Serikali watu wenye akili Sana Kama Mshana Jr, Bams, Robert Heriel kwanini msiwatumie wakaipeleka nchi Mbele?

Hivi wewe mpumbavu unaona watu kuandika andika humu ndo wana akili au wanaweza wakatumika kuisogeza nchi mbele? Huyu mtu kama heriel sijui kwanza huwa anaandika upumbavu mwingi sana na ujinga. Only shallow minds can think upuuzi wake ni intelligence. Plus ukishakaa kwenye reigns of power ndo utajua nchi haindeshwi kwa kuandika andika upuuzi na kushauri ujinga ujinga. Things aint as easy nor as straightforward as they seem ukiwa huku pembeni. Futa huu uzi haraka sana
 

Mtu anayetanguliza Pesa Kwa kawaida ni MTU aliyejidharau na anayestahili kudharauliwa. Hata angekuwa anawakawaka kama Malaika, hat angekuwa na cheo gani. MTU anayetanguliza Pesa kuliko kitu chochote NI wakuonea huruma tuu.

Ukiona MTU yeyote anayefikiri Kupata cheo au Pesa ndio heshima, huyo ni wakuonea huruma tuu.
 

😂😂
Wewe kama hata hapo mtaani hawakutambui, hata kwenye familia yako haikujui unategemea ungeandika nini zaidi ya hicho ulichoandika?
Ni Haki yako. Usiumie Kwa vitu vidogo kama hivi. 😀😀
 
sjajua uwezo wa hao watu , ila kivyovyote watatakiwa kua chichiemu kwanza na hapo ndo mipango yote chali
 
😂😂
Wewe kama hata hapo mtaani hawakutambui, hata kwenye familia yako haikujui unategemea ungeandika nini zaidi ya hicho ulichoandika?
Ni Haki yako. Usiumie Kwa vitu vidogo kama hivi. 😀😀
Stop trying to act relevant. You aint. You are just another nincompoop who blabs any stupid thought that crosses their minds. I can see past you bullshit
 
Naona upepo wa nyuzi za kutajana member kwa member umeshika kasi.

Au ndo hatuna contents zakuandika..!!?[emoji848]
 
Stop trying to act relevant. You aint. You are just another nincompoop who blabs any stupid thought that crosses their minds. I can see past you bullshit

Hicho kingereza chako hakiisaidii nchi Hii Kwa namna yoyote Ile. Ndio maana hakuna hata mmoja anayeku- appreciate sio kwenye familia au ukoo wenu, Wala huku mitandaoni.

Mwenzako katoa Maoni yake vile anavyoona wadau aliowataja wanaisaidia jamii Kwa namna moja au nyingine, wewe unaleta Wivu 😂😂.
Muite Mkeo walau naye akutaje huku maana unadhani tunafaidi😊.
 
Sasa kama hauko bothered na mimi kutoa maoni yangu tuliza mnduku. Unadhan haya maarticle yako marefu unayoandikaga humu yana msaada wowote kwenye hii nchi? Acha kujichekesha
 
Sasa kama hauko bothered na mimi kutoa maoni yangu tuliza mnduku. Unadhan haya maarticle yako marefu unayoandikaga humu yana msaada wowote kwenye hii nchi? Acha kujichekesha

Mtu akishataja jina langu tayari ninauhuru wa kudili naye Kwa namna itakayomfaa. Hujiulizi mbona siwanukuu wengine zaidi ya wewe mwenye kiherehere.

Makala ndefu haziwahusu Watu wa Aina yako ndio maana huoni mchango wake, Anzisha Uzi utoe mawazo yako ili walau na wewe uwe na mchango wowote ndani ya jamii. Sio uishi kama maiti, tena hata maiti nu mbolea ktik Ardhi.
Ukiona Wivu unakuzidi, mwambie shemeji awe anakusifia ili Nafsi yako itulie. Wivu utakuua Kwa ujinga wako.😂😂
 
Duh

Ova
 
Kuna tabia humu siku hizi watu hawataki kuona wala kusikia mtu akitoa maoni

Ova
 
Kuna tabia humu siku hizi watu hawataki kuona wala kusikia mtu akitoa maoni

Ova

Alafu mtu anataka yeye ndio awe na power ya kuongea chochote kiwe ni kizuri au kibaya(ikiwemo kukukejeli) alafu ukimpa Haki yake(ukimjibu inavyotakiwa) hataki.

Huu ni mtandao tuu, ni kama kijiwe ambacho Watu wanapiga soga za aina zote. Sio kila mara tuongee mambo ya Akili tuu, au sio kila mara tuongee mambo ya ujinga tuu. Kila MTU anayohaki kujadili chochote ilimradi havunji sheria za nchi wala za mtandao husika.
 
aisee
 
Nani kakwambia hao uliowataja hawako serikalini?? yaweza ikawa ata ni mawaziri ni vile tu wanatumia fake ID.
 
Nna wasiwasi huenda wanawapigia hata hesabu za kuwa dedisha Kwa kosa la kutubumbulua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…