasa suala la kuwalipa waliogushi vyeti linatoka wapi wakati ajira zao zilikuwa batili!?
Katika baadhi ya mambo nilimuelewa sana JPM. Alikuwa jasiri, mwenye uthubutu wa kuchukua hatua na kufichua uozo. Sasa msimamo wa serikali umeshabadilika na kutaka kuwapa shavu wakosaji!?
RIP Magufuli.
Nakwambia walishavuna walichoiba hawastahiki chechote! Taifa la wajinga na wapumbavu linaweza kufanya huo uzuzu! Mtu mwizi wa kuku anapigwa na kuuliwa mtaani lamini mwizi wa vyeti anabembelezwa alipwe na mafao yatokanayo na kazi yake ya wizi kwa kutumia nyaraka feki!wanastahiki kulipwa walilitendea kazi taifa
ayo maneno yako yangekuwa mazur sana kama ungeweza kubeba uhalisia wa jamaa ..yani kwa mfano wewe ndo ungekuwa wao.Nakwambia walishavuna walichoiba hawastahiki chechote! Taifa la wajinga na wapumbavu linaweza kufanya huo uzuzu! Mtu mwizi wa kuku anapigwa na kuuliwa mtaani lamini mwizi wa vyeti anabembelezwa alipwe na mafao yatokanayo na kazi yake ya wizi kwa kutumia nyaraka feki! Huu upumbavu uko kwetu na kamwe kwakuleana hutaa uione nchi hii imepiga hatua maana inaendesha bila kuwa na misimo dhabiti kwa waharifu kama hawa wa vyeti feki!
Pia kinachowapomza wabongo wengi ni kuhurumiana lakini akitokea mwizi wa kuku mtaani hawawezi kumhurumia ila mwizi wa kutumia karamu kila mtu anamtetea!
Tunaishi enzi za ujima licha ya kujinasibu kuwa wasomi!
Ushawahi kujiuliza watu wangapi walipaswa kupata hizo ajira lakini walizikosa kwa sababu watu waovu walizichukua kwa kutumia vyeti feki!
Tafakarini msijitoe ufahamu taifa hili la kwetu sote!!!
Ningeshauri serikali pamoja na kuwalipa pesa zaa iwape hata room tatu za kulala. Kama atakuwa Hana nyumba hiyo hell haitoshi. Wapigiwe mahesabu ya vyumba vitatu na choo serikali iwasaidie pamoja na pesa zao. Maisha ni magumu mno.Nakwambia walishavuna walichoiba hawastahiki chechote! Taifa la wajinga na wapumbavu linaweza kufanya huo uzuzu! Mtu mwizi wa kuku anapigwa na kuuliwa mtaani lamini mwizi wa vyeti anabembelezwa alipwe na mafao yatokanayo na kazi yake ya wizi kwa kutumia nyaraka feki! Huu upumbavu uko kwetu na kamwe kwakuleana hutaa uione nchi hii imepiga hatua maana inaendesha bila kuwa na misimo dhabiti kwa waharifu kama hawa wa vyeti feki!
Pia kinachowapomza wabongo wengi ni kuhurumiana lakini akitokea mwizi wa kuku mtaani hawawezi kumhurumia ila mwizi wa kutumia karamu kila mtu anamtetea!
Tunaishi enzi za ujima licha ya kujinasibu kuwa wasomi!
Ushawahi kujiuliza watu wangapi walipaswa kupata hizo ajira lakini walizikosa kwa sababu watu waovu walizichukua kwa kutumia vyeti feki!
Tafakarini msijitoe ufahamu taifa hili la kwetu sote!!!
Kila binadamu anaubinafsi! Ila ukweli utabaki kuwa ukweli hawa ni wezi hata kama walitumikia taifa ila njia yao ya kuingia kwenye kazi zilikuwa haramu!ayo maneno yako yangekuwa mazur sana kama ungeweza kubeba uhalisia wa jamaa ..yani kwa mfano wewe ndo ungekuwa wao.
Taifa la majuha lolote linawezekana!Ningeshauri serikali pamoja na kuwalipa pesa zaa iwape hata room tatu za kulala. Kama atakuwa Hana nyumba hiyo hell haitoshi. Wapigiwe mahesabu ya vyumba vitatu na choo serikali iwasaidie pamoja na pesa zao. Maisha ni magumu mno.