Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Serikali: Wahanga vyeti feki kulipwa mafao yao

Kila binadamu anaubinafsi! Ila ukweli utabaki kuwa ukweli hawa ni wezi hata kama walitumikia taifa ila njia yao ya kuingia kwenye kazi zilikuwa haramu!
Mfano ushawahi kujiuliza watu wangapi wali pata madhara kutokana na huduma za hawa watu wasio na vyeti halali? Daktari asiye na vyeti anamhudumia mgonjwa kwa kutumia uzoefu huu ni uharifu wa hali ya juu!
Wapigwe chini tena hili lisijitudie!
U gejitokeza Cha Jamaa ukaonya utekaji, uuwaji, na uchaguzi ulivyoendesha tungekuona wa maana.
 
Kila binadamu anaubinafsi! Ila ukweli utabaki kuwa ukweli hawa ni wezi hata kama walitumikia taifa ila njia yao ya kuingia kwenye kazi zilikuwa haramu!
Mfano ushawahi kujiuliza watu wangapi wali pata madhara kutokana na huduma za hawa watu wasio na vyeti halali? Daktari asiye na vyeti anamhudumia mgonjwa kwa kutumia uzoefu huu ni uharifu wa hali ya juu!
Wapigwe chini tena hili lisijitudie!
aendelea kusimama pale pale ingependeza zaidi kama ungeweza kuuvaa uhusika wao ao watu.
 
Tuambie Ben alipo.
Binadamu yeyote yule aliyezaliwa mwanamke ana sura mbili ndani yake. Hali kadhalika, JPM alikuwa "best qualities" pia "worst qualities"

Hilo la Ben lipo katika sura mbaya aliyokuwa nayo ya ukatili na kutokushaurika.
 
Kila binadamu anaubinafsi! Ila ukweli utabaki kuwa ukweli hawa ni wezi hata kama walitumikia taifa ila njia yao ya kuingia kwenye kazi zilikuwa haramu!
Mfano ushawahi kujiuliza watu wangapi wali pata madhara kutokana na huduma za hawa watu wasio na vyeti halali? Daktari asiye na vyeti anamhudumia mgonjwa kwa kutumia uzoefu huu ni uharifu wa hali ya juu!
Wapigwe chini tena hili lisijitudie!
Ni vyeti vya form four waligushi ila wengine walisoma kiukweli huko vyuoni. Ni wezi kweli ila waliondolewa sababu ya ukubwa wa gharama za mishahara kigezo cha utendaji hakikutumika. Kuna maeneo hayajaguswa kabisa sababu ya hofu ya yatakayojiri kwa hizo nafasi kubaki wazi.
 
U gejitokeza Cha Jamaa ukaonya utekaji, uuwaji, na uchaguzi ulivyoendesha tungekuona wa maana.
Wewe ulishawahi kunifatilia mpaka useme nijitokeze! Kati yangu na wewe na ID yako feki nani hajitokezi!
Maana hata kama ukichangia humu hakuna anayekujua!
Huna Identity yeyote uko kama zombi!
Utekaji na ujinga wowote unaofanywa au utakaofanyika kama wa kutekwa kwa Mo,Rom,Dr Ulimboka sijawahi kuushabikia!
 
Katika hao kuna ambao walitumia vyeti vya form four kusoma taaluma ya afya hadi ngazi ya juu. Na ufanisi kazini ulikuwa juu sana. Kilichofanyika ni ROHO mbaya ya KIMASIKINI iliyopelekea hata mradi wa Dege Kigamboni kukwamishwa. Walipwe tu ili hiyo nafasi wajanja nao wapige mpunga
 
Duniani hapa hakuna wa kuvaa uhusika wa mtu kila mmoja apambane na hali yake!
Ulishawahi kusikia neno linalosema unavuna ulicho panda!?
Mwanadamu huwezi kukutetea popote na kwa imani yangu Yesu tu ndo alikuja kulifanya hilo basi!
aendelea kusimama pale pale ingependeza zaidi kama ungeweza kuuvaa uhusika wao ao watu.
 
Duniani hapa hakuna wa kuvaa uhusika wa mtu kila mmoja apambane na hali yake!
Ulishawahi kusikia neno linalosema unavuna ulicho panda!?
Mwanadamu huwezi kukutetea popote na kwa imani yangu Yesu tu ndo alikuja kulifanya hilo basi!
aya hongera acha me nikanywe supu kwanza na chapati mbili we endelea kukasirika tu
 
Katika hao kuna ambao walitumia vyeti vya form four kusoma taaluma ya afya hadi ngazi ya juu. Na ufanisi kazini ulikuwa juu sana. Kilichofanyika ni ROHO mbaya ya KIMASIKINI iliyopelekea hata mradi wa Dege Kigamboni kukwamishwa. Walipwe tu ili hiyo nafasi wajanja nao wapige mpunga
Unajua maisha ni safari unaweza kuishi popote lakini? Ungekuwa na utu usingewahukumu wenzako kwa kejeli zako. Kama unauchungu Sana mbona hujaenda kuwakamata waliojenga chumba Cha mlinzi kwa m 11? Na hao ndiyo wenye vyeti OG. Mwizi Hapo ni nani? Tulia droup ingie upone.
 
Unajua maisha ni safari unaweza kuishi popote lakini? Ungekuwa na utu usingewahukumu wenzako kwa kejeli zako. Kama unauchungu Sana mbona hujaenda kuwakamata waliojenga chumba Cha mlinzi kwa m 11? Na hao ndiyo wenye vyeti OG. Mwizi Hapo ni nani? Tulia droup ingie upone.
Wale watu walidhulumiwa sana. Kwanza nchi moja kuwa na double standard katika maamuzi si sawa. Hao hao wenye vyeti feki kwenye vyombo vya dola hawakuguswa !!.

Pili kosa halikuwa lao bali mfumo uliowaingiza kwenye ajira. Hawakulazimisha kuingia kwenye ajira bali uhitaji wa mfumo ndiyo uliowaingiza.
 
Watapewa michango yao tu, sio ya mwajiri wala sio pension.

Wengi wameliwa vichwa wakiwa na mshahara chini ya m1 na wakiwa kazini pungufu ya miaka 15 na ikumbukwe walianza kazi na mishara midogo sana pungufu ya laki.

Watapata hela pungufu ya milion 6
Hapo Kuna kujiongeza zaidi. Hiyo m6 kwa kweli haitoshi ni Kama wananunua jeneza jinsi maisha yalivyopanda. Serikali imsaidie apate hata nyumba ya kuishi na watoto wake. Tena serikali iwe wakali kwa waajiri. Ukitafakari kwa kina huyu my hatakama alifanya makosa lakini alikuwa na vyeti vya taaluma.

Wenye vyeti vya taaluma warudishwe wakasapu mitihani ya four.

Au wakipewa pesa zao serikali iwape na vyumba vitatu vya kulala na choo. Waendelee na
Watapewa michango yao tu, sio ya mwajiri wala sio pension.

Wengi wameliwa vichwa wakiwa na mshahara chini ya m1 na wakiwa kazini pungufu ya miaka 15 na ikumbukwe walianza kazi na mishara midogo sana pungufu ya laki.

Watapata hela pungufu ya milion 6
Kwa kweli Kama watalipwa pesa hi ni Kama wamewanunulia jeneza. Hii watafanyia Nini? Hawa watu wanafamilia wanawategea. Wengine wana watoto wanasoma bado.

Serikali ingekuwa na nia ya kumsaidia wangewalipa pesa zao na wawape hata vyumba vitatu vya kulala na choo pamoja na pesa zake.

Au wenye vyeti vya taaluma warudishwe kazini warudie mtihani wa four 4. SERIKALI itafakari kwa kina zaidi.
 
Kuingiza watu wasio na maarifa sahihi hasa kwenye kazi za kitaaluma inashusha sana ufanisi kwa sababu huyo mtu anakuwa hana au ana weledi wa kiwango cha chini, nafikri kabla ya kuwaondoa wangewaachia wakuu wao wa kazi wafanye tathmini ili kujua kama huyo mtu alikuwa na maarifa sahihi kwa kazi aliyokuwa anafanya na alikuwa anaongeza tija kwenye eneo lake, pia kuna watu kama madereva ambao kwa kweli kulikuwa hakuna haja ya kuwaondoa kwa sababu ujuzi wao na uzoefu waliokwisha upata katika udereva ulikuwa hauwezi kuathiriwa kwa namna yoyote na kukosa vyeti sahihi. Kwa sababu kule kwenye vyombo vya dola hakukuguswa, ili kuondoa double standard tathmini ya wakuu wa idara ingehusika kuamua.​
 
Ni Tanzania tu ndipo mtu aliyefoji na kutumia nyaraka feki kuibia taifa na kulipwa mshahara na serikali kwa miaka na miaka ndio utaskia eti anapewa 'stahiki' zake badala ya kwenda jela. Ni sawa lakini, acha tuendelee kumkomoa yule marehemu na kuonesha kua alikosea kwenye kila kitu.
 
Back
Top Bottom