Serikali wekeni sheria mtu asiingie airport bila VISA na Tiketi ya kusafiria

Serikali wekeni sheria mtu asiingie airport bila VISA na Tiketi ya kusafiria

Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.

Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.

Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.

1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.

2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.

Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
airport ya wenzako ipi hiyo iliyo na ujinga unaopendekeza
 
Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.

Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.

Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.

1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.

2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.

Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
Mkuu kwani si hiyo airport imejengwa kwa pesa yetu wenyewe, je huo usalama unahitajika kwenye airpot tu na sio kwenye mabasi, unaongea kama nshomile! Hiyo airport sio nyumba yako na sio mali ya baako,ni mali ya watanzania wote acha upumbafu
 
😀😀😀 Watu waliokua wanapata 98% kwenye mtihani na sisi tunapata 30% tukiwaomba karatasi zao kufanya masahihisho wanakataa wakiwa wakubwa ndo tabia za mleta mada !! Tumeshakubali hela ya kupanda ndege hatuna ! Hata picha hamtaki manina😀😀
 
Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.

Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.

Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.

1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.

2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.

Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
Inaoneka una roho mbaya then mbeya hujaridhika kupanda ndege kwenda nchi za watu, Unakuja kutufanyia figisu tushindwe hata kupiga picha ukiwa airport kisa visa na passport.
 
Nchi zipi wanazuia watu? nilikotembea mimi sijawahi kuona mtu anaonesha documents tofauti na msafiri mwenyewe akiingia ndani kwenye process za ukaguzi, labda ungesema kwa wenzetu wapo busy mtu hawezi kwenda airport bila sababu ya msingi
 
Mkuu utakuwa una roho ya kichawi sana jichunguze kama hutajali

Halafu vipi kuingia hapo mliman city kununua lollipop nayo ipigwe marufuku au
 
Sasa wale wanaoenda kupiga picha ili waturushe roho wenzao kuwa nao wanapandaga ndege itakuwaje?
Mkuu uwe na huruma na maslay queen unawaharibia biashara.
 
Mimi kesho nakwenda kulala pale eapoti halafu nione mtu ananisumbua alaa

Kodi zetu zile ati.
 
Inaoneka una roho mbaya then mbeya hujaridhika kupanda ndege kwenda nchi za watu, Unakuja kutufanyia figisu tushindwe hata kupiga picha ukiwa airport kisa visa na passport.
Unapoingia Jamii forum hakikisha unapitia terms and conditions za hili jukwaa. Ni ushauri kujifanya kuwafahamu watu Jamii forum itakuja kuwaponza.
 
Daah airport tuu mnaiona kama Pepo hivi vitu mimi sikulaumu tumekutana navyo ukubwani ila twende kutokana na muziki wenyewe ila hakuna kiwanja chochote Duniani wanaopokea wanawekewa makaratasi maana wanaamini wageni wanakua wengi sana ila zipo sehemu maalumu kwa ajili ya kupokea na kusindikiza viwanja vingi vizuri wenyeji au wageni kupiga picha ni kitu cha kawaida na hakuna mtu atakaeshangaa...
 
Watu mna makasiriko. Acha watu wapige picha hii nchi yetu sote tu. Ndege washindwe kupanda, na picha washindwe kupiga airport
 
Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.

Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.

Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.

1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.

2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.

Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
We acha madada zetu waendelee kwenda na mabegi kupiga picha airport ili waposti insta waonekane wanasafiri kwenda china kufuata mzigo wa biashara
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Watu waliokua wanapata 98% kwenye mtihani na sisi tunapata 30% tukiwaomba karatasi zao kufanya masahihisho wanakataa wakiwa wakubwa ndo tabia za mleta mada !! Tumeshakubali hela ya kupanda ndege hatuna ! Hata picha hamtaki manina[emoji3][emoji3]
Hahahaha...umesema hivyo nikajenga picha flan, eti tukiwaomba ili kufanya masahihisho wanakataa. Utakuwa ulikuwa unakaa nyuma ya darasa...back benja [emoji23]
 
Back
Top Bottom